Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Kama nia ni kutangaza utalii hiyo documentary wangefungua channel youtube waweke huko watu waangalie bure, tena wawalipe youtube ili iweze kuonekana kwa watu wengi, hizi story za kulipisha ndio haitaonekana kabisa na nia nzima ya kukuza utalii itakuwa useless
 
Kama nia ni kutangaza utalii hiyo documentary wangefungua channel youtube waweke huko watu waangalie bure, tena wawalipe youtube ili iweze kuonekana kwa watu wengi, hizi story za kulipisha ndio haitaonekana kabisa na nia nzima ya kukuza utalii itakuwa useless
Mkuu Kama Taifa shida yetu ni mapato,

AMAZONI ni mtandao unaoaminika sana duniani ,

Kuipeleka YouTube ni kuishusha tu,
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Ubunifu wenye akili,hiyo ni just the biggining..

Bil.7 za wadau vs Til.1.5 👍👍♨️♨️
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Safi Sana,Samia anawaza ni namna gani Nchi itaingiza pesa, mwendazake alikuwa anawaza jinsi gani atawaziba watu pumzi na vinywa vyao hili akwapue,

Apotelee mbali bwana yule huko ardhini!!
 
Huyu Mama 2025 atashinda kwa zaidi ya 80% nawahakikishieni,

Mama Samia ni mtu wa mipango sana,
Sio atashinda kwa 80%,bali kwa 100% kabisa,Samia Ni Rais muadilifu,sio Kama bwana yule mzalendo uchwara!
 
hao 175 milion customer wa Amazon hata 1% hawataangalia hiyo movie, Amazon kuna movie zaidi ya laki moja na ukipata view laki moja una bahati
Wafuasi mazezeta wa maggufuli mna chuki na Nchi yenu,hameni Nchi
 
Ngoja tusubiri kwanza warudi ili tujuwe tunapataje mahela out of that tour,maana sisi wengine tuliosomea chini ya mwembe tunaona mauzauza tu.....
 


Ignorance is bliss

Ebu angalia orodha ya sinema 1000 zilizoingiza mapato makubwa tangu zinaonyeshwa kwa mara ya kwanza.

Kwenye hiyo orodha kuna X-Men, Madagascar, Despicable Me, James Bonds (zote) na 900+ other movies considered as top earners, dunia nzima inazijua mpaka leo hazijafikisha hayo mapato unayodhani ‘Royal Tour’ itatengeneza kwa mwaka.

Na nyingi ya hizo sinema sio tu zipo kwenye digital platform zote; bali zinachezwa kwenye TV za nchi nyingi duniani kwa kulipiwa mpaka half a million dollar.

Ingekuwa kutengeneza $500m rahisi ivyo nani angelipa actors fees tu $10m+ kwa wenye majina yao. Wakati unaweza kwenda Africa, kwa $3 million ukashoot wanyama ukatengeneza hela unazosema.

Akili zetu watanzania zinatutosha wenyewe.
 
Mkuu Kama Taifa shida yetu ni mapato,

AMAZONI ni mtandao unaoaminika sana duniani ,

Kuipeleka YouTube ni kuishusha tu,
Mapato??? hivi idea ya hii movie ni mapato kutokana na mauzo ya movie au kuitumia movie kutangaza utalii ili kujenga soko na mwisho wake kufanya mapato yaongezeke, naona wengi humu mmechanganyikiwa tuu
 
Hongera sana Mama. Ila naogopa sana mnaoleta hesabu za kutoa na kujumlisha.

Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
 
Back
Top Bottom