Maovu wanayotendewa Wakristo na Waafrika weusi huko Israel

Maovu wanayotendewa Wakristo na Waafrika weusi huko Israel

Naona mnajitahidi kuhamisha magoli.

Tazama nyuzi hii uone watu weusi na wakristo wenzako wanavyofanywa na wayahudi.

Siwashangai wanafata ya mjomba wao, ikiwa Yesu mwenyewe aliwaita mbwa leo ntawashangaa vipi wayahudi? Fikiri.
Uliona yule muarabu aliyejisaidia haja kubwa ndani ya mdomo wa binti mweusi?!
 
Inaonesha dhahiri mnataka wakristo wawaunge mkono pale mnapokandwa na wayahudi, mnajaribu kutumia kila njia ilimradi wakristo wawaangalie kwa jicho la rehema. Quran yenu inasema wayahudi na wakristo Ni maadui zenu, mumeyatimba wenyewe malizaneni wenyewe muwaache wakristo Kama walivyo, waislamu ndio wabaya zaidi kwa wakristo kuliko wayahudi.
 
Uliona yule muarabu aliyejisaidia haja kubwa ndani ya mdomo wa binti mweusi?!
Sijaona lakini ulijuwaje? Ulikuwa nao?

Alikuwa na njaa sana au ndiyo wazimu wake?

Kichefuchefu.
 
Raundi hii Israel haicheki tena, yaani inatunisha misuli kote maana ni dhahiri hawa waarabu na dini yao hamna siku watakuja kukubali kuishi na Wayahudi kwa amani,==================

The IDF has allegedly informed Egypt of its intention to occupy the Rafah border area and asked Egyptian soldiers to evacuate the area, Arab media reported.

The IDF informed Egypt of its intention to occupy the border area on the "Philadelphi" Rafa route and asked the Egyptian soldiers to clear the border, as reported on Saturday in the Arab media.

The report also stated that the IDF emphasized to the Egyptians that from now on the IDF would not be responsible for the security of Egyptian forces in the area, while the IDF is attempting to occupy the border area, and emphasized that the military operation in the area will continue whether Egypt agrees or

Kama alivyowamaliza mazayuni mkatoliki Hitler, au sivyo?
 
Kama alivyowamaliza mazayuni mkatoliki Hitler, au sivyo?

Nilikuambia pale wameisha, wanahitaji wanawake mkapanue miguu, sema wewe Mwafrika kwa namna mnachukiwa na waarabu, hautatakiwa kutoa msaada

screenshot_20220521-114037_gallery-jpg.2240761


3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Nilikuambia pale wameisha, wanahitaji wanawake mkapanue miguu, sema wewe Mwafrika kwa namna mnachukiwa na waarabu, hautatakiwa kutoa msaada
Umekosa hoja unaleta viroja, wewe myahudi anakuona najisi tu.

 
Yote haya yanatoka kwenye vyombo vya habari na vyanzo vyake vipo>

Tafsiri kwa msaada wa google.

Israel yatoa taarifa ya kushangaza leo ambapo maafisa wa serikali wanachukulia kwa uzito hivi karibuni kuongezeka kwa wakristo kutemewa mate na Mashambulizi dhidi ya makasisi na uharibifu wa Tovuti za Kikristo au Wakristo katika Mji wa kale wa Jerusalem.

Taarifa zinasema kuwa umekuwa mara kwa mara kushambuliwa hivyo, Video chini hapo inaonesha jinsi ya Viongozi wa Kikristo wakijibu maswali ya cbn Stahl waanatuletea habari hii kutoka Yerusalemu. Kamishna wa Polisi qwa Israel amekutana na viongozi wa Makanisa ya Orthodox na Katoliki ya Nchi Takatifu Katika miezi ya hivi karibuni na kukiri kuwa "tumeshuhudia hali mbaya sana Matukio ya Kikristo Madhehebu katika Nchi Takatifu.

