Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Hiyo sanamu ilikuwa inaeleza jambo katika historia, mlitaka mtu wa history afanye nini? Halafu mlipata ufafanuzi kwa nini hiyo sanamu?

Kuhusu kuamia ndege, kuna kifaa kilishatengenezwa siku nyingi, kinatoa sauti ya mwewe au ya ndege wanaokula ndege wenzao. Ndege wala mazao wakisikia hiyo sauti wanakimbia.

Humu watu wengi hawapo informed. Halafu hawawezi kuchambua na kuelewa mantiki ya kitu.

Innovation ipo katika kila eneo, sio sayansi tu.
Hiki ndicho nilichosema juu 90% ya waliochangia uzi wana Thinking za ajabu.
 
Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani.

Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe.

Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza?

Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671
Wenzetu wanahangaika na Autonomous Vehicles, Blockchain Internet & Artificial intelligence sisi tunahangaika na kuchomea Mabati Kujenga sanamu na majiko ya kupikia supu.
 
Kwa upeo uliopo ni ngumu sana kuelewa the reason behind this sanamu. Nafikiri hii ni sehemu ya ripoti yake ya study (na ni Masters sio PhD).... Ni sculptor (sijui kwa kiswahili niisemeje) kwa kifupi tu nilipobahatika kupata maelezo ya ziada ni kuwa mabati hayo kama ulivyoyaita sio tu kwamba yamepindwa na kukunjwa kiholela bila kuzingatia theory behind kwa maana ya maumbo sikumbuki aliyaitaje kwa umoja ila maumbo kama mistari minyoofu, duara n.k. It is very interesting ukiisikiliza theory yake.

Na kama pia uliiona viti vyake vile vya chuma sio tu kuwa alipindisha na kuunda kiti bali reasoning yake behind uundwaji wa viti hivyo.
Lazima kuna kitu ambacho pia kilimwezesha kushinda mashindano ya ubunifu yaliyofanyika sehemu mbbalimbali ikiwemo nje ya nchi.

Pia anabuni vitu kwa kutumia matairi ya magari kama yule kijana aliyewekwa na Millard Ayo kwenye Youtube page yake Ni sanaa
 
Hiki ndicho nilichosema juu 90% ya waliochangia uzi wana Thinking za ajabu.
Halafu wajibu kama walipata hata muda wa kusoma hizo posters. Wanadhani uvumbuzi ni mpaka waone kitu physical tu! Sidhani kama kuna mtu aliweza kusoma hata poster moja akalimaliza!
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Kwa upeo uliopo ni ngumu sana kuelewa the reason behind this sanamu. Nafikiri hii ni sehemu ya ripoti yake ya study (na ni Masters sio PhD).... Ni sculptor (sijui kwa kiswahili niisemeje) kwa kifupi tu nilipobahatika kupata maelezo ya ziada ni kuwa mabati hayo kama ulivyoyaita sio tu kwamba yamepindwa na kukunjwa kiholela bila kuzingatia theory behind kwa maana ya maumbo sikumbuki aliyaitaje kwa umoja ila maumbo kama mistari minyoofu, duara n.k. It is very interesting ukiisikiliza theory yake.

Na kama pia uliiona viti vyake vile vya chuma sio tu kuwa alipindisha na kuunda kiti bali reasoning yake behind uundwaji wa viti hivyo.
Lazima kuna kitu ambacho pia kilimwezesha kushinda mashindano ya ubunifu yaliyofanyika sehemu mbbalimbali ikiwemo nje ya nchi.

Pia anabuni vitu kwa kutumia matairi ya magari kama yule kijana aliyewekwa na Millard Ayo kwenye Youtube page yake Ni sanaa
Vijana wajinga wa kizazi hiki hawajui chochote na hawawezi kuwa hata na dakika moja ya kusoma, kusikiliza, au kuangalia kitu cha kitaalamu na kuhoji, kudadisi, kuchunguza na kukielewa.
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Kuna muda uwe unajitahidi kuficha ujinga wako
Jiwe (Magufuli) alinisikitisha sana alipokuwa anang'ang'ania kujifukiza na upuuzi mwingine, huku wengine, hata majirani zetu wakijifunza mambo chungu nzima kutokana na ugonjwa huo!

