Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Si tulikubaliana JF kila mtu ni msomi?

Sasa vipi tena leo kila mtu analaumu na kulalamika wasomi wetu?

Kwahiyo wote humu ni std 7 ,
Kwani kila msomi kazi yake ni kufanya utafiti, wewe umesoma wapi?
Kuna wasomi watafiti, waundaji sera, watekelezaji sera, wasimamiaji wa mifumo, washauri nk.
Phd ndio jukumu lao kubwa ni kutafiti, na hata digrii hizo ni kutafiti zaidi sio ku implement kama digrii ya kwanza.
Vipo vituo vya utafiti ambavyo kazi yao hasa ndio kutafiti ikiwepo NIMR.
Vyuo vikuu ni centre of innovatio,research and invention.
Viwanda vinatakiwa viwe centre of invention and innovation kwa sababu vinakutana na changamoto nyingi.
Company, hasa za kiteknolojia kama VODA TIGO,TTCL hizi nazo zinatakiwa zifanye innovation,invention and research.
kampuni kubwa yapaswa iwe na RND centre ila hapa kwetu hazina.
Nahitimusha kwa kusema sio kila msomi ni mtafiti ila mtifiti lazima awe msomi.
Hata ulaya haipo hivyo sio kila msomi huko ulaya ni mtafiti.
Watafiti kushindwa kazi yao isiwe nongwa kwa wengine.
 
Jiwe (Magufuli) alinisikitisha sana alipokuwa anang'ang'ania kujifukiza na upuuzi mwingine, huku wengine, hata majirani zetu wakijifunza mambo chungu nzima kutokana na ugonjwa huo!

Hata sasa sijui kama kuna chuo chochote hapa nchini, au taasisi yoyote inayojihusisha na utafiti juu ya ugonjwa huo!

Nilisikitika sana kuwa nawasikia hata ma-profesa wetu mashuhuri, kama wale wa Muhimbili wakijihusisha na upuuzi aliokuwa akiufanya Magufuli juu ya ugonjwa huo.

Itatuchukua muda mwingi sana kurudisha heshima ya elimu yetu kutokana na yaliyotokea kwa muda huo mfupi wa Magufuli.

Wenzetu wanaendelea kujijenga, sisi sijui hata kama tumeanza kujitambua ili tujirekebishe na upotofu ule uliofanyika.
Mkuu sema tena na tena. Kuna watu wajinga wanadhani ugonjwa kama huu ni kitu cha kupita tu. Kama ulivyosema wenzetu wamejifunza na wanaendelea kujifunza mengi kabisa kuhusu huu ugonjwa. Dunia yetu bado itakabiliwa na milipuko ya virus, ni suala la muda tu. Sisi tutakuwa hatuna ujuzi wowote na hali itakuwa mbaya. Hebu tujiulize: zamani magonjwa kama surua, polio marais au serikali za wakati ule zingechukuwa msimamo kama wa mwendazake leo ungekuta yameshadhibitiwa kwa kiasi hiki? Wao wanakimbilia kusema ''lockdown'' (kitu ambacho kwa mazingira yetu ni kama haiwezekani) lakini hawataki kuona kwamba kupambana na corona ni zaidi ya lockdown.
 
Hivi kweli huko Tanzania au unaishi na kuandika ukitokea nje na mbali na Tanzania. Huko kujifukiza unakodharau kumesaidia na kuwaponya Watanzania wengi dhidi ya korona 2020. Badala ya kejeli dhidi ya JPM ungetambua mchango wake kwa Watanzania dhidi ya korona, kitiba na kisaikolojia.
 
Unataka kusema hao maprofesa na madokta hawajaenda kusoma china, marekani nk. Wengi tu wamesoma ulaya karibu nusu ya malecture wanapelekwa kusoma ulaya.
Tutafute tatizo tusizingizie
Waafrica
 
Ubunifu wowote usiojibu au kutatua tatizo ni kupoteza muda tu....labda ni ubunifu wa kuonesha au kufundishia tu.

Na ubunifu uende sambamba na gharama ndogo za kutengeneza ukilinganisha na kile ambacho tayari kipo sokoni ndio italeta maana...haswa kama sio ubunifu mpya.
Sanamu limetisha asee
 
Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani.

Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe.

Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza?

Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?









View attachment 1801671
Naunga mkono yaani nilitembelea Yale maonyesho Doo aisee mtu eti ni Dr anajisifia alivyomsumbua mwanafunzi wa master kwenye research yake.
 
Mngesema niende na bidhaa zangu duuu
20210506_171535.jpg
20210520_174258.jpg
20210520_174321.jpg
 
Nyie munaohoji munashindwa Think Critically

Lakini je, kuna mabanda mbalimbali hapo ya kada mbalimbali. Hilo banda lililokuwa na sanamu la matati ni la TAALUMA au SECTOR gani...Tusikimbilie lawama.

Kwenye mada 95% wamekosa Thinking Critical na ku-claim kuwa Taaluma ni Sayansi na teknolijia tu wanashindwa jua kuna maelfu ya wataalam nakuna Program kibao hapo UDSM inakuwaje kuona INNOVATION ni Robotcts tu Mtu wa FASIHI SIMULIZI je.
 
Back
Top Bottom