Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona

Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona

Hiki kiama hata sitaki kukiweka akilini maana kitanipa presha bure, tutakufa tu mpaka tukose sehemu ya kuzika, maana maskini wanaotegemea msosi wa siku bila kujua ya kesho wako mamilioni kwenye haya mataifa. Hamna serikali yenye uwezo wa kutembea nyumba kwa nyumba ikigawa chakula.
Tuko pamoja
 
Back
Top Bottom