Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona

Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona

Mnafanya kosa na ujinga uliokubuhu kuficha haya maradhi, kazi kuchekelea Kenya wakati kwenu ni mwendo wa ujinga tu, kule Ulaya hata waziri mkuu amejitaja ili jamii ipambane yote kwa pamoja. Huko kwenu mna mazoea mabaya sana kwa kweli na mtakuja kutuponza ukanda huu, bora mfungiwe mipaka na wote. Ona sasa Watanzania wameanza kuwaumbua kwa kutupia mapicha mitandaoni, fuata huu uzi
Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
2352255_IMG-20200329-WA0019.jpg
Duuuh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa naangalia muda umeandika huu uharo nikagundua ni Mchana na Leo ni wikiendi, nikagundua hakuna haja ya kukujibu, muhimu kumbuka kuchukua Tahadhari kadiri wataalamu wanavyoshauri, namna hii

Mnafanya kosa na ujinga uliokubuhu kuficha haya maradhi, kazi kuchekelea Kenya wakati kwenu ni mwendo wa ujinga tu, kule Ulaya hata waziri mkuu amejitaja ili jamii ipambane yote kwa pamoja. Huko kwenu mna mazoea mabaya sana kwa kweli na mtakuja kutuponza ukanda huu, bora mfungiwe mipaka na wote. Ona sasa Watanzania wameanza kuwaumbua kwa kutupia mapicha mitandaoni, fuata huu uzi
Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
2352255_IMG-20200329-WA0019.jpg
20200328_184604.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazoea wapi, ni kuna mgonjwa mkaidi na mamlaka hazijui. That's that, ila unavojikuta perfectionist, wakati Kenya Kuna yule nani sijui nae aligoma kupimwa ameambukiza watu, ila nobody said mnaficha, tena nyinyi ndio mnaficha, juzi citizen tv wakamhoji mwana fa hospitalini Tz, wakamhoji tena mgonjwa mkenya yupo US.
Wananchi wenu wanacomment kulikoni mnaficha wagonjwa wenu kuhojiwa.
Ila ulivyo wa ajabu eti unatumia huo Uzi kama bakora.


Sent using Jamii Forums mobile app

Wetu alikua kiongozi kajificha ndani, polisi walimtoa kwa nguvu na kumpeleka karantini waliko wengine, ila huyo wenu waziri mzima mnamficha hospitali isiyo maalum kwa Corona kisa hadhi yake hapaswi kuwa miongoni mwa wengine, mpaka Pascal amejitoa mhanga kiuzalendo akamuumbua, mkamhamisha kwa kasi kumpeleka karantini.
 
Mimi nachojua mpaka Jana Kenya ina 38 ila cjaona sehem walipoandika majina ya hao 38 je vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote 38 hakuna aliyefichwa eneo tofauti kisa hadhi yake, tunaye hadi kiongozi aliyechukuliwa kwa ulazima na mapolisi, kwetu tunamaanisha, hatuna hayo mazoea ya hovyoo.
 
Wetu alikua kiongozi kajificha ndani, polisi walimtoa kwa nguvu na kumpeleka karantini waliko wengine, ila huyo wenu waziri mzima mnamficha hospitali isiyo maalum kwa Corona kisa hadhi yake hapaswi kuwa miongoni mwa wengine, mpaka Pascal amejitoa mhanga kiuzalendo akamuumbua, mkamhamisha kwa kasi kumpeleka karantini.
Nani huyo anaemficha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafanya kosa na ujinga uliokubuhu kuficha haya maradhi, kazi kuchekelea Kenya wakati kwenu ni mwendo wa ujinga tu, kule Ulaya hata waziri mkuu amejitaja ili jamii ipambane yote kwa pamoja. Huko kwenu mna mazoea mabaya sana kwa kweli na mtakuja kutuponza ukanda huu, bora mfungiwe mipaka na wote. Ona sasa Watanzania wameanza kuwaumbua kwa kutupia mapicha mitandaoni, fuata huu uzi
Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
2352255_IMG-20200329-WA0019.jpg
LOL this is nonsense
Hivi Kuna chochote cha maana ulichoandika hapo ukirudia kusoma kwa utulivu?

OK ondoa hicho cheo cha uwaziri kwa huyo mtu, then ana tofauti gani na victim yeyote wa Corona?


So kosa lake ni kutofanya kama PM wa UK? Imeandikwa kwenye katiba au health guidelines yoyote kwamba ni lazima kufanya hivyo?


Rubbish argument indeed.
 
LOL this is nonsense
Hivi Kuna chochote cha maana ulichoandika hapo ukirudia kusoma kwa utulivu?

OK ondoa hicho cheo cha uwaziri kwa huyo mtu, then ana tofauti gani na victim yeyote wa Corona?


