ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mzee Bakhmut wale wagner wametangaza kuuchukua mji wote, wewe tuambie hawaja chukua nyie mnamiliki nini pale?Bakhmut sio jina la waarabu, ni mji wa Ukraine na sasa Warusi mnaowategemea wanapokea kichapo baada ya kujaribu kuuteka.
Mzee Bakhmut wale wagner wametangaza kuuchukua mji wote, wewe tuambie hawaja chukua nyie mnamiliki nini pale?
Mlipewa uhuru wa mkonon ndio maana akili zenu bado hazion uchungu wa uhuru wenu , ni kituko mtu timamu anashabikia taifa moja linaloingilia mipaka ya mwenziecomedian ameshawaambukiza watu wengi sana
Mpambano unaendelea sehemu gani pale backmut?kwanini hamkubali kuwa mmepoteza hilo eneo.Vita vimechacha Bakhmut, wanajeshi wa Ukraine wanaendelea kupeleka moto huku Wagner wakiharakisha kutoka baada ya kujitangazia ushindi.......wanajeshi wa Urusi watachinjwa sana maana waliokolewa na "mizoga" ya Wagner ambao walikua wanakufa kama chambo.
==========================
On 25 May, on the 456th day of the full-scale invasion, Russian troops carried out offensive actions on the Bakhmut front despite the declaration of the complete capture of this city, attacked Marinka, and also conducted unsuccessful offensive actions in the Bilohorivka and Krasnohorivka areas.
Source: General Staff of the Armed Forces of Ukraine on Facebook, information as of 18:00 on 25 May
Details: The General Staff reports that the Russians continue to concentrate their main efforts on the Kupiansk, Lyman, Bakhmut, Avdiivka and Marinka fronts. During this day, 17 combat engagements took place in the indicated areas of the front.
During the day, the aviation of the Defence Forces of Ukraine carried out four strikes on areas where Russian personnel and military equipment were concentrated, and units of Rocket Forces and Artillery hit two clusters of Russian manpower, one ammunition depot, one radar station and an artillery unit used by the Russians in firing positions.
The situation on the fronts is as follows:
On the Volyn and Polissia fronts, the operational situation has not changed significantly, and no signs of the formation of offensive groups have been detected.
On the Sivershchyna and Slobozhanshchyna fronts, the Russians continue to maintain a military presence in the areas bordering Ukraine. During the day, they carried out mortar and artillery shelling of the settlements of Hai and Kamianska Sloboda in Chernihiv Oblast; Khodyne, Volodymyrivka, Oleksandrivka and Velyka Pysarivka in Sumy Oblast; as well as Strilecha, Krasne, Cherkaski Tyshky, Lukiantsi, Neskuchne, Ternova, Vovchansk, Chuhunivka and Khatne in Kharkiv Oblast.
Russians continue fighting on Bakhmut front, attacking in vain Bilohorivka and Krasnohorivka â General Staff
On 25 May, on the 456th day of the full-scale invasion, Russian troops carried out offensive actions on the Bakhmut front despite the declaration of the complete capture of this city, attacked Marinka, and also conducted unsuccessful offensive actions in the Bilohorivka and Krasnohorivka areas.www.pravda.com.ua
Kweli vichaa ni wengi sanaWameikimbia Bakhmut na hata huko wanakotorokea Urusi tunawafuata na mizinga...takbirr Mji wa Belgorod, Urusi wapigwa mizinga na jeshi la Ukraine
Hivi wewe unaakilo kweli?yaani watu wanaendelea kujichukulia maeneo alafu unasema watakomahadi mtakoma takbir
Backmut ya wapi kama ni hiyo ya Ukraine hakuna vita na ni ya mali ya urusi alafu usiongee bila kuweka vielelezo.Bakhmut sio jina la kiarabau austadhi...ni Ukraine na Warusi wanauawa kweli kweli
Weka evidence sehemu gani ya bakhmut kuna vita?kama huna nyamaza utajiaibisha.Bakhmut sio jina la kiarabau austadhi...ni Ukraine na Warusi wanauawa kweli kweli
Shida yako huna maelezo ya kutosha Bakhmut umeshindwa kutuambia una miliki kitu gani umeamia Belgorod , mzee jadili kimoja baada kingine hiyo ndio adabu ya mijadalaWameikimbia Bakhmut na hata huko wanakotorokea Urusi tunawafuata na mizinga...takbirr Mji wa Belgorod, Urusi wapigwa mizinga na jeshi la Ukraine
Wewe nakuona unamatatizo ya akili nakuomba uweke evidence wewe unaongea pumba.Bakhmut ya Ukraine sio uarabuni, mtume wenu Putin kawaingiza mkenge.
Shida yako huna maelezo ya kutosha Bakhmut umeshindwa kutuambia una miliki kitu gani umeamia Belgorod , mzee jadili kimoja baada kingine hiyo ndio adabu ya mijadala
Tumeshateka mji, wewe tuambie unamiliki nini Bakhmut ili Wagner wawe waongo?Bakhmut ni mji wa Ukraine ambao umeshindikana kutekwa, na lizee lenu limetoroka.
Sasa vita vimeanza kuingia Urusi takbirr
Weka evidence mpo sehemu gani bakhmutWewe ndiye umepagawa huamini mtume wenu Putin ameshindwa kuiteka Bakhmut
Kwa akili yako mpk leo hujiuliz wapo wap hao chen chen mliwapamba wapo wapi warusi walioingia na maparachuti yupo wapi yule mjeda wenu mlisema ndo alikuwa kiboko kule syria , leo tunaona wagner pia wanatoka , ila vichaa hawajiongez kujua kuwa hali ni mbaya kwa UrusiShida yako huna maelezo ya kutosha Bakhmut umeshindwa kutuambia una miliki kitu gani umeamia Belgorod , mzee jadili kimoja baada kingine hiyo ndio adabu ya mijadala