kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mafao ,umeona anawajukuu au mitoto ,akipewa mafao ni ulafi huoMafao ya kujikimu wajikimu nini sasa..
Kwanza wao hua hawastaafu Kama watumishi wa uma,wakifikia umri wa uzee huendelea kutunzwa kwenye nyumba za mapadre mpaka mwisho wa maisha yao.
Kanisa katoliki haliamini katika utimilifu bali linaamini kuwa kuna kuanguka katika dhambi. Ndiyo maana kuna utaratibu wa kuungama dhambi kwa mwanadamu yeyote hata akiwa Askofu wa Roma (Papa). Hata Padre anategemewa kuanguka katika dhambi naye hutubu na upadre wake kuendelea. Dhambi husika inaweza kuzaa matokeo ambayo huwezi kuyafuta kama mimba hadi mtoto.Ni kweli. Ila siyo Mapadre wote wanao fanikiwa kutekeleza hiki kiapo chao. Wapo baadhi hujiingiza katika mahusiano, kinyume kabisa na hicho kiapo chao cha useja!
Na hili jambo siyo la siri hata kidogo! Wapo Mapadre wenye watoto, familia, walio kwenye mahusiano na wake za watu, wanafunzi, watawa, nk.
Hivyo badala ya kufanya kwa siri, bora wangepewa option! Wanaotaka kuoa waoe, na wasiotaka waendelee kuishi maisha ya useja.
Una ushahidi wa Padre yeyote yule wa Anglikana hata mmoja tu aliye kubaliwa kurudi RC kwa huo utaratibu maalum unao usemea na huyo Askofu wa Roma?Aidha kuna mapadre waliooa kwa taarifa yako. Hao ni wachungaji wa Anglican Church wanaokubali kurudi RC wanakubaliwa kwa utaratibu maalum na Askofu wa Roma. Barikiwa
Mapadre ni VIUMBE WAPWEKEMi nijuavyo kwa ufahamu wangu mapadre wa Rc wengi wao huhudumiwa hadi mwisho wa maisha yao,na hakuna watu wanaoishi maisha ufahari kama mapadre,Maisha yao ni raha mustarehe
@kolola anafikiri thehebu RC ni sawa na vyama va siasa sawa na CCM au Chadema, uhame huku na ukapewe cheo huko.Una ushahidi wa Padre yeyote yule wa Anglikana hata mmoja tu aliye kubaliwa kurudi RC kwa huo utaratibu maalum unao usemea na huyo Askofu wa Roma?
Au umeamua tu kuchapia?
Kumbe huelewi kitu! ByeUna ushahidi wa Padre yeyote yule wa Anglikana hata mmoja tu aliye kubaliwa kurudi RC kwa huo utaratibu maalum unao usemea na huyo Askofu wa Roma?
Au umeamua tu kuchapia?
Pole sana! Uliza hata Padre yeyote atakueleza ukweli. Mchungaji wa Anglican akiomba kurudi RC atakubaliwa kwa utaratibu maalum kwa vile inaaminika kuwa Anglican walikengeuka tu. Kibali hutolewa na Papa.@kolola anafikiri thehebu RC ni sawa na vyama va siasa sawa na CCM au Chadema, uhame huku na ujapewe cheo huko.
Upadre unasomewa na unataratibu na kanuni za kanisa ili uupate.
Uko sawa mkuu. Kwa kanisa la Roma maandiko( Bible) is not the final authority! Yaani Imani hizi we acha tu. Anyway, angalau Roma wameamua kupata kimoja, ufalme wa dunia. Kwa walokole feki akina Gwajiboy ,mwamposa, mzee upako nk .huko ndo majanga tupu.Ni mapokeo tu ya kanisa. Hakuna mafundisho ya moja kwa moja ya Mwenyezi Mungu ya kiwazuia Makuhani wake kuoa. Ingawa Mapadri wa Kikatoliki, mara nyingi hutumia mfano wa Mtume Paulo ambaye kimsingi hakuoa maisha yake yote!
Hahahahaha. Sijui why nimemkumbuka mwenda zake.anyway saramareko mkuuWamesakrifaisi maisha yao
Miaka ya zamani matajili wengi Uraya waliacha mirathi yao kwa kanisa. Hizi pesa zilisaidia sana kueneza dini Aflika. Ziliwezesha makanisa kujengwa, na kuanzisha miradi ya maendeleo kama maji safi, shule na hospitali.
Sikuhizi matajili wanaweza kuacha ulisi kwenye club ya mpira , au charity ya kutunza mbwa na paka. Kanisa linapitia changamoto nyingi sana.
Kuna mapadre wenye wito wa kweri, hawa wanakuambia kuliko aharibu uhusiano wake na Mungu ni kheri afe mapema kuliko kuukosa ufalme wa Mungu.
Wito wa upadri ni utume na anayekuwa padri anajitolea na halipwi mshahara na pia hana mafao yoyote. Isipokuwa tu kwamba kanisa limeweka utaratibu wa matunzo ya wahudumu wao hadi kufa kwao. Kama vile ilivyo kuwa padri aliye kwenye utume anahudumiwa na kanisa, hivyo pia anapougua, zeeka na hata kufariki anahudumiwa kanisa, taifa la Mungu.Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
Nahisi wanaendelea kutumikia kanisa maana kile kiapo cha kutokuoa Au kuolewa ni cha maisha
Wanabanduana kimtindo kwa siri kubwa.
Kama umesoma saikolojia upweke hauletwi na kutooa. Kuna watu wengi sana wameoa na wana watoto na ni wapweke na hawa utasemaje, nao ni mapadri, masista au mabradha?Maisha ya kutokuwa na watoto,ni maisha ya upweke.
mkuu masista na mapadri hawaoi wao wametoa sadaka kitu kitam zaidi wanachokipenda kwa mungu sababu ya kutooa sio kwamba wamezuiwa na mungu hapana sema kazi yao ile unatakiwa ukafanyekazi popote duniani yani kuna kuhama hama sana sasa wangekua na familia ingekua usumbufu imagine miaka ile ya 1900 wanaambiwa waje africa huku namtumbo huko sasa ukiwa na familia inakua mtihani ila kwa maisha ya sasa papa alikua anafikiria kuwaruhusu waoe manake kesi za kula kondoo zimekua nyingi mi nimeishi nao nawafahamu vizuri
Ni sheria ya kanisa. Ingawa kibiblia siyo dhambi kutokuoa kama unaweza kuishi bila kona konaMkuu unasema "Ipo siku wataruhusiwa kuoa"
Swali langu ni kwamba,
Kwani nani kawakataza kuoa? Je ni sheria ya Mungu au ni binadamu tu ndiye aliyewawekea huo utaratibu?
Nauliza tu kiroho safi ili nijue.