Maono ya Rais mama Samia kuhusu uwekezaji nchini kwenye nyuzi 360

Maono ya Rais mama Samia kuhusu uwekezaji nchini kwenye nyuzi 360

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,186
Reaction score
7,492
Mh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.

Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.

Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.

Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.

Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k

Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.

2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.

3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.

4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.

Kuhusu ajira.

1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.

Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.

2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.

3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.

Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.

N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.

===========
UPDATE
==========
Leo tarehe 2I/04/2021, Mh. Rais Mama Samia amekutana na wafanyabiashara kutoka China ambao wameahidi kuwekeza Tanzania kupitia Kampuni zao zaidi ya 800. Kulingana na taarifa iliyotolewa, wanakusudia kuwekeza kwenye viwanda vya Magari, Simu, Madawa n.k

Ni hatua nzuri sana ambayo itasaidia kukuwa kwa uchumi wetu na kutengeneza ajira nyingi kwa vijana. Tumuungeni mkono na Mungu atubariki sote.
 
Mada kuhusu kuwajengea uwezo wawekezaji wa ndani tutaichambua baadae
 
Shujaa wa Kizamani hakika aliwaharibu MATAGA na kufanya waone wawekezaji wote ni "mabeberu"
Mfano china pamoja na mafanikio makubwa waliyonayo kiuchumi, wamekuwa wakiyavutia makampuni ya nje na hasa marekani kuwekeza kwa kasi china. Mfano kwenye mji wa shanghai na shenzhen kumejaa makampuni ya electronics ya marekani. Na makampuni hayo yamechangia pakubwa kukuza uchumi wa china na kutengeneza ajira za kutosha.

Kwa hiyo nadhani sasa tunaenda kwenye muelekeo mzuri sana kisera ambapo karibuni tunaweza kupata mafanikio ya kutia moyo.
 
Sio kila mwekezaji ni genuine ,

Wengine ni janja janja tu, wanakuja kwa malengo yaliyojificha moja wapo ikiwa kupata ardhi yetu ili wachukulie mikopo kwenye mabenki yao huko nje na kuendelea na mambo mengine

Tusipokua makini tunaweza kuta sehemu kubwa ya ardhi yetu ipo rehani kwenye mabenki ya nje hiyo ni threat kwa national security.
 
Ukisema huko ndio tulitoka unakusudia nini mkuu?
Hata Magufuli hakufika Trilion 1.5 aliyokuwa anawalisha tango pori. Wakati wa Kikwette makusanyo ya Halmashauri yalikuwa hayahesabiwi kwenye kapu kubwa kwa kuwa Halmashauri zilikuwa zinakusanya zenyewe. Makusanyo ya Magufuli yanahusisha na fedha za halmashauri
 
Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
 
Mh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.

Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.

Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.

Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.

Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k

Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.

2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.

3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.

4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.

Kuhusu ajira.

1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.

Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.

2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.

3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.

Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.

N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.
Umeweka kitaalamu sana, hizo ndiyo principles za biashara. Hongera
 
Mh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.

Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.

Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.

Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.

Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k

Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.

2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.

3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.

4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.

Kuhusu ajira.

1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.

Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.

2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.

3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.

Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.

N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.
Hizi essay mnaandika kama zile za mashuleni
 
Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
JK aliziacha Halmashauri kukusanya mapato zenyewe na kukipangia miradi ya maenseleo kwenye maeneo yao.

Magufuri mapato yake yalichanganya mpaka fedha za Halmashauri ndiyo maana unaona ziko juu kidogo. Halafu mipango ikapangwa kutokea Serikali Kuu.

Hapo ndiyo utakuta kwenu mliokusanya fedha nyingi hamna barabara wakati Chato kwenye makusanyo madogo wanajengewa Airport
 
Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
Ni huo wakati wa JK ambapo vijana wengi waliotoka chuo walikuwa wakiajiriwa, mishahara ya wafanyakazi ilikuwa ikiongezwa kila mwaka, miradi Mingi ya maendeleo kama shule, vyuo, barabara na madaraja ilifanyika na watu walikuwa na hela na kazi mitaani.

Hizo sera za huyo mpuuzi wenu magufuli zimesaidia nini maana kama kukopa tu, kwa miaka 5 amekopa kuliko alivyokopa JK kwa miaka 10??? Na watu wamekosa ajira kwa makampuni kufunga biashara na kuondoka, majobless wamejaa mitaani na wengi kugeuka wachuuzi ( machinga)
 
Sio kila mwekezaji ni genuine ,

Wengine ni janja janja tu, wanakuja kwa malengo yaliyojificha moja wapo ikiwa kupata ardhi yetu ili wachukulie mikopo kwenye mabenki yao huko nje na kuendelea na mambo mengine

Tusipokua makini tunaweza kuta sehemu kubwa ya ardhi yetu ipo rehani kwenye mabenki ya nje hiyo ni threat kwa national security.
Kwani wawekezaji wa nje kwa kawaida huuziwa ardhi?
 
Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
Huwa tunaanza na sera halafu ndio sheria. Sheria hutungwa iki kutekeleza sera na moja ya vyanzo vya sera ni maelekezo ya viongozi, na naelekezo hayo ni zao la maono ya viongozi.

Wewe ushaambiwa ukifosi kodi bila timing mwekezaji haji au anafunga biashara, wewe unasema 800b.

Ni sawa na uambiwe ukikamua ng'ombe mara tatu kwa siku bila kumlisha atakufa na baada ya siku chache hutapata maziwa kabisa, wewe unasema yaani nikose maziwa ya mchana?
 
Mh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.

Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.

Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.

Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.

Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k

Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.

2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.

3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.

4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.

Kuhusu ajira.

1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.

Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.

2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.

3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.

Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.

N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.
Asante sana kwa bandiko zuri, umeongea uhalisia kabisa.
Ni heri kuwa na taxbase kubwa ambayo inakuwa charged fair Tax kulikokuwa na taxbase ndogo na kuitax unrealistic taxes.
 
Kuruhusu wafanyabiashara kukimbia kodi? Kuruhusu expatriates ovyo nchini? Haya ndio matatizo ya watanzania kweli?
Hayi maneno 'kukimbia' na 'ovyo' wewe unayapata wapi? Yaani pamoja na ufafanuzi wote kwenye uzi wa msingi bado hujaelewa msingi wa hoja?
 
Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
Dooh! Hajasema kodi isilipwe amesema watumie akili kuikusanya hivyo tuu.
 
Back
Top Bottom