Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Kwani mwenye hati miliki ya hiyo film ni nani? Huyo mwenye hati miliki ndiye mwenye bunda, waigizaji na washangiliaji chao ni mabaki mezani.
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
OK. It is sounding too sweet to come true. Anyway, let us wait to see.
 
MH. SAMIA SULUHU HASSANI ana akili nyingi sana

wanaomu-underate BADO WAKO GIZANI AU HUENDA PIA WAMEHAMISHA FIKRA ZAO KTK CHUKI BINAFSI hivyo hawataweza kung'amua mazuri yake ingawa moyoni wanakiri kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI.
 
hesabu za kufikirika hizi hazina uhalisia unamaana wanunuzi/wakodiji woote huko amazon wataipenda royal tour hadi udai crew nzima wainunue mbona kila mtu ana uchaguzi wake za kichina,kivita,utalii,zombies yaan kila upande una mashabiki wake..na hao wanunuzi million 100 unaosema ni kwa filamu za aina zote na mapendeleo tofauti ya watu
 
MH. SAMIA SULUHU HASSANI ana akili nyingi sana

wanaomu-underate BADO WAKO GIZANI AU HUENDA PIA WAMEHAMISHA FIKRA ZAO KTK CHUKI BINAFSI hivyo hawataweza kung'amua mazuri yake ingawa moyoni wanakiri kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI.
Naungana na wewe kwa 100%
 
Sasa hapo lengo la film ni kutangaza utalii au kuuza film???? Mtoa mada tunaomba relation ya hiyo film na growth ya utalii, sio mauzo ya hiyo film.
 
hesabu za kufikirika hizi hazina uhalisia unamaana wanunuzi/wakodiji woote huko amazon wataipenda royal tour hadi udai crew nzima wainunue mbona kila mtu ana uchaguzi wake za kichina,kivita,utalii,zombies yaan kila upande una mashabiki wake..na hao wanunuzi million 100 unaosema ni kwa filamu za aina zote na mapendeleo tofauti ya watu
100M ni makadirio ya chini jombaa,
 
Kabla ya kuleta faida za kufikirika,tuambieni kwanza gharama za Hangaya kukaa Marekani pamoja na timu yake ni kiasi gani mpaka sasa
 
Rais mzima anacheza movie? hii ni aibu kwa taifa , yaani hata sisi Tanzania yenye watu Mil63 tunakubali vipi Rais wetu anachukuliwa mchana kweupe kwenda nje kucheza movie? , kweli walio sema Tanzania katika watu mil5 basi wenye akili timamu ni wawili au watatu hawa kukosea, na ndo mtaji mkubwa wa watawala wetu.
Kwani raisi wamemzuaia kuonesha talent yake katika sekta ya film,
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Kuna Ngosha mmoja anakwambia kodi zetu zimepotea bure, Samia anatumia kodi zetu vibaya na wizi umeanza kurudi.

Kulaumu ni kazi nyepesi sana, lakini siku zote ni kielelezo cha uvivu wa kutumia akili ipasavyo. Ni kielelezo cha umaskini wa kudumu.
 
Back
Top Bottom