Mapendekezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha: Igeuze Arusha kuwa ndo "Financial Centre" ya Tanzania na iwe mfano wa mikoa ingine na tafuta washauri maalum

Mada ina assumptions zilizojengwa kwenye taarifa uwongo na kukosa uelewa wa unachotaka (lack of knowledge in the subject matter), haiwezi kujadilika. Ni kupoteza muda tu
Watu wa aina yako hauwezi kukubaliana na mapendekezo haya.

Nimeongelea mambo ya msingi kabisa kuelewa lakini kwa kuwa hutaki hiyo kitu waendekeza personal attacks.

I have knowledge on the sujbect matter na pengine ninakusaidia hata weye ndugu.

Hakuna uongo hapo wala assumptions.
 
Siyo kweli huwezi kunizidi. Mimi ni ex CEO wa one of public parastatal na elimu yangu ni MBA.

Uliposema Financial hub ina maana unaongelea biashara ya fedha na siyo madini, mahoteli au utalii.

Financial markets ina husisha mfumo unaohusisha wauzaji na wanunuzi wa bidhaa za fedha (loans and fixed term deposits), dhamana za Serikali (bonds) fedha za kigeni (International currencies and derivatives), mitaji (stock exchange) etc.

Sasa kwenye mada yako hujagusa huku ndiyo maana nakuona luwa wewe siyo expert kwenye suala ĺa financial markets
 
Mkuu, Arusha watu wanaojifanya wao ni watoa ushauri kwa viongozi ni wengi sana ila mostly wanatoaga theories ambazo ni undoable practically, nimekaa Arusha for 5 years, i know them very well na tena hawa washauri wanatafutaga njia ya kukuweka karibu ili wapitishe mambo yao huku wakikuacha kiongozi na theories ambazo ni ngumu mno kutekelezeka. Wao wabaki na ushauri wao, Makonda atafanya yaliyo ndani ya uwezo wake. Tena i am sending him link ya huu uzi ajionee washauri wanavyoibuka kwa kasi, i warned him and i will warn him again.
 
Yaani ile zero kutoka Koromije ndio umeipa huo ushauri?
Pole mleta mada kwa kupoteza muda wako kuandika hayo yote.

Kukusaidia wewe, fahamu tu, Makonda yeye anaamini anajua kila kitu, hahitaji ushauri wa mtu yoyote, ni jeshi la mtu mmoja lenye kuweza kufanya chochote.
 
Mkuu, Financial centre yabeba financial hub na financial markets.

Mimi sijasoma sana kama weye ila nina knowledge ya kutosha na siwezi kujisifu.

Lakini nina bahati ya kutembea na nimetembea kwelikweli dunia hii.

Nazungumzia Arusha kuwa Financial Centre kutokana na hadhi yake ya kuwa tourist destination ya nchi.

Kwa mfano mji wa Shanghai ni financial center ya China kwa sasa. Mji huu zamani ulikuwa ni kijiji cha uvuvi na mji wenye masoko yaani market town na hiyo ni kwenye kuanzia miaka ya 1900s.

Nikisema financial centre ya Tanzania namaanisha mji wa Arusha kuwa financial centre yaani mambo yote ya fedha, uchumi na biashara, Utalii, viwanda na madini kama nilivyoyaongelea kwenye mada.

Unanipata ndugu?
 
Arusha mie si mkazi ila natembekea mkoa huu safari za kitalii mwaka wa 15 huu.

Mada hii nimeandika nikiwa Tarangire.
 
Haya mambo yanatakiwa kuratibiwa na Tume ya Mipango badala ya Hawa ambao Leo wapo kesho hawapo.maa a sio mambo ya overnight au mda mfupi.kutoa majibu.

Wazo ni zuri ila waliotakiwa kuratibu sio RC Bali Tume ya mipango.Mbona Dom Wana Master plan Yao ambavyo wanataka Jiji liwe?
 
Lakini RC si aweza kuwa awasiliana na hiyo tume ya mipango na mwisho kupewa "go ahead" na mawazo yake?

Tume ya mipango yatakiwa kuwa ni kama mwangalizi wa utaratibu mzima wa mipango ya maendeleo ya taifa inohusisha mikoa yote.

Huoni kwamba TIC na Tume ya MIpango yaweza kutumia urasimu kuzuia mawazo ya kimaendeleo ya viongozi.
 
Sio kazi yake,yeye ni Kusimamia utekelezwaji wa sera za Nchi za Uchumi na kijamii kutoka Tume ya Mipango,Wizara na Maelekezo ya Viongozi.

Kimsingi huwezi kuwa unaanzisha vya kwako pamoja,Bali weka ubunifu wako wenye Tija.
 
Sio kazi yake,yeye ni Kusimamia utekelezwaji wa sera za Nchi za Uchumi na kijamii kutoka Tume ya Mipango,Wizara na Maelekezo ya Viongozi.

Kimsingi huwezi kuwa unaanzisha vya kwako pamoja,Bali weka ubunifu wako wenye Tija.
Sidhani kama kuna mahala katika mada nimesema aanzishe vya kwake.

Bali nimesema aubadilishe mkoa, auendeleze na aufanye kuwa ni mkoa wenye tija zaidi kiuchumi.

Zamani alikuwepo mzee marehemu Lawrence Gama, huyu mzee alikuwa na maono sana kama kiongozi na kila mkoa alokwenda alihakikisha unabadilika.

Mkoa wa Kilimanjaro uliwahi kuongozwa na mzee Gama na akaunyanyua kwa kiasi chake pia hata mkoa wa Ruvuma alikwenda pale na kufanya machache tu mkoa ukawa moja ya "The Big Four".

Unafahamu kwamba miaka ya nyuma Tanzania ilikuwa ni mikoa iloitwa "the big four"? Mbeya, Iringa, Ruvuma na Rukwa?

Mikoa hii ilikuwa yailisha nchi lakini leo hii twapewa mchele wenye virutubisho kutoka nje ili tule tuvimbiwe.

Wamkumbuka au umewahi kumsikia marehemu mzee Gama?
 
Hawezi fanya hivyo kama hakuna policy statement au policy guidelines ya kufanya hivyo.
 
Waulizwe Serikali ila policy statement iliyopo Kwa Arusha ni kuwa kitovu Cha Utalii na mikutano na sio financial center kama unavyotaka wewe.
Je, hufahamu kuwa hizo policy huweza kupitiwa mara kwa mara na kufanyiwa mabadiliko?

Hujawahi kusikia watu wasema kuna "change of policy" kuhusu jambo fulani?

Usichoshwe na masuali yangu twaelimishana.
 
Upo sahihi mkuu kulalama kwenye social networks hakusaidii,ni kutumia lugha watakaoisikia hawa watawala
 
Nabishana na mtu mwenye kichwa kigumu tu.
 
Waulizwe Serikali ila policy statement iliyopo Kwa Arusha ni kuwa kitovu Cha Utalii na mikutano na sio financial center kama unavyotaka wewe.
Nashukuru mkuu ChoiceVariable umekuja labda huyu atakuelewa. Nami hoja yangu ni hiyo kuwa Arusha can be tourist centre but not financial centre. Ila anakichwa kigumu kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…