Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 5,002
- 4,571
- Thread starter
- #21
Basi usijali kijana nimejua naongea na mtoto wa umri gani.Mwishoe utaniambia niandae Na jogoo mwekundu...Huyo jini hawezi kuyajua hayo?
Kama Majini Wana mauwezo kama mnavyowasifia aje Kwa kuangalia ID ya JF Tu ...
Info zangu Ni privacy yangu lakini kama jini wako yupo hatoitaji vikolombwezo vyote hivo