Mimi na subscribe tu kwenye thread hii ili nipate newsfeed hiyo 2025 barua itakaposomwa.
Hii ni kutokana na imani yangu kwa mleta mada.
ILLUSIONS.Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea...
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa..
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea...
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa..
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Jamaa anatoa maono ya 2025 tukiwa mwanzo wa mwaka 2022 angengoja basi angalau tufike mwezi wa 6.Mimi na subscribe tu kwenye thread hii ili nipate newsfeed hiyo 2025 barua itakaposomwa.
Hii ni kutokana na imani yangu kwa mleta mada.
Hapa bongo deep state ni Rais mwenyewe na Ccm yake.Endelea kunywa Tangawizi maana umenena ukweli mtupu. Mtu anayeniambia eti dipu steti sijui madudu gani huwa namshangaa kama Zuzu.
Bas unajikuta una aaakiili mjinga wewe.Kwann mnapenda kuwadharau watu wasiokuwa interested na upumbavu wenu wa ndoto za alinachA nyie wehu??Mimi pia Imani yangu kwa Mtoa nada dugu TumainiEl 100%
Tatizo humu watoto na wasiokuwa na Upeo ka 1B wapo wengi Matokeo yake hawajui nini Kimeandikwa wanajibu hovyo tuu!
Huyu jamaa nimemfuatilia kitambo anachosema kinatokea
Cc Pascal Mayalla
Bas unajikuta una aaakiili mjinga wewe.Kwann mnapenda kuwadharau watu wasiokuwa interested na upumbavu wenu wa ndoto za alinachA nyie wehu??
Kama napiga ramli chonganishi kasome uzi wa JrRamli chonganishi.
Upi huo?Kama napiga ramli chonganishi kasome uzi wa Jr
Wewe ndio unasema ila muda utakujuzaHii nchi haina kitu chochote kama deep state au wazee wenye siri za taifa.ni kutishiana tishiana tu.Mambo yasingekua yanaenda kiholela holela
Unatabiri mambo elfu randomly probability ya mojawapo kutokea ipo.Sina dam ya mtu awaye yeyote ktk uso wa dunia ila nimmoja ya watu ukinisikiza utaiponya nafsi yako maana Mungu amenipa uwezo wa ajabu sana.
Mbona husemi nilipo mwambia hayati JPM asikitaje kifo na yale yametokea some time....
Nani alimng'oa kucha na meno Dr. Ulimboka?Yohana wa Patmo hakumuua Ben Saanane
Huyu ni moja ya wauaji waliokuwa wanatumiwa na Mwendazake. Saivi kachanganyikiwa huamini kan Mwendazake aliyekuwa akimlipa kufanya ufedhuli hatupo. Kwa iyo amekalia ramli tu
Usimshangae sana ni msongo wa mawazo tu. Tu mshauri tu kuwa Samia ndo Rais wake Hadi 2030 na alikubali hilo