Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Siku mama akimaliza muda wake hapo 2030, napendekeza CEO wa Simba SC Barbra Gonzalez achukue kijiti.
 
Kilimo simulizi kisigeuka kuwa sinema simulizi. Mh Mtaka aje atolee maelezo hizi namba za wataje wa sinema ya royal tour hapo Amazon zinasoma ngapi? Biashara asubuhi jioni mahisabu.
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Tomboka malamu, mama anaitangaza dunia kwa akili ya Karne za mbele
 
Watanzania wengi kwa mda mrefu tumekuwa tumekuwa na kilio cha mda mrefu kupa fulsa ya kufanya mauzo ebay na amazon na kwa taratibu za nchi yetu hakuna uwezekano wa kuuza ila ni kununua tu

Je hawa wemewezaje kwani mfumo wetu uwezi kulipwa je wanatumia mfumo upi kulipwa?

Tunaomba na sisi tuwezeswe kufanya biashara ebay na amazoni


Hii kitu tumeipigia kelele mpaka koo zimekauka, tumeamua kukaa kimya,
 
Wewe umatania, eti viewers 100 million, Seriously!! Hata ingekuwa Netflix kupata 100 million viewers in one year siyo rahisi .....!! Kwa akili yako kama hiyo moview ya Maza inaweza kuingiza hiyo pesa then Amazon kwa mwaka wanaingiza kiasi gani kwa maelfu ya movie walizonazo online!!? May next year urudi hapa kutupa marejesho tuone hata kama wamepata 100 K viewers ....!!

Anyway, movie ilikuwa ni ya kutangaza utalii, sasa kama inauzwa then availability yake inakuwa limited kwa kiasi fulani. Binafsi mpaka sasa sioni kama hivyo movie was a good idea ..... Halafu target USA. But time will tell.

Pia akirudi asisahau kuisafisha nchi kuhusu Ugaidi walioipachika nchi yetu ..... maana USA na ugaidi. Tumemsikia Maza alivyodai kuwa nchi yetu ni ya amani sana ..... anasahau kuwa toka ameingia madarakani wamefuta kesi za Magaidi zaidi ya 50 ....!!
Bila kusahau kuwa Maza mwenyewe alitangaza kuwa nchini Kuna gaidi (aliposema Mbowe ni gaidi)
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105


Tanzania haipati kitu kwenye hili zaidi ya matangazo ya watalii huu ndiyo ukweli


"Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni."
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105

Samia kupitia BBC alisema serikali haijatoa hata shilingi sasa wewe umetoa wapi hizi habari za tanzania kugharamia hii filamu umezitoa wapi? Mtu hajagharamia filamu amepata wapi hiyo hati miliki ya kupata mapato ya hiyo filamu?

Sasa nimeanza kuelewa hoja ya Lissu.
Ni wazi kuna jambo tunafichwa kuhusu hii filamu
 
Ila sasa wakati Umefikia,

Watusaidie kwa kweli vijana tunapata shida kupata kazi za online maana wengi wanalipa kwa PayPal, na PayPal tanzania huwezi kupokea hela,

Nahisi ni Tanzania tu tumebakia nyuma namna hii, sielewi kwa nn,
 
Back
Top Bottom