Mapambano Bakhmut yanaendelea, licha ya Wagner kutafuta pakutokea kwa kujitangazia ushindi

Mapambano Bakhmut yanaendelea, licha ya Wagner kutafuta pakutokea kwa kujitangazia ushindi

Bakhmut sio jina la waarabu, ni mji wa Ukraine na sasa Warusi mnaowategemea wanapokea kichapo baada ya kujaribu kuuteka.
Mzee Bakhmut wale wagner wametangaza kuuchukua mji wote, wewe tuambie hawaja chukua nyie mnamiliki nini pale?
 
Vita vimechacha Bakhmut, wanajeshi wa Ukraine wanaendelea kupeleka moto huku Wagner wakiharakisha kutoka baada ya kujitangazia ushindi.......wanajeshi wa Urusi watachinjwa sana maana waliokolewa na "mizoga" ya Wagner ambao walikua wanakufa kama chambo.
==========================

On 25 May, on the 456th day of the full-scale invasion, Russian troops carried out offensive actions on the Bakhmut front despite the declaration of the complete capture of this city, attacked Marinka, and also conducted unsuccessful offensive actions in the Bilohorivka and Krasnohorivka areas.

Source: General Staff of the Armed Forces of Ukraine on Facebook, information as of 18:00 on 25 May

Details: The General Staff reports that the Russians continue to concentrate their main efforts on the Kupiansk, Lyman, Bakhmut, Avdiivka and Marinka fronts. During this day, 17 combat engagements took place in the indicated areas of the front.

During the day, the aviation of the Defence Forces of Ukraine carried out four strikes on areas where Russian personnel and military equipment were concentrated, and units of Rocket Forces and Artillery hit two clusters of Russian manpower, one ammunition depot, one radar station and an artillery unit used by the Russians in firing positions.

The situation on the fronts is as follows:

On the Volyn and Polissia fronts, the operational situation has not changed significantly, and no signs of the formation of offensive groups have been detected.

On the Sivershchyna and Slobozhanshchyna fronts, the Russians continue to maintain a military presence in the areas bordering Ukraine. During the day, they carried out mortar and artillery shelling of the settlements of Hai and Kamianska Sloboda in Chernihiv Oblast; Khodyne, Volodymyrivka, Oleksandrivka and Velyka Pysarivka in Sumy Oblast; as well as Strilecha, Krasne, Cherkaski Tyshky, Lukiantsi, Neskuchne, Ternova, Vovchansk, Chuhunivka and Khatne in Kharkiv Oblast.


Mpambano unaendelea sehemu gani pale backmut?kwanini hamkubali kuwa mmepoteza hilo eneo.
 
Mpambano unaendelea sehemu gani pale backmut?kwanini hamkubali kuwa mmepoteza hilo eneo.

Bakhmut sio jina la kiarabau austadhi...ni Ukraine na Warusi wanauawa kweli kweli
 
Bakhmut sio jina la kiarabau austadhi...ni Ukraine na Warusi wanauawa kweli kweli
Backmut ya wapi kama ni hiyo ya Ukraine hakuna vita na ni ya mali ya urusi alafu usiongee bila kuweka vielelezo.
 
Backmut ya wapi kama ni hiyo ya Ukraine hakuna vita na ni ya mali ya urusi alafu usiongee bila kuweka vielelezo.

Bakhmut ya Ukraine sio uarabuni, mtume wenu Putin kawaingiza mkenge.
 
Shida yako huna maelezo ya kutosha Bakhmut umeshindwa kutuambia una miliki kitu gani umeamia Belgorod , mzee jadili kimoja baada kingine hiyo ndio adabu ya mijadala

Bakhmut ni mji wa Ukraine ambao umeshindikana kutekwa, na lizee lenu limetoroka.
Sasa vita vimeanza kuingia Urusi takbirr
 
Bakhmut ni mji wa Ukraine ambao umeshindikana kutekwa, na lizee lenu limetoroka.
Sasa vita vimeanza kuingia Urusi takbirr
Tumeshateka mji, wewe tuambie unamiliki nini Bakhmut ili Wagner wawe waongo?
 
Shida yako huna maelezo ya kutosha Bakhmut umeshindwa kutuambia una miliki kitu gani umeamia Belgorod , mzee jadili kimoja baada kingine hiyo ndio adabu ya mijadala
Kwa akili yako mpk leo hujiuliz wapo wap hao chen chen mliwapamba wapo wapi warusi walioingia na maparachuti yupo wapi yule mjeda wenu mlisema ndo alikuwa kiboko kule syria , leo tunaona wagner pia wanatoka , ila vichaa hawajiongez kujua kuwa hali ni mbaya kwa Urusi
 
Back
Top Bottom