Hakuna Parokia iliyo ndani ya Dar es salaam inayopaswa kusaidiwa,hizo ni kwa ajili ya Parokia zilizo nje ya mji ambazo waamini ni hohehahe.Muumini wa Kigogo Luhanga anafaidika nini na haya mabilioni mliyochanga?
Well said. Big upKitu hukijui unauliza.
Utaratibu wa Kanisa kuna asilimia ndogo hutolewa kupelekwa Vatican kwa ajili ya kusaidia Kanisa kwenye majimbo maskini ya nchi mbalimbali kiasi kinachosalia kinabaki ndani ya jimbo kwa ajili hiyo hiyo kusaidia Parokia zisizoweza kisadaka,mf:Jimbo la dsm linasimamia Parokia za kibiti na Mafia huko waumini ni maskini ukiwaambia watoe michango kujenga Kanisa kubwa au hospital hawawezi so wanasaidiwa na Parokia zinazojiweza.
By the way,kuna 100K yangu humo ktk jumuia yangu yupo mtu alitoa 1.5mill na hawajiulizi maswali mengi.
Kwa uoni wako ila kwa sisi tunaotoa hatuioni hiyo biashara.Ni biashara nzuri.
Safi sana! Ila waumini wanalalamika michango imezidi hadi inafikia wanakacha ibadaHongera wana Jimbo, Hongera kanisa moja la mitume.
Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu.. na ni kwa jimbo moja tu.
View attachment 2833300
uki jumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.
na uka estimate kwa Nchi nzima..
Nadhani utakubaliana na mimi ukubwa wa hii taasisi.
ni tofauti kabisa na "ndugu zetu wa upande wa pili"
Heko kanisa.. heko watoaji.
PS
sijajua matumizi ya hizo pesa.
maana kama kuna ujenzi basi ita anzishwa account ya kuchangia
Kutoa ni moyo si utajiriHy ndio maokoto ani yanaokotwa majitu mbumbumbu
Yanawapa hela ya Pombe n disko vizungu Vizee vilivyogomea ndoa
Nilifikir simu tu yawekwa kweny box Kumbe hadi wa2
Hii st francis ada sh ngapi?Ni kweli kanisa katoliki linatumia Sadaka kujenga shule nyingi sana zenye majina makubwa
Mfano St francis mbeya
Marian bagamoyo
St joseph dar es salaam
Swali kubwa ni JE KWENYE HIZO SHULE ZA KATOLIKI WATOTO WA WAUMINI WALIOTOA SADAKA KUZIJENGA HUWA WANASOMESHWA BURE ? WANAPEWA DISCOUNT YA ADA AMA WANALIPA SAWA SAWA NA WATOTO WA DINI ZINGINE..
MFANO WAISLAM WANAOSOMA ST FRANCIS WANALIPA ADA KIASI TOFAUTI NA WAKATOLIKI WANAOSOMA ST FRANCIS AMA WOTE ADA NI SAWA ?
Hongera wana Jimbo, Hongera kanisa moja la mitume.
Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu.. na ni kwa jimbo moja tu.
View attachment 2833300
uki jumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.
na uka estimate kwa Nchi nzima..
Nadhani utakubaliana na mimi ukubwa wa hii taasisi.
ni tofauti kabisa na "ndugu zetu wa upande wa pili"
Heko kanisa.. heko watoaji.
PS
sijajua matumizi ya hizo pesa.
maana kama kuna ujenzi basi ita anzishwa account ya kuchangia
Ada ni sawaNi kweli kanisa katoliki linatumia Sadaka kujenga shule nyingi sana zenye majina makubwa
Mfano St francis mbeya
Marian bagamoyo
St joseph dar es salaam
Swali kubwa ni JE KWENYE HIZO SHULE ZA KATOLIKI WATOTO WA WAUMINI WALIOTOA SADAKA KUZIJENGA HUWA WANASOMESHWA BURE ? WANAPEWA DISCOUNT YA ADA AMA WANALIPA SAWA SAWA NA WATOTO WA DINI ZINGINE..
MFANO WAISLAM WANAOSOMA ST FRANCIS WANALIPA ADA KIASI TOFAUTI NA WAKATOLIKI WANAOSOMA ST FRANCIS AMA WOTE ADA NI SAWA ?
Kwa uoni wako ila kwa sisi tunaotoa hatuioni hiyo biashara.
Safi sanaJimbo letu mapadri walikua wanafuata mavuno nyumba kwa nyumba. Kima cha chini kina range 30K-50K
Halafu kwa jpili moja tuu hiyoNi pato kubwa sana, hata Ukiunganisha mkoa wa Singida na Katavi hawafikii kiasi hiki
Bro hao siyo waamini hao ni waongeza idadi tu Kanisani,unakuta ibada ikiisha kwenye viwanja vya Kanisa mnajikuta mpo wengi lakini wanaojua kwanini wamekuja Kanisani ni wachache.Safi sana! Ila waumini wanalalamika michango imezidi hadi inafikia wanakacha ibada
Pole jitahidin muwe mnatoa na nyie ili mlambe asaliWe ni tahira kbs kwan tunaenda makanisan au miskitini kushndana kutoa pesa au kuitafuta mbingu? Eti wa upande wa pili we ni kichaa kbs MUNGU HATAFUTWI WALA HAPATIKANI KWA UKUBWA WA TAASISI. kuku wewe
Hahaha 9 na 6 zote sawa inategemea umekaa upande upiNimeongea kama mfanyabiashara.
Wewe umeongea kama muumini hivyo wote tupo sahihi.
Kiuchumi, Dini ni biashara. Na hicho alicholeta mtoa mada ndio nikasema ni biashara nzuri yenye faida.
Sawa! Safi sana, kwa sisi waislam pesa kama hizo huwa zinapatikana tatizo unakuta wanatoa watu wa3 tu, yaani watu wanaamini michango ni kwaajili ya watu fulani tu.Bro hao siyo waamini hao ni waongeza idadi tu Kanisani,unakuta ibada ikiisha kwenye viwanja vya Kanisa mnajikuta mpo wengi lakini wanaojua kwanini wamekuja Kanisani ni wachache.
Muumini anayejitambua hawezi kulalamikia mchango wa Tsh 21,000/= tena anayotakiwa kuitoa (siyo kwa lazima akitaka kutoa atoe asipotaka aache) kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu lakini bado analalamika,unalalamika nini wakati hujashikiwa bunduki kutoa?Mungu ni mwema huwa zinazidi na kuzidi.
Ukiwaambia huna walikuwa wanasemaje?Jimbo letu mapadri walikua wanafuata mavuno nyumba kwa nyumba. Kima cha chini kina range 30K-50K