Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105

That’s a fantasy! Nyie ndiyo wale ambao huwa mnatengeneza business plans zenye dubious assumptions na biashara zenu kuishia kufa ndani ya muda mfupi tu!
 
Tumesha danganywa sana.... Tuendelee tu..... Tumepigwa na kitu kizito....
 
Msaada wakuu, Kuna lugha ngumu nimeikuta ndani ya huu Uzi "Wakodiji"ndio watu wa aina gani hao!?
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105

Wee hujui business, it is not a straight forward like that, hiyo ni biashara kwenye papers tu. Is like kilimo cha mtandaoni.

Biashara hufanyi nadhani hata moja ww.
 
... nadhani huu mradi utaingia kwenye vote ya rais ambapo CAG hatii pua.
Atie pua wamufanye Kama Assad..au akitia pua atapamba tu kwamba royal tour imetuingizia faida maradufu ila b.7 nyingi sana ni vijizahati vingapi hapo
 
Ni kweli, nimekwenda pale Amazon nikakuta Tanzania ndiyo ya kwanza. Angalia
1650584740614.png

1650584794903.png
 
Back
Top Bottom