Ma sister Wakristo ambao sio raia pia hushambuliwa katika maeneo yao ya maombi, ya katika makaburi yao na katika mitaa Wakristo katika mji wa kale wa Yerusalemu. Wakristo wamelalamika kuwa mara nyingi wanasumbuliwa na mate na hata kushambuliwa kimwili na Wayahudi. Vijana wa Kiyahudi wanaona jambo hili kuwa la kawaida. Matukio ya awali ni pamoja na Kuharibiwa kwa makaburi ya Kiprotestanti kwenye Mlima Sayuni mashambulizi dhidi ya kimataifa Wakristo katika siku ya maombi Yerusalemu na unyanyasaji katika Kimasihi Katika Yerusalemu.
Mengine tafadhali jionee mwenyewe video hapo chini na kwenye post zinazofatia na ulaani vikali gtabia hii ambayo kibinadam si sawa kabisa.

Mimi kama Muislam nalaani vikali tendo
View attachment 2850227
hivyo na sikubaliani navyo kabisa.

Inaendelea...
Dada acha unafiki, usifikiri wakiristo hawajui madhira wanayopata Toka kwa Wayahudi. Lakini kama hiyo video inavyosema it's a small group of Jews who are extremists, wakati majority of Jews and the Government welcome Christians. Aidha, Israel Kuna uhuru wa habari ndiyo maana unazipata habari hizi. Tofauti kabisa na maeneo ya Wapalestina ambako wakiristo wanateswa na hamna NAMNA taarifa hizo kuufikia Ulimwengu.
Ona takwimu NAMNA ambavyo wakiristo imewabidi kukimbia maeneo ya wapalestina na hivyo kufanya idadi yao kuendelea kupungua kila mwaka; wakati idadi ya wakiristo ndani ya Israel ikiendelea kuongezeka
Yote haya yanatoka kwenye vyombo vya habari na vyanzo vyake vipo>

Tafsiri kwa msaada wa google.

Israel yatoa taarifa ya kushangaza leo ambapo maafisa wa serikali wanachukulia kwa uzito hivi karibuni kuongezeka kwa wakristo kutemewa mate na Mashambulizi dhidi ya makasisi na uharibifu wa Tovuti za Kikristo au Wakristo katika Mji wa kale wa Jerusalem.

Taarifa zinasema kuwa umekuwa mara kwa mara kushambuliwa hivyo, Video chini hapo inaonesha jinsi ya Viongozi wa Kikristo wakijibu maswali ya cbn Stahl waanatuletea habari hii kutoka Yerusalemu. Kamishna wa Polisi qwa Israel amekutana na viongozi wa Makanisa ya Orthodox na Katoliki ya Nchi Takatifu Katika miezi ya hivi karibuni na kukiri kuwa "tumeshuhudia hali mbaya sana Matukio ya Kikristo Madhehebu katika Nchi Takatifu.

Ma sister Wakristo ambao sio raia pia hushambuliwa katika maeneo yao ya maombi, ya katika makaburi yao na katika mitaa Wakristo katika mji wa kale wa Yerusalemu. Wakristo wamelalamika kuwa mara nyingi wanasumbuliwa na mate na hata kushambuliwa kimwili na Wayahudi. Vijana wa Kiyahudi wanaona jambo hili kuwa la kawaida. Matukio ya awali ni pamoja na Kuharibiwa kwa makaburi ya Kiprotestanti kwenye Mlima Sayuni mashambulizi dhidi ya kimataifa Wakristo katika siku ya maombi Yerusalemu na unyanyasaji katika Kimasihi Katika Yerusalemu.
Mengine tafadhali jionee mwenyewe video hapo chini na kwenye post zinazofatia na ulaani vikali gtabia hii ambayo kibinadam si sawa kabisa.

Mimi kama Muislam nalaani vikali tendo
View attachment 2850227
hivyo na sikubaliani navyo kabisa.

