Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Exactly,washauri wa mwendazake na yeye mwenyewe wote walikuwa team ya upigaji tu,
Issue sio upigaji ila kinachofanyika ni wazi itakuwa ngumu kutekeleza nia ya kutangaza huo utalii, punguza siasa
 
Alichonifurahisha ni namna mradi ulivyoleta matokeo chanya mapema! Hapa Rais Samia amuepiga kwa controll kali! Ningekuwa mshauri wake ningemshauri hizo fedha zikaelezwe kwenye kulipa madeni huko nje!
Haiwezekani tukawa na dili kubwa kama hilo alafu tuendelee kunuka madeni!
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
We proud of her, tutamwonesha furaha yetu 2025
 
Hivi hili ongezeko la Chawa inchini pia ni athari za vita vya Ukraine na urusi?

Maisha haya!!!!
 
Hahaha katika watu wako 20 wanaokuzunguka kuna yoyote mwenye account ya Amazon?

Hao unaotegemea ww watanunua ni wakina Nani?

Kuna mtu gani maarufu kwenye hiyo movie?

Movie ngapi za Aina hiyo ww umewahi kununua online?
CHADEMA hamjawahi kuwaza kama wananchi kabisa aise
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani,

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu,

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni,

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka,

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000,

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000,

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka,

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka,

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni ,

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii,

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye,

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga,

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Mlisubiri Lissu aseme?
 
Rais mzima anacheza movie? hii ni aibu kwa taifa , yaani hata sisi Tanzania yenye watu Mil63 tunakubali vipi Rais wetu anachukuliwa mchana kweupe kwenda nje kucheza movie? , kweli walio sema Tanzania katika watu mil5 basi wenye akili timamu ni wawili au watatu hawa kukosea, na ndo mtaji mkubwa wa watawala wetu.
 
Rais mzima anacheza movie? hii ni aibu kwa taifa , yaani hata sisi Tanzania yenye watu Mil63 tunakubali vipi Rais wetu anachukuliwa mchana kweupe kwenda nje kucheza movie? , kweli walio sema Tanzania katika watu mil5 basi wenye akili timamu ni wawili au watatu hawa kukosea, na ndo mtaji mkubwa wa watawala wetu.
Hata wa Mexico alishacheza royal tour film
 
Back
Top Bottom