Kwanza tuambie kwanini unataka ufundishwe kutongoza mchana na siyo usiku? Na unafikiri kutongoza mchana na usiku kuna tofauti?!.
Subiri walimu wanakuja watakufundisha
Habarini wanajamvi,
Jamani naombeni msaada jinsi ya kumtongoza mwanamke maana nimefika umri ambao ninahitaji mwenza wangu wa kuwa nami ila tatizo ninaogopa sana wacchana na cna hata confidence ya kuwaface na kuwaambia yangu ya moyoni, so naombeni msaada, tusihekane jamani, nimeweka shida yangu hii kwa kuamini kuwa nitasaidiwa.
Excel Yule jamaa demu wake hapokei simu ulimsaidiaje? Na huyu jee unaweza kumpa somo?
Kaka nadhani amekusudia msichana ila kaandika mcchana....elewa tu hivyo hivyo
aisee vijana wako mjini lakini naona hawana faida...
kuna haja ya kuanzisha remedial class kwa ajili ya hii assignment...!
kumbe dili hili mkuu!
Ndiyo naandaa modules na prospectus kwa sasa!
Vijana wanahitaji practical training aisee kuface wadada kama Evelyn Salt na Karucee!
Aisee na Evelyn Salt sijui utamuanzaje...kuna mtu kamwambia atoboe mgomba leo sijui kashatoboa?
Sijaelewa vizuri mgomba ukitobolewa thn afanye nini?
Evelyn Salt Sasa naomba niambie maana ya lile nenoUmeona sasa huyo mwanamke alivyo na tricks katika kutumia ulimi?
You must be careful....!!
Utahonga bila kujua ukidhani unatoa sadaka!
Evelyn Salt sasa naomba niambie maana ya lile neno