Maoni yangu Wizara ya Afya; Haya mambo yatungiwe sheria na nchi nzima kila hospitali zote zizingatie

Maoni yangu Wizara ya Afya; Haya mambo yatungiwe sheria na nchi nzima kila hospitali zote zizingatie

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Ni kama vile hayana umhimu vile lakini usiombe!

Serikali ikiwapendeza yawekeni kwenye utaratibu!

Kama hujawahi kuuguliwa au kuuguza huwezi kunielewa kirahisi!

Iko hivi mwaka Jana wakati nikiuguza mzee wangu kabla hajatwaliwa! Yapo mambo yaliniumiza sana!
Ni vigumu kuyaelezea yote hapa!

Lakini naomba kusemea jambo moja la vyoo vya wagonjwa hospitalini!

Ukiachilia hospitals chache, asilimia kubwa ya hospitals Tanzania zinavyoo vya kuchuchumaa!

Yamkini vijana na wenye afya wanaweza chukulia hili lipo sawa!

Lakini ni changamoto kubwa sana kwa wazee na vibonge wanapokuwa kwenye hali ya kuugua, magoti hupungukiwa sana nguvu za kuweza kuchuchumaa mda mrefu!

Hivyo hali ya kujisaidia hawa watu wazima imekuwa inachangia sana homa kupanda kutokana na kushindwa kunyanyuka wakiwa chooni wanapochuchumaa

Kama mjuavyo ugonjwa huja popote ukiwa mkoa wowote! Ni vyema kukawa na sheria inayolazimisha hosipitali zote za serikali na binafsi lazima kuwepo kwa choo cha kukaa kwa wazee na wale wasiojiweza! Ili kuondoa adha na aibu kwa wagonjwa!

Ebu chukulia mfano mzazi anaeuguzwa na watoto wake wa jinsia tofauti! Akishindwa kunyanyuka chooni mtoto inabidi akamsaidie!..INAUMIZA

Hii inawaumiza sana wagonjwa kisaikolojia na huchangia sana kukata tamaa (pia huongeza hofu ya ugonjwa kwao kiasi cha kupunguza hata kinga za mwili)

Hili jambo juu juu linaonekana kama halihitaji ulazima vile! Lakini kiuhalisia linaumiza sana!

Serikali kupitia wizara ya afya naomba mliwekee sheria hili kila kituo cha afya iwe cha serikali au binafsi lazima wawe na vyoo vya kukaa! Na ukaguzi ufanyike Mara kwa Mara kama vyoo hivyo vinatumika!

Kukua ni kuzeeka!
Tusitumie matamko! Tuweke utaratibu wa kudumu!
 
Water Sanitation and Hygiene ( WASH )
Ingeanzishwa section maalum ya WASH ndani ya wizara ya Afya ili kushigulikia maswala hayohapo matatu.

Wawepo watu maalum wa sanitation na water supply and waste water management wanaoweza kubuni vyoo Bora kwaajili ya PSN ( People of Special Needs) kwa hospitali nchi nzima.
 
Water Sanitation and Hygiene ( WASH )
Ingeanzishwa section maalum ya WASH ndani ya wizara ya Afya ili kushigulikia maswala hayohapo matatu.
Wawepo watu maalum wa sanitation na water supply and waste water management wanaoweza kubuni vyoo Bora kwaajili ya PSN ( People of Special Needs) kwa hospitali nchi nzima.
Wazo zuri lakini kwa sasa wajenge hivyo vyoo vya kukaa inchi nzima! Hospital isipewe kibali kama vyoo bora haina!
 
Ni kama vile hayana umhimu vile lakini usiombe!

Serikali ikiwapendeza yawekeni kwenye utaratibu!

Kama hujawahi kuuguliwa au kuuguza huwezi kunielewa kirahisi!

Iko hivi mwaka Jana wakati nikiuguza mzee wangu kabla hajatwaliwa! Yapo mambo yaliniumiza sana!
Ni vigumu kuyaelezea yote hapa!

