Mapenzi Haya! Kweli nimeamini Nyuki hawezi kumlazimisha Nzi aamini kwamba Asali ni Tamu kuliko Mavi

Malaika wa Waha

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2024
Posts
319
Reaction score
885
Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.

Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,

Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.

Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
 
Eti shoo ya maana
 
Naomba msubiri nicheke title kwanza ndipo nicomment🤣😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…