Mapendekezo: Baraza la Mawaziri

Mapendekezo: Baraza la Mawaziri

MToa mada kwa kweli wewe ni nondo sana,umetoa uchambuzi mzuri kwa takwimu na kufuata elimu za wahusika-jambo jema sana.Tatizo ni siasa za Africa ndio shida kwanza wanachagua Mawaziri kwa kuangalia ukanda na Mikoa-sera ya CCM ni angalau kila Mkoa utoe Waziri,jambo linalofifisha creativity.
asante. kwa pamoja tunaweza! tutoe mawazo chanya kwa faida ya taifa letu
 
Kama mwanzo umeianza mada yako kwa kusifia elimu ya waziri Jamal wa viwanda enzi za Nyerere ilivyoleta mabadiliko, iweje ghafla utupeleke kwenye "mipango" ya mtu isiyojulikana chanzo chake?

Haya kama sio mahaba kwako ni kitu gani? nimekuuliza hiyo "mipango" ameisomea wapi, hujajibu, badala yake unasema nina chuki kwasababu nimekuuliza elimu ya Makamba kuhusu gas!

Kwani hayo matumizi ya gas ni Makamba ndio wa kwanza kuanza kuyazungumzia nchi hii? au uharibifu wa mazingira ni nani asiyeujua? au utaenda kwenye vikao na wakubwa huko duniani kuzungumzia gas ukawaambie habari ya uharibifu wa mazingira? grow up dude!.
Uharibifu wa mazingira unajulikana ndiyo ila nani aliwahi kuchukua hatua kama hizi huko nyuma?

Mtu akifanya vizuri apongezwe na akikosea akosolewe
 
Ba
Kama tupo serious na kumpata Waziri wa Fedha imara na tunatapa mabadiliko Wizara hiyo apewe Hussein Bashe-binafsi yangu ndio huwa namuona huwa yupo serious.
Bashe aendelee kutumika kwenye kilimo ili ku transform kilimo chetu kuwa cha Kibiashara. Anahitajika sana pale kuliko wakati wowote ule
 
Kaka Kemei amesaidiwa na ujanja ujanja wa Fedha za Serikali,pamoja na fedha za rushwa za wanasiasa walikuwa wanaweka CRDB.
Angalia toka Seriakali ya Magufuli ilipopiga marufuku fedha za Serikali mwenye commercial bank-CRDB imekuwa kama saccoss.
Hapana unakosea.
Kimei amefanya kazi kuwaondoa Watanzania kutoka kwenye mindset ya NMB na NBC hadi kuanza kuona crdb nayo ni Bank.
Sio hivyo tu. Kimei ameitoa ile Bank kutoka safari hadi kuwa kati ya Bank bora zaidi Afrikq Mashariki na ikawa Bank ya 1 ya kitanzania kufungua tawi nje ya Tanzania walipofungua Burundi.

Tuache unafiki. Kimei kwenye mambo ya fedha na uchumi is among the best.

Magufuli alicripple karibu sekta ya fedha yote sio.CRDB tu.
 
Nilianza kusoma nilivyooona unawataja wale wale nikaanza kupoteza imani nawe, nikaja kupotea kabisa nilivyoona unamkomalia bashe akae pale pale unaendeshwa saana na bla blah za mitandao.... Bashe ni pumba kama wale wengine watatu... Ila ana sound nyingi saaana...

Uwe unawafuatilia kabla ya kuandika... Sera zizikuchanganye... Angalia ground chenye wanafanya
 
Nilianza kusoma nilivyooona unawataja wale wale nikaanza kupoteza imani nawe, nikaja kupotea kabisa nilivyoona unamkomalia bashe akae pale pale unaendeshwa saana na bla blah za mitandao.... Bashe ni pumba kama wale wengine watatu... Ila ana sound nyingi saaana...

Uwe unawafuatilia kabla ya kuandika... Sera zizikuchanganye... Angalia ground chenye wanafanya
Bashe ana pumba na chenga zipi? Embu funguka
 
Kwa mtazamo wangu, perfomance ya waziri kwa kiasi kikubwa inakuwa influenced na sera/ilani ya chama na zaidi maono/mtazamo wa mtawala aliyepo madarakani.

Mfano, huyo waziri Jamal uliyemsifia enzi za utawala wa Nyerere kwamba ndie aliyewezesha ujenzi wa viwanda akiwa waziri wake, kiuhalisia kulichangiwa na mtazamo wa Nyerere kutaka hili taifa liwe na viwanda vyake, pamoja na nia ya kuliwezesha hilo iliyokuwepo.

Hili halishabihiani na utawala wa Magufuli ambaye nae alitaka kuiona Tanzania ya viwanda, lakini sikumbuki aliweza kujenga vingapi mpaka mauti yalipomkuta, licha ya yeye pia kuwa na waziri wake wa viwanda.

