Malaika wa Waha
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 319
- 885
- Thread starter
- #41
nimekuelewa mkuuMwanetu ishi kikachero ..... Mabadiliko yoyote Yale hata kwa mbaaali yakodolee macho then kata Mbuga .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekuelewa mkuuMwanetu ishi kikachero ..... Mabadiliko yoyote Yale hata kwa mbaaali yakodolee macho then kata Mbuga .
shukrani sanaJipanguse ,jirekebishe ulipokosea na usikae kinyonge kaa kishujaa
Angekuw mke nngeroga ila kwa huyu acha tu mi nimeshndwa nimekubali ila nimepata somo kubwa sanaMroge tu Mwanangu ubaya ubwela na wewe roho yako ifurahi 🤣🤣🤣
Umeumiza wangapi kabla yake? Ndiyo mapenz yalivyoAngekuw mke nngeroga ila kwa huyu acha tu mi nimeshndwa nimekubali ila nimepata somo kubwa sana
Arogwe tu huyo Msaliti 🤣🤣🤣usituaminishe mapenz mabaya ivo,,hebu ngoja kwanza
Pole Sana kikubwa uzima mengine anasa tuNdugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.
Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,
Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.
Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
AiseeHivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule.
sio LIMJAHALO, ni limjaalo.limjahalo mtu ndilo limtokalo
Tatizo ni kuwa ulijiona malaika huku ukiamini kuwa unaweza ku control Kila kitu🤣🤣Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.
Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,
Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.
Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
🤣🤣🤣🤣Sitii nenoArogwe tu huyo Msaliti 🤣🤣🤣
Tumwage siri zake au tumstahi tu ?Na mimi ndio konda.