Lakini naomba kusemea jambo moja la vyoo vya wagonjwa hospitalini!

Ukiachilia hospitals chache, asilimia kubwa ya hospitals Tanzania zinavyoo vya kuchuchumaa!

Yamkini vijana na wenye afya wanaweza chukulia hili lipo sawa!

Lakini ni changamoto kubwa sana kwa wazee na vibonge wanapokuwa kwenye hali ya kuugua, magoti hupungukiwa sana nguvu za kuweza kuchuchumaa mda mrefu!

Hivyo hali ya kujisaidia hawa watu wazima imekuwa inachangia sana homa kupanda kutokana na kushindwa kunyanyuka wakiwa chooni wanapochuchumaa

Kama mjuavyo ugonjwa huja popote ukiwa mkoa wowote! Ni vyema kukawa na sheria inayolazimisha hosipitali zote za serikali na binafsi lazima kuwepo kwa choo cha kukaa kwa wazee na wale wasiojiweza! Ili kuondoa adha na aibu kwa wagonjwa!

Ebu chukulia mfano mzazi anaeuguzwa na watoto wake wa jinsia tofauti! Akishindwa kunyanyuka chooni mtoto inabidi akamsaidie!..INAUMIZA

Hii inawaumiza sana wagonjwa kisaikolojia na huchangia sana kukata tamaa (pia huongeza hofu ya ugonjwa kwao kiasi cha kupunguza hata kinga za mwili)

Hili jambo juu juu linaonekana kama halihitaji ulazima vile! Lakini kiuhalisia linaumiza sana!

Serikali kupitia wizara ya afya naomba mliwekee sheria hili kila kituo cha afya iwe cha serikali au binafsi lazima wawe na vyoo vya kukaa! Na ukaguzi ufanyike Mara kwa Mara kama vyoo hivyo vinatumika!

Kukua ni kuzeeka!
Tusitumie matamko! Tuweke utaratibu wa kudumu!
Mkuu wengi wao wamezaliwa na kukulia kati vyoo vya tundu. Kwa hiyo pale wanapoweka 'squatting or Asian toilet design" huonekana kuwa ndiyo huwa "perfect substitute" kwa vyoo vya tundu.

"Western or sitting toilets design" hawavitaki kutokana na bei zake kuwa za juu. Kwa hiyo hawana namna, kwani hilo ndiyo huwa chaguo lao kubwa na la kipekee.
Screenshot_20220211-190841.jpg
Screenshot_20220211-191207.jpg
Screenshot_20220211-191146.jpg
 
Mkuu wengi wao wamezaliwa na kukulia kati vyoo vya tundu. Kwa hiyo pale wanapoweka 'squatting or Asian toilet design" huonekana kuwa ndiyo huwa "perfect substitute" kwa vyoo vya tundu.

"Western or sitting toilets design" hawavitaki kutokana na bei zake kuwa za juu. Kwa hiyo hawana namna, kwani hilo ndiyo huwa chaguo lao kubwa na la kipekee.View attachment 2116369View attachment 2116370View attachment 2116371
Ingekuwa hivyo basi wagonjwa wangekuwa wanaulizwa walazwe chini au kitandani? Maana wengine wametoka kwenye familia ya kulala chin
 
Ingekuwa hivyo basi wagonjwa wangekuwa wanaulizwa walazwe chini au kitandani? Maana wengine wametoka kwenye familia ya kulala chin
Unajua kuwa yatima hadeki? Kwa kile anachokipata ndicho hukipokea kwa shukurani, magoti na sala kwa Mola wake. Kwa hali kadharika katika mahitaji muhimu nguvu ya uchaguzi wa kitu kizuri hutegemeana "purchasing power" ya mununuzi.

Kila kitu kipo sokoni, lakini ukihitaji kununua kitu bora basi hapo ni pochi lako. Hebu hapa jukwaani wote tuandike Insha kuhusu "breakfast, lunch, dinner & supper" na wote tutoe mifano hai kuhusu aina gani ya vyakula na vinywani vinavyohitajika ikijumuisha gharama zake.

