imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kama anatoa ajira kwa Vijana ni PoaSio kila mwekezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anatoa ajira kwa Vijana ni PoaSio kila mwekezaji
Uko sahihi sana mkuu. Ukikusanya mfano tsh. 100 kwa wawekezaji 1000 unakuwa unepata pesa kuliko ukikusanya 1000 kwa wawekezaji 10 halafu pengine 5 wakakimbia, halafu na zile faida nyingine nyingine pia unakosa.Asante sana kwa bandiko zuri, umeongea uhalisia kabisa.
Ni heri kuwa na taxbase kubwa ambayo inakuwa charged fair Tax kulikokuwa na taxbase ndogo na kuitax unrealistic taxes.
Mh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.
Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.
Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.
Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.
Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k
Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.
2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.
3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.
4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.
Kuhusu ajira.
1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.
Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo
1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.
2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.
3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.
Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.
N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.
Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
Shukuran mkuu. Tumuunge mkono mama pale anapofanya vizuri ili hata pale patakapokuwa na kasoro wadau wakishauri iwe ni rahisi kuchukukuliwa serious.Uzi wenye mchango mzuri, sina shaka na ulichoandika kwenye uzi huu.
Mawazo chanya kama haya ndiyo yawe yaruhusiwa huku kwa jukwaa.Asante sana kwa bandiko zuri, umeongea uhalisia kabisa.
Ni heri kuwa na taxbase kubwa ambayo inakuwa charged fair Tax kulikokuwa na taxbase ndogo na kuitax unrealistic taxes.
Chawa mnakazi sana kuji-adjust na mwelekeo mpya wa nchiMh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.
Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.
Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.
Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.
Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k
Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.
2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.
3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.
4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.
Kuhusu ajira.
1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.
Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo
1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.
2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.
3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.
Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.
N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.
Shukuran mkuu. Tumuunge mkono mama pale anapofanya vizuri ili hata pale patakapokuwa na kasoro wadau wakishauri iwe ni rahisi kuchukukuliwa serious.
Ikumbukwe hata kiongozi awe mzuri na awe na nia nzuri kiasi gani, kama hataata support ya kutosha kutoka kwa waliomzunguka na anaowaongoza, hawezi kufanikiwa sana, kwa hiyo ni jukumu la watu wema wanapoona kuna jambo jema linafanyika au linataka kufanyika wasaidie kuongezea nguvu kulingana na mazingira na uwezo wa kila mmoja.
Mkuu tumerudi tena kwenye nchi ya hoja kwa hoja. Kwa mkuu anayedhani ana hoja au ushuauri wa maana huu ndio wakati. Ambaye hatutumia wakati huu huenda asipate tena fursa ya kutoa hoja yake kwa ufasaha katika kipindi fulani na kubaki kulia lia.Chawa mnakazi sana kuji-adjust na mwelekeo mpya wa nchi
Nami naona nichangie kuhusu hizo hoja zako:Mh. Rais mama samia anaamini kwamba wawekezaji wakija kwa wingi nchini watachangia ukuaji wa uchumi kwa kasi ambapo kwa sasa kinachowakwamisha ni complications zisizo na ulazima, kodi zisizo rafiki na vibali vya kazi kwa wawekezaji.
Kuna watu wanajenga hoja kwamba mtizamo huu wa Mh.Rais utaikosesha nchi mapato na pia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni/ wawekezaji utaathiri ajira za wenyeji.
Naomba kujibu hoja hizi kulingana na ufahamu wangu na wengine wanaweza kuongezea.
Kuhusu kodi
1. Kampuni za kigeni zikiwekewa mazingira rafiki ya kuwekeza nchini, hata kama hazitozwi kodi kubwa katika hatua za awali, kutokana na operesheni zake, hatimaye kuna kodi za aina mbalimbali zitakuja kulipwa.
Kwa mfano, kampuni itaajiri watu kibao, watalipa PAYE, bidhaa zinazozalishwa zitalipiwa VAT, wafanyakazi wa kampuni watakuwa wanapata kipato ambapo watafanya manunuzi ya bidhaaa ambapo watakuwa wanalipa kodi kupitia manunuzi na.k
Hivyo hii itasaidia kukusanya kodi kidogo kidogo lakini kutoka kwenye vyanzo vingi hivyo kuwa na win win situation.
