Maono: Mpaka uchaguzi ninaziona kama bilioni 5 hivi zikikusanywa; 2 'zitatumika' katika uchaguzi; 3 zitawezesha safari ya Ulaya na Marekani!

Pole kiongozi nani kati ya mimi na ccm ambacho ni chama tawala kwa zaidi ya miaka 60 na mkusanyaji kodi alipaswa kuwasaidia watu watoke kwenye umaskini ili wasitegemee mgao wa tasaf wa 20elfu ?
Na ndo hapo nilipokuja kupinga ongezeko jingine lolote la ukamuaji kwa hawa maskini. Yaani baada ya yote hayo kina lissu wanakuja kuongeza mzigo mwingine juu?!!! Halafu?!!! Kusomeshea watoto ulaya na Marekani. Aisee!!
 
Na ndo hapo nilipokuja kupinga ongezeko jingine lolote la ukamuaji kwa hawa maskini. Yaani baada ya yote hayo kina lissu wanakijua kuongeza mzigo mwingine juu?!!! Halafu?!!! Kusomeshea watoto ulaya na Marekani. Aisee!!
Hakuna maskini anaichagia chadema mtu kutoa hata 100 tu kwa moyo mmoja unamwitaje maskini ?hakuna mtu anashikiwa bunduki ni upendo tu na kuunga mkono kazi wanazofanya.
 
Hofu Ya nini' labda maskini ya Mungu?!!!!!!
Kuna hamasa gani ulioiona wewe?!!! Kama unafikiri picha ndo inaanza basi you must be 14 y.o. Picha imeshaisha kamanda na Sasa watu wanainuka katika mabenchi kuelekea nyumbani. Utanielewa baadae ila kama ushapigwa basi pole sana.
 
Hakuna maskini anaichagia chadema mtu kutoa hata 100 tu kwa moyo mmoja unamwitaje maskini ?hakuna mtu anashikiwa bunduki ni upendo tu na kuunga mkono kazi wanazofanya.
😄😄😄😄
Haya,ctudumishe upendo kwa kuisema kweli pia.
 
Wewe hauwahurumii wachangiaji bali una hofu tuu. Pole sana. Kaa kwa kutulia , maana hata pesa yetu ya Kodi inapoliwa na majani huwa tunatulia tuu. Acha mihemko wewe haitakusaidia
Hapo ndipo mara zote nyumbu wanaishia katika kufikiri. Siajabu kapigwa Hadi laki yake ya Kodi maskini huyu!
 
Ewe nyumbu Mzee, Kuna mpumbavu wa kuwazidi nyie nyumbu mnaliwa mchana kweupeeee?!!!!
Wewe ni juha hakuna mfano bado kula kinyesi chako tu. Shwaini wa kijani wewe
 

Attachments

  • images (13) (1)~2.jpeg
    16.3 KB · Views: 0
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…