Hapo nafikiri unaweza kupata kile nichokiamaanisha.
 
Unajua kuwa yatima hadeki? Kwa kile anachokipata ndicho hukipokea kwa shukurani, magoti na sala kwa Mola wake. Kwa hali kadharika katika mahitaji muhimu nguvu ya uchaguzi wa kitu kizuri hutegemeana "purchasing power" ya mununuzi.

Kila kitu kipo sokoni, lakini ukihitaji kununua kitu bora basi hapo ni pochi lako. Hebu hapa jukwaani wote tuandike Insha kuhusu "breakfast, lunch, dinner & supper" na wote tutoe mifano hai kuhusu aina gani ya vyakula na vinywani vinavyohitajika ikijumuisha gharama zake.

Hapo nafikiri unaweza kupata kile nichokiamaanisha.
 
Hivi mnadhani nani atafanya usafi kwenye vyoo vya kukaa?
Je hamjui kuwa nchi hii kuna tatizo la maji sehemu nyingi na hivyo sio rahisi kutunza vyoo vya kukaa?

Ili hili liwezekane,lazima serikali iajiri hawa darasa la saba kwa ajili ya usafi ampapo ninyi wasomi hamuwezi kufanya kazi hiyo.Lakini utakumbuka serikali iliwafurusha kazini watu hawa kwa maneno mengi ya kejeri.
 
Inchi=nchi,
Nafikiri ujirekebishe hapo endopo umekosea huku ukifikiri uko sahihi.
 
Hivi mnadhani nani atafanya usafi kwenye vyoo vya kukaa?
Je hamjui kuwa nchi hii kuna tatizo la maji sehemu nyingi na hivyo sio rahisi kutunza vyoo vya kukaa?

Ili hili liwezekane,lazima serikali iajiri hawa darasa la saba kwa ajili ya usafi ampapo ninyi wasomi hamuwezi kufanya kazi hiyo.Lakini utakumbuka serikali iliwafurusha kazini watu hawa kwa maneno mengi ya kejeri.
Ni katika utekelezaji! Wazo zuri
 
Ni kama vile hayana umhimu vile lakini usiombe!

Serikali ikiwapendeza yawekeni kwenye utaratibu!

Kama hujawahi kuuguliwa au kuuguza huwezi kunielewa kirahisi!

Iko hivi mwaka Jana wakati nikiuguza mzee wangu kabla hajatwaliwa! Yapo mambo yaliniumiza sana!
Ni vigumu kuyaelezea yote hapa!

Lakini naomba kusemea jambo moja la vyoo vya wagonjwa hospitalini!

Ukiachilia hospitals chache, asilimia kubwa ya hospitals Tanzania zinavyoo vya kuchuchumaa!

Yamkini vijana na wenye afya wanaweza chukulia hili lipo sawa!

Lakini ni changamoto kubwa sana kwa wazee na vibonge wanapokuwa kwenye hali ya kuugua, magoti hupungukiwa sana nguvu za kuweza kuchuchumaa mda mrefu!

Hivyo hali ya kujisaidia hawa watu wazima imekuwa inachangia sana homa kupanda kutokana na kushindwa kunyanyuka wakiwa chooni wanapochuchumaa

Kama mjuavyo ugonjwa huja popote ukiwa mkoa wowote! Ni vyema kukawa na sheria inayolazimisha hosipitali zote za serikali na binafsi lazima kuwepo kwa choo cha kukaa kwa wazee na wale wasiojiweza! Ili kuondoa adha na aibu kwa wagonjwa!

Ebu chukulia mfano mzazi anaeuguzwa na watoto wake wa jinsia tofauti! Akishindwa kunyanyuka chooni mtoto inabidi akamsaidie!..INAUMIZA

Hii inawaumiza sana wagonjwa kisaikolojia na huchangia sana kukata tamaa (pia huongeza hofu ya ugonjwa kwao kiasi cha kupunguza hata kinga za mwili)

Hili jambo juu juu linaonekana kama halihitaji ulazima vile! Lakini kiuhalisia linaumiza sana!

