Mapenzi Haya! Kweli nimeamini Nyuki hawezi kumlazimisha Nzi aamini kwamba Asali ni Tamu kuliko Mavi

Mapenzi Haya! Kweli nimeamini Nyuki hawezi kumlazimisha Nzi aamini kwamba Asali ni Tamu kuliko Mavi

Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.

Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,

Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.

Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
Pole Sana kikubwa uzima mengine anasa tu
 
Kuwa kama mwanaume ungejifanya hujaona alafu unamuacha kimya kimya
 
Screenshot_20240911-133346~3.png
 
Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.

Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,

Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.

Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
Tatizo ni kuwa ulijiona malaika huku ukiamini kuwa unaweza ku control Kila kitu🤣🤣

🎸🎷📻🎧Wakati tunakupa ushauri ee!
uliona Sisi watu fitina,
twaingilia mambo yako yako ya ndani,
na kwamba tukuacha kama ulivyo,
sababu wewe bingwa wa maisha,
malaika ee! Malaika!
By
Les wanyiks
 
Back
Top Bottom