2. Wawekezaji wakiwa wengi kutakuwa na 'economic diversification' na hii itakuwa na positive multiple effects kwenye uchumi wetu.
3. Makampuni yatakayowekeza nchini yatauza bidhaa kwenye nchi nyingine pia, kwa hiyo watu watakuja hapa nchini kununua bidhaa wapeleke kwao. Kwa mfano makampuni ya china ya simu, magari na.k yakiwekeza tanzania yatauza africa nzima, hivyo badala ya wafanyabiashara wa kiafrika kwenda guanzhou, watajaa Tanzania na watalala kwenye mahoteli yetu na kununua matikiti yetu ya mkuranga. Tunapata pesa na kodi.
4. Watanzania kujifunza kutoka kwa wawekezaji. Haya makampuni yakija kwa wingi, tutapata fursa ya kujifunza teknologia n.k. wadogo zetu hawatahangaika sana kuzunguka kutafuta field atachement na lile tatizo la kuwa na na engineers wasioweza kutengeneza chochote kotokana na kusoma theories tu litapungua.
Kuhusu ajira.
1. Makampuni haya hayataajiri wageni tu bali pia wenyeji hasa kwenye nafasi za kazi za jumla kama uhasibu, manunuzi, utawala. Na.k top management pekee ndio watakuwa wenye kampuni au waliochaguliwa na wenye kampuni.
Hili ni muhimu kwa sababu zifuatazo
1. Hakuna mwekezaji yoyote makini anayeweza kukubali kumkabidhi kampuni mtu asiyemjua awe ndio mfanya maamuzi kwa mtaji wa mabilioni. Hata kama ni wewe huwezi kufanya hiyo labda kama una bet mtaji.
2. Waafrica wengi tuna kosa baadhi ya skills za msingi kwenye maeneo flani. Kwa mfano kwenye electronics, ukweli bado tuko nyuma sana na tuliwahi kuyauliza makampuni kadhaa ya electronics kwamba kwa nini wasiwekeze afrika kwa kuwa kuna soko kubwa? Jibu lilikuwa kwamba africa hakuna raslimaliwatu yenye skills nzuri kwenye electeonics na hawaruhusu wachina kuwekeza na kufanya wenyewe kwenye maeneo hayo.
3. Changamoto ya uaminifu. Moja ya shida kubwa inayotukabili wa Tanzania ni suala la uaminifu. Ni rahisi sana kupata mtu mwenye elimu, lakini kupata watu wa aminifu si jambo la kitoto. Kama huamini wekeza pesa mahali halafu weka mbongo azisimamie halafu ulete mrejesho. Kwa hiyo ni vigumu kumlazimisha mwekezaji kuweka meneja asiyemjua vizuri. Hata hivyo kwenye eneo hili bado tunayo fursa ya kujifanyia self improvement na kufanya vizuri.
Kwa ujumla kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kama alivyosema mh. Rais Samia kuna faida kwa pande zote na tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.
N.b: Mada hii inazungumzia wawekezaji toka nje.
Hiki ni kitu cha kuzingatia kwenye hii sera lkn haimaanishi tuache kuvutia wawekezajiSio kila mwekezaji ni genuine ,
Wengine ni janja janja tu, wanakuja kwa malengo yaliyojificha moja wapo ikiwa kupata ardhi yetu ili wachukulie mikopo kwenye mabenki yao huko nje na kuendelea na mambo mengine
Tusipokua makini tunaweza kuta sehemu kubwa ya ardhi yetu ipo rehani kwenye mabenki ya nje hiyo ni threat kwa national security.
Mkuu wewe unafanya shughuli gani?Wakati wa JK huo si ndio ujinga uliokuwa unafanyika na kodi ilikuwa ni 800bn kwa mwezi wastani, SSH hana maoni, kodi lazima ikusanye kwa sheria kama anaona kodi ni kubwa abadilishe sheria, vinginevyo anatengeneza mazingira ya wafanyabiashara kukataa kulipa kodi halali kabisa.