Serikali kupitia wizara ya afya naomba mliwekee sheria hili kila kituo cha afya iwe cha serikali au binafsi lazima wawe na vyoo vya kukaa! Na ukaguzi ufanyike Mara kwa Mara kama vyoo hivyo vinatumika!

Kukua ni kuzeeka!
Tusitumie matamko! Tuweke utaratibu wa kudumu!
Sisi tunatengeneza vyoo vya kukaa majumbani mwetu ila vya kwenye Hospitali zetu tunasahau kuwa IPO siku tutapelekwa huko ndipo tutakapo kiona cha moto !! " naunga mkono hoja hii 100% "
 
Ni kama vile hayana umhimu vile lakini usiombe!

Serikali ikiwapendeza yawekeni kwenye utaratibu!

Kama hujawahi kuuguliwa au kuuguza huwezi kunielewa kirahisi!

Iko hivi mwaka Jana wakati nikiuguza mzee wangu kabla hajatwaliwa! Yapo mambo yaliniumiza sana!
Ni vigumu kuyaelezea yote hapa!

Lakini naomba kusemea jambo moja la vyoo vya wagonjwa hospitalini!

Ukiachilia hospitals chache, asilimia kubwa ya hospitals Tanzania zinavyoo vya kuchuchumaa!

Yamkini vijana na wenye afya wanaweza chukulia hili lipo sawa!

Lakini ni changamoto kubwa sana kwa wazee na vibonge wanapokuwa kwenye hali ya kuugua, magoti hupungukiwa sana nguvu za kuweza kuchuchumaa mda mrefu!

Hivyo hali ya kujisaidia hawa watu wazima imekuwa inachangia sana homa kupanda kutokana na kushindwa kunyanyuka wakiwa chooni wanapochuchumaa

Kama mjuavyo ugonjwa huja popote ukiwa mkoa wowote! Ni vyema kukawa na sheria inayolazimisha hosipitali zote za serikali na binafsi lazima kuwepo kwa choo cha kukaa kwa wazee na wale wasiojiweza! Ili kuondoa adha na aibu kwa wagonjwa!

Ebu chukulia mfano mzazi anaeuguzwa na watoto wake wa jinsia tofauti! Akishindwa kunyanyuka chooni mtoto inabidi akamsaidie!..INAUMIZA

Hii inawaumiza sana wagonjwa kisaikolojia na huchangia sana kukata tamaa (pia huongeza hofu ya ugonjwa kwao kiasi cha kupunguza hata kinga za mwili)

Hili jambo juu juu linaonekana kama halihitaji ulazima vile! Lakini kiuhalisia linaumiza sana!

Serikali kupitia wizara ya afya naomba mliwekee sheria hili kila kituo cha afya iwe cha serikali au binafsi lazima wawe na vyoo vya kukaa! Na ukaguzi ufanyike Mara kwa Mara kama vyoo hivyo vinatumika!

Kukua ni kuzeeka!
Tusitumie matamko! Tuweke utaratibu wa kudumu!
Mkuu, umeongea vema. Mimi kilio changu ni juu ya upatikanaji wa dawa Hospitalini, yule mdudu anaitwa sheria za manunuzi ni kichefu chefu!

Sheria ya manunuzi haitofautishi ununuzi wa dawa na bidhaa nyingine, yani procedures ni zile zile! mtu anaye nunua dawa hana utofauti na anaye nunua computer, kalamu etc.

Hii hupelekea dawa kukosekana hospital kisa mlolongo mrefu wa ununuzi wa dawa! Bunge waangalie hili jambo! Dawa zinapaswa kupewa special treatment katika upatikanaji wake.

Inaumiza sana mtu anapokuwa hospital kukosa dawa, alafu kumbe uhalisia ni kuwa dawa hizo ziko zinasubiri mchakato wa manunuzi ukamilike ambao una takribani week au mieza kadhaa toka umeanza.
 
Mkuu, umeongea vema. Mimi kilio changu ni juu ya upatikanaji wa dawa Hospitalini, yule mdudu anaitwa sheria za manunuzi ni kichefu chefu!

