dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
inawezekana show ya dereva wa bajaj ni ya maana kuliko yako pia yawezekana wao ndiyo wanakuona wewe mshenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante inauma mkuu yan hapa nguvu sinaDuh sijasoma yote ila basi ni mpenzi sio mke pole
Mpaka wanapeana barabarani, huyu ndege si wake. Akawinde kwingineHuyo Hadi kuliwa alishaliwa
pole sana Mkuu, hawa viumbe ni wa hovyo sana na akishakishapata alichokuwa anakihitaji. Alafu wewe ni Muha mroge tu umtie nuksi kila Mwanaume awe anamuona ananuka kama chooAsante inauma mkuu yan hapa nguvu sina moyo unauma sana
Yamkini labda hivyoinawezekana show ya dereva wa bajaj ni ya maana kuliko yako pia yawezekana wao ndiyo wanakuona wewe mshenzi.
Jikaze mtoto wa kiumeAsante inauma mkuu yan hapa nguvu sina
Huyu mwanamke nilichobaini ni malaya tu kama wengne japokuw kimuonekano ni mtu wa Dini sana full ushungi na majuba ila ni mshenzi tu kumbe sikuwahi kujuaNunua Bajaji Kamanda shemeji kachoka kuandamana road.
Hapana nimemuacha tu japokuw inauma ila nitapoa ila kwa tabia hii hatopendwa na mtu sikumdhania kabsa yan mpka uchochoroni hata aibu hana imenishangaza sanapole sanq Mkuu, hawa viumbe nibwa hovyo sana na akishakishapata alichokuwa anakihitaji. Alafu wewe ni Muha mroge tu umtie nuksi kila Mwanaume awe anamuona ananuka kama choo
Mwanetu ishi kikachero ..... Mabadiliko yoyote Yale hata kwa mbaaali yakodolee macho then kata Mbuga .Huyu mwanamke nilichobaini ni malaya tu kama wengne japokuw kimuonekano ni mtu wa Dini sana full ushungi na majuba ila ni mshenzi tu kumbe sikuwahi kujua
Kwanza zingatia, shoo ya maana na pesa kidogo. Acha dereva bajaji ale mzigo.Mpaka wanapeana barabarani, huyu ndege si wake. Akawinde kwingine
Mroge tu Mwanangu ubaya ubwela na wewe roho yako ifurahi 🤣🤣🤣Hapana nimemuacha tu japokuw inauma ila nitapoa ila kwa tabia hii hatopendwa na mtu sikumdhania kabsa yan mpka uchochoroni hata aibu hana imenishangaza sana
limjahalo mtu ndilo limtokalo nadhani uyu kichwani ana maviIla wewe comments zako Huwa hazinaga breki asee!
Unapenda vita.
Akili za kuona changanya na za kufikiri!Ndugu zangu leo nimechanganyikiwa nimemfumania Mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye mahusiano kwa Miaka 2 sasa..... amebananishwa kwenye uchochoro saa mbili usiku na Dereva bajaji wanakulana mate,
Sikutaka kuanzisha ugomvi maana ni Mpenzi tu huyu sio mke baada ya hapo nimemuuliza dereva bajaji amekiri ni wapenzi na kwa huyu msichana na yeye amekiri pia yani imeniuma mnoo,
Ivi wanawake mna shida gani yani unaniacha mimi niliyekuw nakupa show ya maana na pesa kidogo unaenda kwa mshenzi yule. Aisee ndugu zangu sitaki Ushauri wowote,...kwenye mahusiano ishini kijanja cheka sana ila jua tu Leo kwangu kesho kwako usiamini mtu.