Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Nakupa mfano. Nchi zilizoendelea kama Marekani, once anapoingia Rais mpya wanashika nafasi za uwaziri chini ya Rais aliyetangulia wanajiuzuru mara moja kumpa nafasi Rais mpya kuteua watu wakeKituko Ni pale unaposema eti aanze nayo yeye, Serikali sio mahali Pa majaribio. Hakuna awamu hata moja ilyoanza yenyewe.