Inaendelea...
Dada FaizaFoxy acha unafiki usifikiri wakiristo hawajui madhira wanayopata Toka kwa Wayahudi. Lakini kama video inavyosema it's a small group of the Jewish community who are extremists; bali Wayahudi na Serikali kwa ujumla wao wanawakaribisha wakiristo na kwakweli idadi ya wakiristo ndani ya Israel inazidi kuongezeka. Vile vile ujue kuwa Israel Ina uhuru wa habari ndiyo maana unazipata habari hizi. Tofauti kabisa na maeneo ya wapalestina ambako wakiristo wanateswa, na hakuna uhuru wa habari kututaarifu kuhusu madhira hayo na vile vile mateso hayo yanafanya idadi ya wakiristo ndani ya palestina kuendelea kupungua kila mwaka
Screenshot_20231225-190342.png

All in all Wayahudi na Waislam nyinyi wote ni curse to the world kwa sababu mlimkataa Yesu wa kweli (usituletee story zenu za ISSA yule fake Jesus)
F9mH7yNXsAANBiL.jpeg
 
Hata na mimi naungana na wewe kukemea ubaguzi huo.

Pia tukemee ubaguzi na mauaji ya wafanyakazi wa ndani kutoka Africa kwenye nchi za arabuni kama Saudi Arabia, Oman na kadhalika.

Kwani hao weusi wameeenda kujitafutia kipato iweje wapokwe pasi zao, wabakwe kisha kuuwawa?

Nami naambatanisha ushahidi hapa chini.



Mi sishangai kwa waarab kubaka watu weusii kwani hata Mohammed alikuwa anafanya hivi, kubaka wake za watu kisha kuua waume zao. Ni jadi kwao Waarab kubaka.
 
Umekosa hoja unaleta viroja, wewe myahudi anakuona najisi tu.

View attachment 2852810

Mimi huwa naunga mkono upande wowote unaotembeza kichapo kwenu kila mkichokoza, iwe Myahudi, Mhindi, Mchina n.k.
Myahudi amepiga mpaka wanawake mnahitajika mkapanue miguu, sema wewe Mwafrika hutakiwi maana muarabu hukuona kama mbwa.
 
Mimi huwa naunga mkono upande wowote unaotembeza kichapo kwenu kila mkichokoza, iwe Myahudi, Mhindi, Mchina n.k.
Myahudi amepiga mpaka wanawake mnahitajika mkapanue miguu, sema wewe Mwafrika hutakiwi maana muarabu hukuona kama mbwa.
Tunakujuwa wewe una islamophobia.

 
Tunakujuwa wewe una islamophobia.

View attachment 2853238

Kitambo nilikua sifatilii mambo yenu kama ambavyo huwa nimepuuza Budha na Wahindi, ila mlipoanza kuchinja Wakristo ndio nikaonza kujiuliza mna nini iwe nyie tu ndio mnalazimisha, nikakumbana na maandiko ya huyo muarabu 'mungu' wenu amesema mchinje kila asiyemuabudu.
Huwa mnalazimisha ugomvi na dini zote mkipigwa mnalialia islamphobi
Mimi huwa naunga mkono upande wowote unaotembeza kichapo kwenu kila mkichokoza, iwe Myahudi, Mhindi, Mchina n.k.
Myahudi amepiga mpaka wanawake mnahitajika mkapanue miguu, sema wewe Mwafrika hutakiwi maana muarabu hukuona kama mbwa.
 
Wayahudi bado wanaendelea kushikamana na Torati ya Musa! Kutochangamana na watu wa Mataifa!
(Matendo10:28)
Wanawahesabu Mataifa kama Najisi, hawapaswi kuwepo katika ardhi yao Takatifu.
Kuhusu kubomoa Makanisa na nyumba nyingine za Ibada za dini nyingine, wameagizwa katika Torati kuziharibu na kuziteketeza,
(Kumbu 12:1-3)
Ndiyo maana wanakusudia kubomoa miskiti ya Dome of Rock na al aqisa, na kujenga Hekalu la 3!
Nadhani ndiyo kampeni ya Israel ya kutaka kuwafukuza Wapalestina kutoka West Bank na hata Gaza!
 