Hata sasa sijui kama kuna chuo chochote hapa nchini, au taasisi yoyote inayojihusisha na utafiti juu ya ugonjwa huo!

Nilisikitika sana kuwa nawasikia hata ma-profesa wetu mashuhuri, kama wale wa Muhimbili wakijihusisha na upuuzi aliokuwa akiufanya Magufuli juu ya ugonjwa huo.

Itatuchukua muda mwingi sana kurudisha heshima ya elimu yetu kutokana na yaliyotokea kwa muda huo mfupi wa Magufuli.

Wenzetu wanaendelea kujijenga, sisi sijui hata kama tumeanza kujitambua ili tujirekebishe na upotofu ule uliofanyika
 
Dah inatia huruma sana kwa uelewa huu.................. Nashauri watu tujifunze kudadisi kwa kushirikisha akili, mawazo na tafiti na sio kwa kuangalia tu kwa macho yetu.
 
Dah inatia huruma sana kwa uelewa huu.................. Nashauri watu tujifunze kudadisi kwa kushirikisha akili, mawazo na tafiti na sio kwa kuangalia tu kwa macho yetu.
Hawa watoto wajinga wanashinda JF kuandika mataputapu hiyo akili wataitoa wapi!
 
Halafu wajibu kama walipata hata muda wa kusoma hizo posters. Wanadhani uvumbuzi ni mpaka waone kitu physical tu! Sidhani kama kuna mtu aliweza kusoma hata poster moja akalimaliza!
Kinachoshangaza mtoa mada anajisanibu kwenda mpaka uwanjani na ndio kaleta hii mada instead watu kumuhoji mtoa mada wanaandika upupu kwangu mtoa mada ni mtu nikisema mjinga nakosea ila anasikitisha sana.
 
Mkuu Godfather-02

Imenichukuwa muda kiasi kuutafuta mchango wako huu hapa, baada ya kuona jibu ulilopewa na mpuuzi mmoja anayejiita MRUSI, ili na mimi nikupongeze na kuchangia machache juu yake.

Ila katika kuutafuta mchango huu, nikakutana na mwingine uliouweka mwanzo ambao kidogo umenisikitisha.

Kuhusu wazo hili zuri la kuwasaidia wakulima, kusema kweli ni kukosa tu usimamizi mzuri ndani ya nchi yetu, maana hapa ingetakiwa tu kutekeleza. Teknologia tayari ipo kabisa, kinachotakiwa ni kuunda tu hivyo vyombo vya kutosha na kuvisambaza kwa wakulima vifanye kazi.

1. Ni kuweka 'monitors' tu huko shambani, kutambua kuwa ndege wametuwa, hii tayari ipo.
2. Robot lililowekwa huko shambani likishajuwa ndege wametua, linatikisa au kutoa milio kuwafukuza ndege, uwezo huu tayari upo
3. Kinachotakiwa ni 'software' za kuweka tu kwenye hayo maroboti.
4. Internet of things(IoT), tayari itamwezesha mkulima kujua hali shambani kwake ipoje, akitumia 'smartphone'tu yenye uwezo wa kawaida

Sasa, kinachosikitisha kwetu ni huku kujidharau

Kwani kweli hatuwezi kuachana na haya mambo tukafanya mambo yetu kiuhakika zaidi?
Unawalenga wakulima wa kiwango gani? Kama kubota tu inawatoa jasho hio mifumo wataiweza?
Kama unawalenga wakulima wakubwa sawa, watamudu gharama.
 
