Kariobangi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2022
- 480
- 435
Sio sigara tu ambayo haijatajwa moja Kwa moja hata bangi ,Coccaine,heroine,shisha nk hakuna aya Wala Hadith iliyovitaja moja kwa mojaPoint yangu ni kwamba sigara haijatajwa moja kwa moja na hiyo ni loop jole kwa wavutaji,inategemea na tafsirueishi zanzibar mashehe hawagusi pombe kabisa ila sigara wanavuta
Yeah walikuwa wamepanga wakati nyumba za zilijengwa.......Mapadre Walikuwa wamempanga? Au unataka kutuambia nn
Hiyo ni uongoYeah walikuwa wamepanga wakati nyumba za zilijengwa.......
Nguruwe, kumbikumbi, kambale, pombe nipe kifungu.Kwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa, sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya.
Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake. Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara, nafahamu mashehe kadhaa wanaovuta sigara, wanajitetea kuwa hakuna kifungu kwenye bible wala msahafu unaokataza sigara
Ni kweli hakuna lakini kwangu sigara ni dhambi mpya iliyosahulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu. Itafutwe bamna ichomekwe kwenye hivi vitabu vitakatifu
Kitu chochote kilichokatazwa kwenye vitabu vitakatifu kuanzia nguruwe, ngono, kambale, kumbikumbi, kunguru, ufiraji, wizi, uongo, usengenyaji, pombe nk vina mashara kiafya.
Sioni tofauti ya sigara na bangi,mvuta sigara ni rahisi sana kuvuta bangi,viongozi wa dini waache kuvuta moshi na wakemee kwa wauminiKwa kuwa na cocaïne haijaandikwa kwenye biblia n'a quran nashauri pia waitumie maana vyote vinaharibu afya
Hitimisho ni lipi waendelee kutumia sigara sababu haijaandikwa,au waachane nayo na iwekwe kundi moja na cocaine na bangiSio sigara tu ambayo haijatajwa moja Kwa moja hata bangi ,Coccaine,heroine,shisha nk hakuna aya Wala Hadith iliyovitaja moja kwa moja
Kwa hiyo hoja yako ni dhaifu,hujaifikiria kabla ya kuichangia na Kama ni loophole ni upuuzi wa mhusika binafsi kuidanganya nafsi yake kwani Allah huwezi mdanganya
Kabisa mkuu nakuunga mkonoSioni tofauti ya sigara na bangi,mvuta sigara ni rahisi sana kuvuta bangi,viongozi wa dini waache kuvuta moshi na wakemee kwa waumini
bangi siyo haramu!Bangi ni mbaya kwa afya ya mwanadamu kuivuta.ila yafaa kwa matumizi ya madawa sana ila sio kuvuta
Cocaïne pia sio harambangi siyo haramu!
Hitimisho ni waachane/tuachane na Kila kilichoharamishwa iwe bangi, mirungi,kamari , zinaa, cocaine,wizi,liwati ,rushwa na mengineyo ili tupata salama ya muumba hapa duniani na kesho akheraHitimisho ni lipi waendelee kutumia sigara sababu haijaandikwa,au waachane nayo na iwekwe kundi moja na cocaine na bangi
Wasabato na Mashahidi wa Yehova mna taabu sana, kwahy mmeshafikia hatua hata ya ku'critisize' maandiko matakatifu kuwa yana mapungufuKwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa, sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya.
Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake. Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara, nafahamu mashehe kadhaa wanaovuta sigara, wanajitetea kuwa hakuna kifungu kwenye bible wala msahafu unaokataza sigara
Ni kweli hakuna lakini kwangu sigara ni dhambi mpya iliyosahulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu. Itafutwe bamna ichomekwe kwenye hivi vitabu vitakatifu
Kitu chochote kilichokatazwa kwenye vitabu vitakatifu kuanzia nguruwe, ngono, kambale, kumbikumbi, kunguru, ufiraji, wizi, uongo, usengenyaji, pombe nk vina mashara kiafya.
Kaulize pale Mbezi Louis watakwambia na siyo kila kitu unaona wewe ndiyo unajua tu na nyumba watakuonyesha waliokuwa wanakaaHiyo ni uongo
Samahani mkuu sina shida na wanavyovitumia hapo kwenye pakulala kama store mapadre parokia gani hiyoMapadri wanatumia Pombe Kali sana, Kuna nyumba nihamia ila kabla yangu walikuwa wanaishi mapadri.....stoo kulijaa chupa za kila kilevi na Kuna sehemu palijaa vishungi vya sigara yaani utadhani ni danguro vile.........
Nakazia..huwa wataenda kulala kwenye nyumba za mapandre kanisa la karibuHiyo ni uongo
Kweli kabisa MkuuNakazia..huwa wataenda kulala kwenye nyumba za mapandre kanisa la karibu
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app