Inawezekana ni graduate anaapply bado.Mkuu wewe unafanya shughuli gani?
Angalia na. 1 katika maelezo yako umeandika: hata kama hazitozwi kodi kubwa....Mkuu RMC hakuna mahali nimesema kampuni zisilipe kodi, wala hamna mtu anayesema hivyo. Kwani kwa nini wasilipe? Ni vizuri kuelewa muktadha wa hoja, vinginevyo tunaweza kupotosha hoja kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
Masahihisho tu kidogo kwenye andiko lako kuu...Mfano china pamoja na mafanikio makubwa waliyonayo kiuchumi, wamekuwa wakiyavutia makampuni ya nje na hasa marekani kuwekeza kwa kasi china. Mfano kwenye mji wa shanghai na shenzhen kumejaa makampuni ya electronics ya marekani. Na makampuni hayo yamechangia pakubwa kukuza uchumi wa china na kutengeneza ajira za kutosha.
Kwa hiyo nadhani sasa tunaenda kwenye muelekeo mzuri sana kisera ambapo karibuni tunaweza kupata mafanikio ya kutia moyo.
Kodi kubwa, kutolipa kodi na zero tax ni kitu hicho hicho ila rates ndio tofauti. Unapomwambia investor njoo lakini corporate tax utalipa 0 percent au machine zako za uzalishaji utalipa 0 percent import/ custom duty lakini katika sub sector hiyo hiyo kuna mzawa au kampuni ya nje iliingia zamani inalipa kodi hizo hapo ndio utofauti ninaousema. Ukitaka kuwa sawa unaweka level ground katika sub sector hiyo kusudiwa sio kufanya discrimination kwa kisingizio cha uwekezaji ndipo yale madhara niliyoyasema yanapojitokeza.Kodi kubwa, kupunguza kodi, na O kodi ni vitu vitatu tofauti kabisa mkuu. Ni sawa na mtu akuambie usile chumvi nyingi sana kwa wakati mmoja, halafu wewe useme ' sana nisipokula chumvi kabisa........' Unakuwa umehama kabisa kwenye mantiki na hivyo hoja zote unazojenga baada ya hapo zinakuwa zimesha divert kwenye hoja ya msingi.
Halafu pia sijakuelewa vizuri, kwa nini unadhani kwamba katika muktadha wa hoja ya msingi, wengine watalipishwa kodi wengine hawatalipa? Yaani kwa nini unawaza hivyo?
Halafu kuhusu hoja kuwa uwekezaji huvutiwa na vitu vingi, sio kitu kimoja upo sahihi kabisa. Ila si tumesema tanzania kuna mazingira mazuri ya uwekezaji isipokuwa mifumo michache tu ndio inatukwamisha? Anyway! Nakubaliana na wewe kwamba inawezekana pia kuna mambo mengine ya kuboresha vile vile, basi ndio tuyaseme sasa na kwamba yanaboreshwaje!
Tusikate tamaa kiujumla jumla tu hivyo. Mimi naamini tunaweza kushawishi MNC's kuwekeza Tz na bidhaa zikauzwa Africa nzima kutokea hapa.
Wanapewa derivative right of occupancy ambayo inatosha kuwa collateral ukizingatia kwamba muda unakua ni 33,66 na 99 years.Kwani wawekezaji wa nje kwa kawaida huuziwa ardhi?
Ajira zipi sasa unazungumzia mkuu, maana bila sekta binafsi kukua hakuna ajira na hakuna ukuaji wa sekta binafsi bila uwekezaji.Wanapewa derivative right of occupancy ambayo inatosha kuwa collateral ukizingatia kwamba muda unakua ni 33,66 na 99 years.
Hakuna anayekataa investors kuja nchini ila swala hapa ni kuwa tunawakaribisha vipi, ukizingatia kwamba kuna ulazima wa kulinda ajira za vijana wetu kwani tusipozilinda tutawafanya kuwa manamba kwenye nchi yao na elimu yao itakua haina faida, tutatengeneza kizazi ambacho kimekandamizwa kwa muda na siku wakichoka hapata kalika hapa.
Kodi ni tamu ndio ila tusifanye hivyo at the expence of our national security.