Mapenzi Haya! Kweli nimeamini Nyuki hawezi kumlazimisha Nzi aamini kwamba Asali ni Tamu kuliko Mavi

We umejuaje kama show zako ni bora kuliko za dereva bajaji?
 
Mkuu kwa dunia ya sasa usikubali kupata hasara, demu akishakua msaliti, mshushe cheo kutoka Soul mate mpaka Bed to bed midfielder yan cha kufanya sahv we uwe unajipigia tuu kama malaya, we usimwambie kitu akileta mzigo piga hakuna kukaa kinyonge
 

Tatizo limeanzia hapa kuwa wewe ni Malaika wa Waha
 
Ni mate tu hayo bro...usizire
Hiyo ni red flag hawa had kulana tayari japokuw sijataka hata kumuuliza huyu jamaa, maan hadi namb yke ninayo ila siwez kuhandle mshtuko kabisa akijibu alimla Mchumba wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…