Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Kwanza tuambie kwanini unataka ufundishwe kutongoza mchana na siyo usiku? Na unafikiri kutongoza mchana na usiku kuna tofauti?!.

Kaka nadhani amekusudia msichana ila kaandika mcchana. Elewa tu hivyo hivyo
 
Habarini wanajamvi,

Jamani naombeni msaada jinsi ya kumtongoza mwanamke maana nimefika umri ambao ninahitaji mwenza wangu wa kuwa nami ila tatizo ninaogopa sana wacchana na cna hata confidence ya kuwaface na kuwaambia yangu ya moyoni, so naombeni msaada, tusihekane jamani, nimeweka shida yangu hii kwa kuamini kuwa nitasaidiwa.

Una hela? Gari nzuri unayo? Nauliza kwa sababu ukiwa au hauna hivyo vitu utongozaji unatofautiana sana.
 
Excel yule jamaa demu wake hapokei simu ulimsaidiaje? Na huyu jee unaweza kumpa somo?
 
Last edited by a moderator:
Tumia balozi wa nyumba kumi kumi, usisahau kumpa picha mbili za paspoti!
 
aisee vijana wako mjini lakini naona hawana faida...

kuna haja ya kuanzisha remedial class kwa ajili ya hii assignment...!

kumbe dili hili mkuu!

Unaonaje ukaanzisha hiyo shule? Na kabanga kama atakusaidia, miezi sita mingi mkuu ushakua tajiri
 
Last edited by a moderator:
Mimi hata nimesahau eti maana long time sijatema voko,huyu mwajuma nimempgia simu tuonane town kesho kasema poa hata sipgi voko kwani anajua nahitaji nini.ongeza kwanza confidence kaka bila hiyo utachemka tu.
 
Last edited by a moderator:
Sikia, tafuta laki hata ya wizi halafu nenda kwa wale jamaa wachoraji waombe wakuchoree moyo ambao mkuki umechoma katikati halafu vifunge vyote kwa pamoja ndani ya bahasha yenye poda, usisahau kuweka picha yako, then unamtafuta binti mlengwa unampatia ..akipokea tuu unatoka nduki kama Usain Bolt

Usisahau feedback eeh
 
Back
Top Bottom