So kosa lake ni kutofanya kama PM wa UK? Imeandikwa kwenye katiba au health guidelines yoyote kwamba ni lazima kufanya hivyo?


Rubbish argument indeed.
Wameshajua kwamba hata huku kwenye Corona tumewashinda vibaya, lazima watafute vijisababu vya kujiliwaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LOL this is nonsense
Hivi Kuna chochote cha maana ulichoandika hapo ukirudia kusoma kwa utulivu?

OK ondoa hicho cheo cha uwaziri kwa huyo mtu, then ana tofauti gani na victim yeyote wa Corona?


So kosa lake ni kutofanya kama PM wa UK? Imeandikwa kwenye katiba au health guidelines yoyote kwamba ni lazima kufanya hivyo?


Rubbish argument indeed.
Kosa ni nyie kumficha kisa waziri eti hapaswi kuwa miongoni mwa wengine, na kuifanya siri, hapo mlikua mnamtibia kwenye hospitali isiyo rasmi kwa karantini za corona na kuwaambukiza wengine, ni wangapi kwingine mnafanya hivyo yaani hadi mpaka mkiumbuka ndio mnakimbiza kwa ambulance.
 
Wameshajua kwamba hata huku kwenye Corona tumewashinda vibaya, lazima watafute vijisababu vya kujiliwaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anaharisha kwa akili, eti kosa la huyo mgonjwa mwenye cheo cha uwaziri ni kutojitangaza kama waziri wa uingereza! 😂😂😂😂😂

Huko uingereza wangapi wamepona na Corona baada ya pm wao kufanya hivyo?

Kuna watu wamenyimwa akili haki ya Mungu mpaka utaahira 🙄
 
Wivu, hasira na chuki, hizo ndio sifa za wakikuyu, na ukatili.

Sent using Jamii Forums mobile app
LOL wapuuzi wa kubwa, nimefanya utafiti video contents za Tanzania kuhusu Corona ndio zina trend Kenya kwa hiyo watushukuru kwa kuwapa elimu ya kujikinga hawa mafala.

They are loosers and failures in all aspects, Angalia tu namna wanavyotumia miguvu kupambana na Corona badala ya akili


These stupid people should thank God for being close to us.
 
Kosa ni nyie kumficha kisa waziri eti hapaswi kuwa miongoni mwa wengine, na kuifanya siri, hapo mlikua mnamtibia kwenye hospitali isiyo rasmi kwa karantini za corona na kuwaambukiza wengine, ni wangapi kwingine mnafanya hivyo yaani hadi mpaka mkiumbuka ndio mnakimbiza kwa ambulance.
Hivi huwa unafikiria kabla ya kuandika?
Kafichwa kivipi?
Ulitaka aite press conference?
Ndio shida ya kutumia kichwa kama garden ya nywele.
 
Kosa ni nyie kumficha kisa waziri eti hapaswi kuwa miongoni mwa wengine, na kuifanya siri, hapo mlikua mnamtibia kwenye hospitali isiyo rasmi kwa karantini za corona na kuwaambukiza wengine, ni wangapi kwingine mnafanya hivyo yaani hadi mpaka mkiumbuka ndio mnakimbiza kwa ambulance.
LOL Hakuna huo uwendawazimu

Na uamuzi wa ku disclose health information za mtu ni personal preference, Hakuna kwenye work conducts kumeandikwa kwamba lazima afanye public faragha zake za kiafya

Please you should grow up, mbona ni vitu petty sana? 😞
 
LOL Hakuna huo uwendawazimu

Na uamuzi wa ku disclose health information za mtu ni personal preference, Hakuna kwenye work conducts kumeandikwa kwamba lazima afanye public faragha zake za kiafya

Please you should grow up, mbona ni vitu petty sana? 😞

Hehehe!! Naona mtakua mumepewa maagizo Lumumba jinsi ya kutwist hii na kuiweka ikae kama kwamba issue ni kujitanganza tu, hebu peleka huu upupu wako kwenye huo uzi mlikoumbuliwa uone utakavyotolewa nduki.
Of course haikua lazima ajitangaze, ila hilo la nyie kumficha maeneo yasiyo rasmi kwa Corona mpaka baada ya kuumbuka ndio mnampeleka kasi kwenda kwenye hospitali maalum ya Corona, hapo tayari mumewaponza watu wengi, na ndio nashangaa ni wanagapi wengine mumewaficha kihivyo.
 
Mnaingiza siasa kwa mambo ya kitalaamu! Kiukweli east Africa hatuwez kupambana! Cjaona nchi iliyochukuwa njia sahihi ya kupambana na corona
 
Back
Top Bottom