Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mama Samia ni mtu wa mipango Sana ....Huyu Mama 2025 atashinda kwa zaidi ya 80% nawahakikishieni,
Mama Samia ni mtu wa mipango sana,
Hakika ni zawadi kwetu watanzania 🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Samia ni mtu wa mipango Sana ....Huyu Mama 2025 atashinda kwa zaidi ya 80% nawahakikishieni,
Mama Samia ni mtu wa mipango sana,
hao 175 milion customer wa Amazon hata 1% hawataangalia hiyo movie, Amazon kuna movie zaidi ya laki moja na ukipata view laki moja una bahatiSiameandika makisio ya kukodi tu hapo soma vizuri
Sasa huoni iko Amazon hapo, imeendaje bila mkataba?Na wewe weka ushahidi kuwa ni yetu
Mkataba na amazon pia
Mama ni jembe aise, tumuunge mkono,
Aliyegharamia hii filamu ni serikali ama mfadhili mbona mnakuwa hamueleweki??? Mara filamu imegharamiwa na mfadhili naona leo mmekuja kusema eti serikali imegharamia hii filamu kwa 100% embu tuelewesheni tushike lipi hapo??Hakuna kama Rais Samia nasema siku zote hili,
Sanaaaa 🙏🙏Lazima tukubali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni AKILI KUBWA SANAAAA.....😍
Aliyegharamia filamu ni nani? Serikali ama mfadhili???Lazima tukubali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni AKILI KUBWA SANAAAA.....😍
Kama uwanja ukiwa huru, hawezi fikisha 40%.Huyu Mama 2025 atashinda kwa zaidi ya 80% nawahakikishieni,
Mama Samia ni mtu wa mipango sana,
Amazon inaweza kuwa imepelekwa na waliotengeneza filamuSasa huoni iko Amazon hapo, imeendaje bila mkataba?
Tulieni Mama alete mapesa tujenge Nchii ,
Mashirika yasiyo ya KISERIKALI....Aliyegharamia filamu ni nani? Serikali ama mfadhili???
Aliyegharamia hii filamu ni serikali ama mfadhili mbona mnakuwa hamueleweki??? Mara filamu imegharamiwa na mfadhili naona leo mmekuja kusema eti serikali imegharamia hii filamu kwa 100% embu tuelewesheni tushike lipi hapo??
Imepelekwa na Mamlaka za Tanzania mkuu, kuwa na amaniAmazon inaweza kuwa imepelekwa na waliotengeneza filamu
Ndio maana tunataka utupe mkataba kati ya amazon na waliopeleka filamu pale amazon
Uko vizuri 😍😍😍Mashirika yasiyo ya KISERIKALI....
Yanaanzaje kugharamia bila ya serikali yetu adhimu kuwa na mipango ya hii project ?!!!
Mpaka jana movie yetu inakimbiza sana, nenda kaangalie kule Amazon,Nadhani kuleta siasa kwenye mambo serious ndio shida yake hii..., unadhani ukishaweka bei na kama kuna wateja kumi basi watano watanunua ? Huenda hata mmoja asinunue au ili ufanye siasa ukanunua mwenyewe ili tu kuleta views za uongo...
Kwa ufupi hizo ndio most profitable movies kutoka Amazon na hio ni gross income bado Amazon hajachukua chake, na hizo ni top 20 huenda movie yako isiwe hata top 100,000
![]()
All Time Worldwide Box Office for Amazon Studios Movies
This chart contains the top 100 Amazon Studios movies based on the cumulative worldwide box office.m.the-numbers.com
Ndio hizo huenda Mawaziri kila mmoja anarent kwa kila sekunde..., Wabongo ndio tabia zetu haujaona jamaa Views zao Youtube zinavyopeleka ?Mpaka jana movie yetu inakimbiza sana, nenda kaangalie kule Amazon,
Sanaaaa 🙏🙏