Mapato sherehe ya Mavuno Jimbo Katoliki Dar ni Tsh. Bil. 4.5

Mapato sherehe ya Mavuno Jimbo Katoliki Dar ni Tsh. Bil. 4.5

Ukiwaambia huna walikuwa wanasemaje?

Vipi kwanini Mapadre wafikie hatua hiyo,ninyi hamna Kamati Tendaji ya Parokia ikafanya kazi hiyo?
Kamati tendaji na warei tulikubaliana ndio utaratibu tutakaofanya. Ukiwa huna padri anatoa baraka anaondoka. Hii ni nzuri zaid maana kuna watu husema padri hajawahi fika kwenye nyumba zao labda kuwe na mazishi. So ilikua njia sahihi ya padri kutembelea nyumba za waamini
 
Ada ni sawa
Hichi kitu huwa kinaniumiza kichwa sana kwa nn wasitupe discount sisi wakristo maana hizo taasisi tumechangia kuzijenga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kuna waliochangia na hawawezi kabisa kupeleka watoto wao hapo. Kuna mama alikuwa analalamikia kuchangia ununuzi wa gari la shule wakati mwanae anasoma kayumba na hata kumchangia chakula tu ni mtihani. Na wasipochangia huko kwenye jumuia hapakalilki.
 
Bro hao siyo waamini hao ni waongeza idadi tu Kanisani,unakuta ibada ikiisha kwenye viwanja vya Kanisa mnajikuta mpo wengi lakini wanaojua kwanini wamekuja Kanisani ni wachache.

Muumini anayejitambua hawezi kulalamikia mchango wa Tsh 21,000/= tena anayotakiwa kuitoa (siyo kwa lazima akitaka kutoa atoe asipotaka aache) kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu lakini bado analalamika,unalalamika nini wakati hujashikiwa bunduki kutoa?Mungu ni mwema huwa zinazidi na kuzidi.
Kile kitendo Cha kuwatenga kuanzia kwenye jumuiya na zaidi ya bunduki. Nilishashuhudia mara kibao mnakataa kufanya ibada kwenye misiba kisa aliekufa alikuwa hotoi michango
 
daaa pesa ndefu sana hii na asilimia 50 imetoka kwenye mikono ya maskini ambao hawana uhakika wa msosi this is called new theft and robbery

hii imenikumbusha kitabu cha DEVIL ON THE CROSS by ngugi wa thiongo
Bro aliyekudanganya hivyo nani?

Unasemaje sisi ni maskini wakati hapa nimekaa miguu juu nimekula nimeshiba wanangu wameshiba wameniaga kwa furaha Baba tunaenda kulala na wanalala sehemu nzuri mimi nipo hapa na wewe tunajadiliana kupitia device zinazotamia gharama bundle umeme etc na hakuna nilichokosa?

Maskini tupo ukisikia utoaji siyo lazima hela hata nguvu zako unaenda kuzitumia kumtumikia Mungu,mfano Parokiani kwetu huku Mbezi Makabe tuna ujenzi wa nyumba ya Mapadre siyo wote wanaotoa hela asiye na uwezo aliyebarikiwa nguvu na uzima anajiandikisha siku labda ya kumwaga zege anaenda pale masaa yake atakayoona yanamtosha Mungu wake kwa siku hiyo akimaliza anaenda na shughuli zake.

Simple tu.
 
Ni kweli kanisa katoliki linatumia Sadaka kujenga shule nyingi sana zenye majina makubwa

Mfano St francis mbeya

Marian bagamoyo

St joseph dar es salaam

Swali kubwa ni JE KWENYE HIZO SHULE ZA KATOLIKI WATOTO WA WAUMINI WALIOTOA SADAKA KUZIJENGA HUWA WANASOMESHWA BURE ? WANAPEWA DISCOUNT YA ADA AMA WANALIPA SAWA SAWA NA WATOTO WA DINI ZINGINE..

MFANO WAISLAM WANAOSOMA ST FRANCIS WANALIPA ADA KIASI TOFAUTI NA WAKATOLIKI WANAOSOMA ST FRANCIS AMA WOTE ADA NI SAWA ?
Soma Mathayo 5:47
 
Kile kitendo Cha kuwatenga kuanzia kwenye jumuiya na zaidi ya bunduki. Nilishashuhudia mara kibao mnakataa kufanya ibada kwenye misiba kisa aliekufa alikuwa hotoi michango
Nakataa,hakuna muumini wa jumuia Mkatoliki anayetengwa na wenzake kisa hajatoa michango hii mnachomekea ninyi msioujua Ukatoliki.

Kwamba kuna muumini alikufa na alikuwa anahudhuria jumuia na hakuzikwa na Kanisa?jumuia ni Kanisa la pili kutoka la kwanza (familia ya muumini,mimi na familia yangu hapa nyumbani ni mwanzo wa Kanisa) sasa inakuwaje mimi sijawahi kuonekana hadharani na waamini wenzangu (wanajumuia) nikimkiri Mungu then leo nife wakajikusanye kuilazimisha maiti yangu imkiri kitendo nilichoshindwa kukifanya nikiwa hai?
 
Bro aliyekudanganya hivyo nani?

