HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
AnayeuzaNani kamilikishwa hizo haki?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnayeuzaNani kamilikishwa hizo haki?!!!
Kwani mwenye hati miliki ya hiyo film ni nani? Huyo mwenye hati miliki ndiye mwenye bunda, waigizaji na washangiliaji chao ni mabaki mezani.Iko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105
OK. It is sounding too sweet to come true. Anyway, let us wait to see.Iko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105
👍OK. It is sounding too sweet to come true. Anyway, let us wait to see.
Of course filamu ya Tanzania royal tour ina tija sana kwa Taifa letu!! Kuanzia kwenye secta husika ya utalii kwa maana ya mnyororo wa thamani,lakini pia fursa kwa makampuni na watu binafsi kuwekeza kwenye utalii.
Of course filamu ya Tanzania royal tour ina tija sana kwa Taifa letu!! Kuanzia kwenye secta husika ya utalii kwa maana ya mnyororo wa thamani,lakini pia fursa kwa makampuni na watu binafsi kuwekeza kwenye utalii.
Naungana na wewe kwa 100%MH. SAMIA SULUHU HASSANI ana akili nyingi sana
wanaomu-underate BADO WAKO GIZANI AU HUENDA PIA WAMEHAMISHA FIKRA ZAO KTK CHUKI BINAFSI hivyo hawataweza kung'amua mazuri yake ingawa moyoni wanakiri kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI.
100M ni makadirio ya chini jombaa,hesabu za kufikirika hizi hazina uhalisia unamaana wanunuzi/wakodiji woote huko amazon wataipenda royal tour hadi udai crew nzima wainunue mbona kila mtu ana uchaguzi wake za kichina,kivita,utalii,zombies yaan kila upande una mashabiki wake..na hao wanunuzi million 100 unaosema ni kwa filamu za aina zote na mapendeleo tofauti ya watu
sub objectives zipo kwenye kila lengo la Project,Sasa hapo lengo la film ni kutangaza utalii au kuuza film???? Mtoa mada tunaomba relation ya hiyo film na growth ya utalii, sio mauzo ya hiyo film.
Kwani raisi wamemzuaia kuonesha talent yake katika sekta ya film,Rais mzima anacheza movie? hii ni aibu kwa taifa , yaani hata sisi Tanzania yenye watu Mil63 tunakubali vipi Rais wetu anachukuliwa mchana kweupe kwenda nje kucheza movie? , kweli walio sema Tanzania katika watu mil5 basi wenye akili timamu ni wawili au watatu hawa kukosea, na ndo mtaji mkubwa wa watawala wetu.
Sasa hayo mauzo ni ya waliotoa film sio ya Taifa.sub objectives zipo kwenye kila lengo la Project,
Kuna Ngosha mmoja anakwambia kodi zetu zimepotea bure, Samia anatumia kodi zetu vibaya na wizi umeanza kurudi.Iko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105
CHADEMA hamjawahi kuwaza kama wananchi kabisa aise
ni mauzo ya mwenye filamu japo AMAZON kuna % wanachukuaSasa hayo mauzo ni ya waliotoa film sio ya Taifa.
😀😀😀Angalau 25% iende kwa sterling wa movie kutenda haki