The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
Mimi kama dereva Namuona kama nyuki wa mashineni hiviinawezekana show ya dereva wa bajaj ni ya maana kuliko yako pia yawezekana wao ndiyo wanakuona wewe mshenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kama dereva Namuona kama nyuki wa mashineni hiviinawezekana show ya dereva wa bajaj ni ya maana kuliko yako pia yawezekana wao ndiyo wanakuona wewe mshenzi.
Kuna msemo unasema "The way you do everything is the way you do anything" Tumzoee tulimjahalo mtu ndilo limtokalo nadhani uyu kichwani ana mavi
huwezi kuwa na akili timamu kila muda unawaza vinyeo tu
Nampa show ya moto sana , mpaka pisi huwa inanambia siri za jamaa kuwa ni mzito mno nashangaa hapa anajitapa 😂😂😂inawezekana show ya dereva wa bajaj ni ya maana kuliko yako pia yawezekana wao ndiyo wanakuona wewe mshenzi.
Mapenzi ndivyo yalivyo , haumuoni konde anavyohangaika 😂Asante inauma mkuu yan hapa nguvu sina
Aniroge mimi au pisi yake , sijaelewa hapo mkuu 🤔Mroge tu Mwanangu ubaya ubwela na wewe roho yako ifurahi 🤣🤣🤣
We umejuaje kama show zako ni bora kuliko za dereva bajaji?Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.
Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,
Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.
Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
Tumwache.Tumwage siri zake au tumstahi tu ?
Mshangazi natafuta mtu wa kunisindikiza kwenda kuuza koroshoMuda huu anampa jicho huko
Nenda kamchinje
Dume lina mapumbu hilo mkiambiwa wabishi mpaka yawakute shaurizenuMshangazi natafuta mtu wa kunisindikiza kwenda kuuza korosho
Ndipo atakapojuta kwa nini anajiita shangaziDume lina mapumbu hilo mkiambiwa wabishi mpaka yawakute shaurizenu
Utamfanya nini?Ndipo atakapojuta kwa nini anajiita shangazi
Utamfanya nini ukimkuta kaning'iniza mapumbu huku guu lina ugimbi wa kutosha?Ndipo atakapojuta kwa nini anajiita shangazi
Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa.
Amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,
Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mno.
Hivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.
Hiyo ni red flag hawa had kulana tayari japokuw sijataka hata kumuuliza huyu jamaa, maan hadi namb yke ninayo ila siwez kuhandle mshtuko kabisa akijibu alimla Mchumba wangu.Ni mate tu hayo bro...usizire
Kwasas staki hata kuskia ngoj ntulie kwanzaTafuta mwingine