Sheria ya manunuzi haitofautishi ununuzi wa dawa na bidhaa nyingine, yani procedures ni zile zile! mtu anaye nunua dawa hana utofauti na anaye nunua computer, kalamu etc.

Hii hupelekea dawa kukosekana hospital kisa mlolongo mrefu wa ununuzi wa dawa! Bunge waangalie hili jambo! Dawa zinapaswa kupewa special treatment katika upatikanaji wake.

Inaumiza sana mtu anapokuwa hospital kukosa dawa, alafu kumbe uhalisia ni kuwa dawa hizo ziko zinasubiri mchakato wa manunuzi ukamilike ambao una takribani week au mieza kadhaa toka umeanza.
Ni kweli kabisa!
 
Ni kama vile hayana umhimu vile lakini usiombe!

Serikali ikiwapendeza yawekeni kwenye utaratibu!

Kama hujawahi kuuguliwa au kuuguza huwezi kunielewa kirahisi!

Iko hivi mwaka Jana wakati nikiuguza mzee wangu kabla hajatwaliwa! Yapo mambo yaliniumiza sana!
Ni vigumu kuyaelezea yote hapa!

Lakini naomba kusemea jambo moja la vyoo vya wagonjwa hospitalini!

Ukiachilia hospitals chache, asilimia kubwa ya hospitals Tanzania zinavyoo vya kuchuchumaa!

Yamkini vijana na wenye afya wanaweza chukulia hili lipo sawa!

Lakini ni changamoto kubwa sana kwa wazee na vibonge wanapokuwa kwenye hali ya kuugua, magoti hupungukiwa sana nguvu za kuweza kuchuchumaa mda mrefu!

Hivyo hali ya kujisaidia hawa watu wazima imekuwa inachangia sana homa kupanda kutokana na kushindwa kunyanyuka wakiwa chooni wanapochuchumaa

Kama mjuavyo ugonjwa huja popote ukiwa mkoa wowote! Ni vyema kukawa na sheria inayolazimisha hosipitali zote za serikali na binafsi lazima kuwepo kwa choo cha kukaa kwa wazee na wale wasiojiweza! Ili kuondoa adha na aibu kwa wagonjwa!

Ebu chukulia mfano mzazi anaeuguzwa na watoto wake wa jinsia tofauti! Akishindwa kunyanyuka chooni mtoto inabidi akamsaidie!..INAUMIZA

Hii inawaumiza sana wagonjwa kisaikolojia na huchangia sana kukata tamaa (pia huongeza hofu ya ugonjwa kwao kiasi cha kupunguza hata kinga za mwili)

Hili jambo juu juu linaonekana kama halihitaji ulazima vile! Lakini kiuhalisia linaumiza sana!

Serikali kupitia wizara ya afya naomba mliwekee sheria hili kila kituo cha afya iwe cha serikali au binafsi lazima wawe na vyoo vya kukaa! Na ukaguzi ufanyike Mara kwa Mara kama vyoo hivyo vinatumika!

Kukua ni kuzeeka!
Tusitumie matamko! Tuweke utaratibu wa kudumu!
Ni ajabu wanajenga vyoo aina moja.Aisee umeongea jambo muhimu .

Karibu kumfuata Ummy huko Twitter Ili hili limfikie.
 
Wanaweza weka option mbili choo cha kukaa na kuchutama! Usafi ni kama wafanyavyo vya kuchuchumaa!
Nitashangaa hospital ikishindwa kusimamia usafi maana haitafaa kuitwa kituo cha afya
Kama wanavyofanya kwenye ngazi kuna lift na ya kupanda kawaida,kuna ngazi za miguu na ile inaitwa Lamp.
 
Ingekuwa hivyo basi wagonjwa wangekuwa wanaulizwa walazwe chini au kitandani? Maana wengine wametoka kwenye familia ya kulala chin
Tazama dudu hili lina kichwa kwa ajili ya kubebea matikiti
 
Back
Top Bottom