Unawalenga wakulima wa kiwango gani? Kama kubota tu inawatoa jasho hio mifumo wataiweza?
Kama unawalenga wakulima wakubwa sawa, watamudu gharama.
Kumbuka, hivyo vishamba vidogo katika mkusanyiko ni vikubwa!

Hivyo hivyo na uwezo wao wakiwa katika kundi kubwa linalohudumiwa kwa pamoja.
 
Kwa upeo uliopo ni ngumu sana kuelewa the reason behind this sanamu. Nafikiri hii ni sehemu ya ripoti yake ya study (na ni Masters sio PhD).... Ni sculptor (sijui kwa kiswahili niisemeje) kwa kifupi tu nilipobahatika kupata maelezo ya ziada ni kuwa mabati hayo kama ulivyoyaita sio tu kwamba yamepindwa na kukunjwa kiholela bila kuzingatia theory behind kwa maana ya maumbo sikumbuki aliyaitaje kwa umoja ila maumbo kama mistari minyoofu, duara n.k. It is very interesting ukiisikiliza theory yake.

Na kama pia uliiona viti vyake vile vya chuma sio tu kuwa alipindisha na kuunda kiti bali reasoning yake behind uundwaji wa viti hivyo.
Lazima kuna kitu ambacho pia kilimwezesha kushinda mashindano ya ubunifu yaliyofanyika sehemu mbbalimbali ikiwemo nje ya nchi.

Pia anabuni vitu kwa kutumia matairi ya magari kama yule kijana aliyewekwa na Millard Ayo kwenye Youtube page yake Ni sanaa
Commercialization ya research ya mabati "chakavu" dunia ya Leo utamuuzia Nani? Eti theory, ujinga-ujinga tu. By the way Mo alikuja? Alisemaje kuhusu mabati?
 
Vyuo vikuu njooni na Innovation za maana

Nyie munaohoji munashindwa Think Critically

Lakini je, kuna mabanda mbalimbali hapo ya kada mbalimbali. Hilo banda lililokuwa na sanamu la matati ni la TAALUMA au SECTOR gani...Tusikimbilie lawama.

Kwenye mada 95% wamekosa Thinking Critical na ku-claim kuwa Taaluma ni Sayansi na teknolijia tu wanashindwa jua kuna maelfu ya wataalam nakuna Program kibao hapo UDSM inakuwaje kuona INNOVATION ni Robotcts tu Mtu wa FASIHI SIMULIZI je.
Mimi nilitembelea mabanda yote, mengine ndio hakuna kitu kabisa, badala ya kuelezea tafiti wanazofanya wanakuelezea vigezo vya kujiunga na chuo wakati kila kitu Kiko kwenye website Wala mtu hahitaji kwenda pale kujua Hilo.

Kiukweli kwenye swala la tafiti vyuo vyetu bado Sana, elimu yetu ni


knowledge base na sio competence base, so swala la tafiti no changamoto Sana.
 
Mimi nilitembelea mananda yote, mengine ndio hakuna kitu kabisa, badala ya kuelezea tafiti wanazofanya wanakuelezea vigezo vya kujiunga na chuo wakati kila kitu Kiko kwenye website Wala mtu hahitaji kwenda pale kujua Hilo.

Kiukweli kwenye swala la tafiti vyuo vyetu bado Sana, elimu yetu no knowledge base na sio competence base, so swala la tafiti no changamoto Sana.
Shida hata tafiti zao nyingi huwa hazina ubunifu.. na nyingi zinaanzia ughaibuni(mfadhili ndo anaamua nini kufanyike)
 
Commercialization ya research ya mabati "chakavu" dunia ya Leo utamuuzia Nani? Eti theory, ujinga-ujinga tu. By the way Mo alikuja? Alisemaje kuhusu mabati?
Inasikitisha sana, Hapo utawakuta Tena maonyesho ya sabasaba na FUKIZA DOL halafu Tena Nanenane na Sanamu pendwa. Recycling!
 
Back
Top Bottom