Napingana nawe unapozungumzia suala binafsi la elimu ya waziri husika kama ndio inawezesha hilo, kwasababu tumeona mara nyingi hapa kwetu, wasomi wakishapewa madaraka huweka elimu zao mifukoni na kugeuka chawa wa watawala.

Hili Nyerere hakuliruhusu, alimuacha mtu mwenye elimu yake afanye kazi kwa weledi kwa maendeleo ya taifa, anastahili pongezi. Hivyo kwangu, kufaulu au kufeli kwa mipango ya nchi, kwa kiasi kikubwa kunachangiwa na maono ya mtawala, kama akiwa mjinga ataliangusha taifa.

Hao mawaziri wote uliowataja hapo juu, sioni ni yupi mwenye sifa hitajika za kulishibisha andiko lako, kwa sababu naamini, wote hufuata mawazo ya mtawala kwenye utendaji kazi wao, wanajipendekeza, hawana uthubutu wa kuanzisha wazo lao na kulifanyia kazi.
Wewe ni mtu wa ajabu sana bro,mwenzako kaja na mawazo ww umempinga tuuu bila kutoa mapendekezo yoyote, really?Come on
 
Ni kipi kitamzuia Samia kutogombea awamu ya pili! Na yupi ndani ya CCM hataweza kuchuwana na Samia?
Urais huo ulikuja Kwa kudra, ni one term thing.

Nenda soma vitabu vya waasisi ingawa nondo zingine Si Rahisi kuzipata maktaba.
 
Ingekuwa hii nchi ina upinzani imara na mahakama huru Nape, Mwigulu na January wangekuwa magereza!
Wamelivuruga sana taifa!
 
Akikujibu nitagg

Urais huo ulikuja Kwa kudra, ni one term thing.

Nenda soma vitabu vya waasisi ingawa nondo zingine Si Rahisi kuzipata maktaba.
Mkuu,
Sina haja ya kusoma kitabu chochote ili kuelewa ni nani atakuwa rais baada ya uchaguzi mkuu wa 2025!

Sikatai kwamba kuna wawili watatu wanaweza kujotokeza ndani ya CCM na kutaka kuchukuwa fomu za urais. Lakini watakuwa ni wale "choka mbaya". Hata tulikuwa hatujui kama bado wapo hai. Dhumuni lao na wao waonekane.

Lakini hakuna hata mmoja kwenye ili Baraza la Mawaziri au ambao amewatema. Hakadhubutu kuchuana na Samia.
Hata usishangae wagombea kupitia upinzani wakagwaya!
 
Mkuu,
Sina haja ya kusoma kitabu chochote ili kuelewa ni nani atakuwa rais baada ya uchaguzi mkuu wa 2025!

Sikatai kwamba kuna wawili watatu wanaweza kujotokeza ndani ya CCM na kutaka kuchukuwa fomu za urais. Lakini watakuwa ni wale "choka mbaya". Hata tulikuwa hatujui kama bado wapo hai. Dhumuni lao na wao waonekane.

Lakini hakuna hata mmoja kwenye ili Baraza la Mawaziri au ambao amewatema. Hakadhubutu kuchuana na Samia.
Hata usishangae wagombea kupitia upinzani wakagwaya!
Duh! Kwamba umependa kupitiliza.

Anyway hata akija mwingine we BADILI GIA angani maana chawa habagui windo.
 
Hapo kwa Tarimba Abassy umekosea sana, labda atabini kubet.
 
Mkuu,
Sina haja ya kusoma kitabu chochote ili kuelewa ni nani atakuwa rais baada ya uchaguzi mkuu wa 2025!

Sikatai kwamba kuna wawili watatu wanaweza kujotokeza ndani ya CCM na kutaka kuchukuwa fomu za urais. Lakini watakuwa ni wale "choka mbaya". Hata tulikuwa hatujui kama bado wapo hai. Dhumuni lao na wao waonekane.

Lakini hakuna hata mmoja kwenye ili Baraza la Mawaziri au ambao amewatema. Hakadhubutu kuchuana na Samia.
Hata usishangae wagombea kupitia upinzani wakagwaya!
Na ugumu wote huu wa maiaha? Sidhani ka watakubali kutema ulaji
 
Hivi January Makamba hanaga proffession?
Maana kwingine kote naona umewataja kwa sifa ikiwemo taaluma, Ila kwa huyu mwamba naona Kama umepata kigugumizi😊😊😊😊😊😊


Sifa ya January ni mshkaji, anajichanganya , mtoto wa mjini na haringi mengine sio muhimu
 
Back
Top Bottom