Maovu wanayotendewa Wakristo na Waafrika weusi huko Israel

Maovu wanayotendewa Wakristo na Waafrika weusi huko Israel

🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮

Low mind, poor guy
 
Tusipangiane!

Mimi nimeungana kukemea ubaguzi uzi umeleta public , mimi ni mpenda haki hivyo nami naongezea vya kukemea na ukizingatia hili ni jukwaa huru na hakuna jukwaa la wayahudi humu.

Kwani unaonaje na wewe huo uzi ungefungulia chumbani kwako ili uuone pekeyako bibi?
1703262547823.png

KAFIRIIII NENDA KANISANI UKABARIKIWE
 
Hakuna kigeni hapa, haya ni marudio. Tatizo hujawahi kusoma Biblia wala hata usingejisumbue kuleta hii mada humu
Soma wewe inatosha. kwenye biblia hakuna video clips. Jionee mambo haya:




Wajomba wa mungu wako hawataki hata kuona misalaba makaburini.
 
Tusipangiane!

Mimi nimeungana kukemea ubaguzi uzi umeleta public , mimi ni mpenda haki hivyo nami naongezea vya kukemea na ukizingatia hili ni jukwaa huru na hakuna jukwaa la wayahudi humu.

Kwani unaonaje na wewe huo uzi ungefungulia chumbani kwako ili uuone pekeyako bibi?
Safi sana
 
Yote haya yanatoka kwenye vyombo vya habari na vyanzo vyake vipo>

Tafsiri kwa msaada wa google.

Israel yatoa taarifa ya kushangaza leo ambapo maafisa wa serikali wanachukulia kwa uzito hivi karibuni kuongezeka kwa wakristo kutemewa mate na Mashambulizi dhidi ya makasisi na uharibifu wa Tovuti za Kikristo au Wakristo katika Mji wa kale wa Jerusalem.

Taarifa zinasema kuwa umekuwa mara kwa mara kushambuliwa hivyo, Video chini hapo inaonesha jinsi ya Viongozi wa Kikristo wakijibu maswali ya cbn Stahl waanatuletea habari hii kutoka Yerusalemu. Kamishna wa Polisi qwa Israel amekutana na viongozi wa Makanisa ya Orthodox na Katoliki ya Nchi Takatifu Katika miezi ya hivi karibuni na kukiri kuwa "tumeshuhudia hali mbaya sana Matukio ya Kikristo Madhehebu katika Nchi Takatifu.

Ma sister Wakristo ambao sio raia pia hushambuliwa katika maeneo yao ya maombi, ya katika makaburi yao na katika mitaa Wakristo katika mji wa kale wa Yerusalemu. Wakristo wamelalamika kuwa mara nyingi wanasumbuliwa na mate na hata kushambuliwa kimwili na Wayahudi. Vijana wa Kiyahudi wanaona jambo hili kuwa la kawaida. Matukio ya awali ni pamoja na Kuharibiwa kwa makaburi ya Kiprotestanti kwenye Mlima Sayuni mashambulizi dhidi ya kimataifa Wakristo katika siku ya maombi Yerusalemu na unyanyasaji katika Kimasihi Katika Yerusalemu.
Mengine tafadhali jionee mwenyewe video hapo chini na kwenye post zinazofatia na ulaani vikali gtabia hii ambayo kibinadam si sawa kabisa.

Mimi kama Muislam nalaani vikali tendo
View attachment 2850227
hivyo na sikubaliani navyo kabisa.

Inaendelea...
Vip huo unyama waarabu wanWafanyia waafrica umeuandika lakin
 
Kama umezaliwa Tanzania alaf unaingia katika mabishano kutetea dini au kundi fulani la watu, au race fulani ambayo wewe hauna uhusiano nayo.(umekuta babu yako Kaletewa tu na wewe ukapitishwa tu na wewe unakua mfia dini)

Unahitaji msaada wa dharula.
 
Haya Makristo unadhani yana akili haya, ngombe bora anaweza kutafautisha kati ya majani na kamba 😄

Haya kwenye bibilia anambiwa Yakobo atalindwa na Mungu wao wakageuza eti ni taifa la Israel 😄

Wao wanasema Yesu ni Mungu wao, Israel ndio Walio muuwa, sa vipi wauwe Mungu wa wakristo afu mseme kalibariki taifa lake 😄
 
Back
Top Bottom