Kitambo nilikua sifatilii mambo yenu kama ambavyo huwa nimepuuza Budha na Wahindi, ila mlipoanza kuchinja Wakristo ndio nikaonza kujiuliza mna nini iwe nyie tu ndio mnalazimisha, nikakumbana na maandiko ya huyo muarabu 'mungu' wenu amesema mchinje kila asiyemuabudu.
Huwa mnalazimisha ugomvi na dini zote mkipigwa mnalialia islamphobi
Mimi huwa naunga mkono upande wowote unaotembeza kichapo kwenu kila mkichokoza, iwe Myahudi, Mhindi, Mchina n.k.
Myahudi amepiga mpaka wanawake mnahitajika mkapanue miguu, sema wewe Mwafrika hutakiwi maana muarabu hukuona kama mbwa.
Hawa ni wagomvi tu na hiyo ni kwa sababu ktk kundi lao yumo pia Shetani

View: https://youtu.be/UAhqRkL_N8g?si=Bp6x1mCsrSzfHC9b
 
Likija suala la ulinzi na usalama wa taifa lolote kipaumbele huwekwakuliko ata imani.

Suala la ubaguzi kwa waafrika na wakristo ni mawazo na fikra za mtu mmoja mmoja, nimeona video kama mbili za watoto na vijana wadogo wakitema mate na maandishi eti ni Jews, ni vijana wasio na ID yeyote siwezi judge.
 
Yote haya yanatoka kwenye vyombo vya habari na vyanzo vyake vipo>

Tafsiri kwa msaada wa google.

Israel yatoa taarifa ya kushangaza leo ambapo maafisa wa serikali wanachukulia kwa uzito hivi karibuni kuongezeka kwa wakristo kutemewa mate na Mashambulizi dhidi ya makasisi na uharibifu wa Tovuti za Kikristo au Wakristo katika Mji wa kale wa Jerusalem.

Taarifa zinasema kuwa umekuwa mara kwa mara kushambuliwa hivyo, Video chini hapo inaonesha jinsi ya Viongozi wa Kikristo wakijibu maswali ya cbn Stahl waanatuletea habari hii kutoka Yerusalemu. Kamishna wa Polisi qwa Israel amekutana na viongozi wa Makanisa ya Orthodox na Katoliki ya Nchi Takatifu Katika miezi ya hivi karibuni na kukiri kuwa "tumeshuhudia hali mbaya sana Matukio ya Kikristo Madhehebu katika Nchi Takatifu.

Ma sister Wakristo ambao sio raia pia hushambuliwa katika maeneo yao ya maombi, ya katika makaburi yao na katika mitaa Wakristo katika mji wa kale wa Yerusalemu. Wakristo wamelalamika kuwa mara nyingi wanasumbuliwa na mate na hata kushambuliwa kimwili na Wayahudi. Vijana wa Kiyahudi wanaona jambo hili kuwa la kawaida. Matukio ya awali ni pamoja na Kuharibiwa kwa makaburi ya Kiprotestanti kwenye Mlima Sayuni mashambulizi dhidi ya kimataifa wapigwe tu maana hawajiekeweWakristo katika siku ya maombi Yerusalemu na unyanyasaji katika Kimasihi Katika Yerusalemu.
Mengine tafadhali jionee mwenyewe video hapo chini na kwenye post zinazofatia na ulaani vikali gtabia hii ambayo kibinadam si sawa kabisa.

Mimi kama Muislam nalaani vikali tendo
View attachment 2850227
hivyo na sikubaliani navyo kabisa.

Inaendelea...
Wapigwe tu maana hawajielewi
 
Sisi weusi popote duniani tunadharauliwa si waarabu si wazungu si wahindi si wachina etc ila sisi tunaendelea kuingia dini zao na tumesahau asili yetu!
Si kwelim kwa Waarabu m[aka wafalme ni weusi. Kuweni wa kweli mna usongo wa kujazwa ujinga kuhusu Waarabu, juzi Rose, niece wake MK254, kawasuta nyote.
 
Back
Top Bottom