Maoni yangu Wizara ya Afya; Haya mambo yatungiwe sheria na nchi nzima kila hospitali zote zizingatie

Maoni yangu Wizara ya Afya; Haya mambo yatungiwe sheria na nchi nzima kila hospitali zote zizingatie

Vyoo vya kukaa kwa hospitali zetu wala sishauri. Tutaandaa viwanda vya maradhi sugu!
Kuna hospitali moja nimetoka juzi... choo si cha kukaa lakini wameandaa mazingira kiasi kwamba mtu yeyote anaweza kukitumia bila shida yoyote.
Mazingira gani ebu fafanua! Pia vyoo vya kukaa vitakuwa ni option haina maana vya kuchuchumaa havitakuwepo!
Ni kama ilivyo ngazi za watembea kwa miguu na wheel chair huwekwa pamoja
 
Back
Top Bottom