Unasemaje sisi ni maskini wakati hapa nimekaa miguu juu nimekula nimeshiba wanangu wameshiba wameniaga kwa furaha Baba tunaenda kulala na wanalala sehemu nzuri mimi nipo hapa na wewe tunajadiliana kupitia device zinazotamia gharama bundle umeme etc na hakuna nilichokosa?

Maskini tupo ukisikia utoaji siyo lazima hela hata nguvu zako unaenda kuzitumia kumtumikia Mungu,mfano Parokiani kwetu huku Mbezi Makabe tuna ujenzi wa nyumba ya Mapadre siyo wote wanaotoa hela asiye na uwezo aliyebarikiwa nguvu na uzima anajiandikisha siku labda ya kumwaga zege anaenda pale masaa yake atakayoona yanamtosha Mungu wake kwa siku hiyo akimaliza anaenda na shughuli zake.

Simple tu.
Najua bro bad thing nimekulia kwenye iyo system mimi pia nipo kanisani kila siku asubuhi 12 na nusu kwenye Misa za asubuhi before kuianza siku na kesho nitaenda pia coz ni tabia sasa nimekulia humo but it doesn't change the fact kwamba the system fools us in other side of coin
 
Hongera wana Jimbo, hongera kanisa moja la mitume.

Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu, na ni kwa jimbo moja tu.

View attachment 2833300
Ukijumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano:
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.

Kisha kadiria kwa Nchi nzima. Nadhani utakubaliana na mimi ukubwa wa hii taasisi.

Ni tofauti kabisa na "ndugu zetu wa upande wa pili". Heko kanisa, heko watoaji.

PS
Sijajua matumizi ya hizo pesa maana kama kuna ujenzi basi itaanzishwa account ya kuchangia.
Pesa za escrow na dili za bandarini zinasaidia kukuza sadaka. Soma orodha ya waliokula pesa za escrow na ujue bado ni hao hao wanaendeleza kula dili zingine sababu ufisadi wa mali za dola sio dhambi kwao ndio maana wakatoa waraka kupinga mradi wa ufanisi wa bandari na yule bibi wa pesa za mboga nae akawa mbele sababu nae ni fisadi na muumini wa kanisa.
 
Nakataa,hakuna muumini wa jumuia Mkatoliki anayetengwa na wenzake kisa hajatoa michango hii mnachomekea ninyi msioujua Ukatoliki.

Kwamba kuna muumini alikufa na alikuwa anahudhuria jumuia na hakuzikwa na Kanisa?jumuia ni Kanisa la pili kutoka la kwanza (familia ya muumini,mimi na familia yangu hapa nyumbani ni mwanzo wa Kanisa) sasa inakuwaje mimi sijawahi kuonekana hadharani na waamini wenzangu (wanajumuia) nikimkiri Mungu then leo nife wakajikusanye kuilazimisha maiti yangu imkiri kitendo nilichoshindwa kukifanya nikiwa hai?
Juu hapo ulikiri kuwa michango ni lazima mtu asipo changa kwenye jumuiya hapakaliki. Sio wewe uliesema?

Hizo tabia za kususia misiba kisa mtu haji kwenye jumuiya mnayo sana. Naziona sana Kwa majirani zamgu
 
Ni kweli kanisa katoliki linatumia Sadaka kujenga shule nyingi sana zenye majina makubwa

Mfano St francis mbeya

Marian bagamoyo

St joseph dar es salaam

Swali kubwa ni JE KWENYE HIZO SHULE ZA KATOLIKI WATOTO WA WAUMINI WALIOTOA SADAKA KUZIJENGA HUWA WANASOMESHWA BURE ? WANAPEWA DISCOUNT YA ADA AMA WANALIPA SAWA SAWA NA WATOTO WA DINI ZINGINE..

MFANO WAISLAM WANAOSOMA ST FRANCIS WANALIPA ADA KIASI TOFAUTI NA WAKATOLIKI WANAOSOMA ST FRANCIS AMA WOTE ADA NI SAWA ?
Shule za marian ni za taasisi ya spirtan iliyoko ndani ya kanisa katoliki jimbo ya Morogoro eneo la bagamoyo.
Hakuna muumini hata mmoja alie changishwa mchango wa ujenzi wa shule za marian na nyingine za namna huo, hizo ni shule za mashirika ya kitawa yalio ndani ya kanisa katoliki.
Wakati mwingine kanisa halina mamlaka ya moja kwa moja kwenye hizi shule japo zipo shule pia za jimbo ambazo zina hudumiwa na jimbo kupitia waumini wa jimbo husika.
 
Hapo zinapelekwa vatican wazungu wakajengee ma fly over na maendeleo mengine kwenye nchi zao.

Dini walizotuletea ni biashara nzuri sana ambayo wazungu wanaifanya. .
Dunia nzima Pana asilimia zinaenda Vatican kufadhili shughuli za kanisa mfano mashirika ya kuhudumia wenye shida mfano mashirika mbalimbali ya dini yanayohudumia wakimbizi Duniani pote mfano caritas, world vision, christian refugee,nk.
Haziendi Jenga fly over
 
Back
Top Bottom