Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Maneno matupu hayavunji mfupa, pila chapaa! lady gani atakusikiliza, wadada wanavyopenda kutolewa out, zawadi kila wki, maisha ya kwenye movie, umpeleke Lunch au dinner angalau mara3 kwa wki. Hafu eti ujifanye barobaro ilihali huna pochi.

Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote.

Hapa kunanjia 15 utakazozitumia wewe mwanaume ili kuhakikisha humkwazi mwanamke unayempenda mnapokuwa katika mazungumzo ;

1. Wakati ukizungumza nae, jaribu kuzungumzia "hisia" kama vile kumbu kumbu yako ya utotoni, matarajio ya baadae au matamanio yake. Mada hii ya mazungumzo yenu yatafungua milango ya hisia zake ghafla.

2. Wanawake huhitaji mwanaume asiyekuwa na uoga wa kuwamiriki na kuwaongoza. Wakati unazungumza na mwanamke tawala mazungumzo yenu na kamwe usimpe nafasi ya yeye kuanza kufikiri kuwa nini ulichokuwa ukizungumzia.

3. Kuwa makini wakati unapokuwa ukizungumza nae huku akikupatia majibu yasiyo na hisia zozote za mapenzi. Hapo utajua kunakitu, hivyo kama kwa bahati mbaya uko nae karibu kiasi cha kugusana, basi jisogeze pembeni wakati ukiwa unaendelea kuongea ili asishtukie au unaweza kumuona hayuko sawa katika utoaji majibu.. kwa kawaida atakuonyesha ishara, hivyo kuwa nazo makini.

4. Kumbuka hii kauli mbiu "Ucheshi/vituko si mapenzi". Wanawake huvutiwa sana na wanaume wanaoweza kuwafanya wawe na furaha muda wote. Usijikite zaidi katika kufanya utani unaopita kiasi na kusahau ulichokuwa unaongea. Bali jikite zaidi katika mambo yanayomfanya ajisikie kuwa na msisimko na starehe wakati ukonae.

5. Zama katika undani wa mazungumzo baina yako na yeye. Mwanamke huendana na mwanaume asiyekuwa muoga wa kuzungumzia mambo binafsi kwa ukaribu.

6. Wanawake wengi hupenda kujua maoni yako kuhusiana na jinsi unavyomuona. Mwambie vitu unavyoviona kutoka kwake, lakini jaribu kuwa makini ili usitamke vitu vingine vitakavyo msababishia apoteze furaha.

7. Epuka kumpa ofa nyingi mwanamke, mwanamke huwa na mashaka na mwanaume anayempatia vitu vingi kwa wakati mmoja ama kila mara. Kwasababu atafikiri vitu unavyompatia ni kutaka kumvutia tu ili umpate kiurahisi. Kitu ambacho baadae kitaleta madhara makubwa.

8. Kama unahitaji kujua njia nzuri ya kuweza kuongea na mwanamke au msichana bila kumfanya asikudharau au kuboreka, basi usitumie njia ya kumuuliza maswali mengi katika mazungumzo yenu. Bali jaribu kueleza mawazo yako kuhusu vitu flani.

9. Kumbuka kauli juu ya kuuliza maswali: Badala ya kumuuliza "wewe umekulia wapi?", uliza "unaonekana kama hujakulia maeneo haya!" Hii itakusaidia wewe kufanya uchunguzi juu yake bila yeye kujua.

10. Usifiche utambulisho wako - zungumza vitu kutoka katika hisia zako, onyesha uhalisia wako katika kuzungumza na usitumie mikogo ya mtu yeyote.

Njia bora ya kufikiria jinsi ya kuzungumza na mwanamke, ni kutambua njia sahihi ya mazungumzo ya furaha na yakimahaba utakayopenda kuitumia, isipokuwa usimuige mtu. Kuzungumza na mwanamke sii vigumu bali nikujua ni vitu gani hasa mwanamke hapendi kuvizungumzia na vitu gani anapenda kuvisikia. Fuata maelekezo hapo juu utaona matunda yake...kisha rudi toa maoni yako hapa.

MUHIMU: Maelekezo haya yote yatafanikiwa kwa mwanamke mwenye kuhitaji mapenzi ya kweli - yani sio kwa wanawake wanaolenga kuchota pesa kwako na kutokomea. Hivyo kuwa makini sana.
 
Wengine wakupigia cm mnaingia chumbani akimaliza ndio unapata pesa unaliwa kwanza ndio pesa inatoka
 
poor-me_fb_1176722.jpg

BEAR GRYLLS man vs wild

money aint a thing for this guy
 
Ulimwengu wa sasa maarifa yameongezeka sana.ktk kutongoza hakuna kanuni ni ujasiri na utundu wa kumkabiri unaevutiwa nae.

Mfano:
Unaweza kutumia "mzaha". Kuna dada nakuja mbele yako au uko siti moja naye ktk.gari anza kumsalimia huku ukitabasamu.akisita kupokea salamu mwambie kwa mzaha "dada salamu haileti mimba" utashangaa anafunguka kwa mawasiliano.chukua namba then anza kuwasliana nae huku ukitumia ufundi kumjua
 
simple one sikiliza hiii

demu: vipi shafi,
jamaa: safi sana za kwako,
demu; aa sijakuona siku mbili tatu.
jamaa: kwa ivo ukanimisi?
demu: aaah ndio lakini sio sana
jamaa; afadhali usinimis kabisa
demu; kwa nini jamani
jamaa; nikijua unanimisi ntakusumbua
demu: kivipi?
jamaa: yani nikijua unanimisi nitakuwa nataka nikubusu shavu kila siku.
demu: huku anagalagaza macho, mmmh
jamaa: mmh nini mi nshsmu ya kubusu mrembo anayenimisi.
demu: hilo tu sio shida utanibusu mpaka uchoke.
jamaa: asante

mara shavu la demu limebuswa kulia kushoto paji ya uso lips, demu anajipitisha kwa jamaa kila siku ilimradi apete busu.

baada ya hapo unajua kilichofuata
 
kuna ONE NIGHT STAND,haihitaji kuremba wala nini..bt a real rship,kijana u got to work
TRUTH IS hatuko miaka ya zamani ujue,mrembee sana mwanaume uone kama atabaki,HE GOT WAY TOO MANY OPTIONS....ukimdiss wewe wenzako wanamtafuta,bt 30 mins mhhhh??..

Umenikumbusha kitu hapa kuna dada 1 mzuri kwa sura na tabia kwakweli nilionesha nia ya kumtaka naye kweli alijua nia yangu nikajenga ukaribu kimawasiliano na kufanikiwa tatizo nililo kumbana nalo ni kwamba hakuwahi kunikubalia nitumie muda wake kwa kukutana sehemu tuweze kuzungumza kwa undani nami nipate nfasi ya kumfaham zaidi mara zote ratiba yake iliomekana kujaa hasubuhi hadi jioni, j3 mpaka j2, tarehe moja hadi30,nikaona isiwe taabu labda nimemtafsiri vibaya atakuwa yu tayari kwa urafiki wa kawaida tu, nikabadili frekwensi baada ya muda nikapata mtu mwingine taarifa akazipata akapiga cm kuuliza nkamwambia ni kweli akakata cm. Siku 1 nikakutana naye kazini kwake nikakaribishwa kwa masikitiko na lawama juu. niamwomba tukutane akajibu nipange siku na venue siku ya kikao chetu nkamweleza yote na hatua nilochukuwa nikamwahidi kuwa rafiki mwaminifu jambo ambalo alilipokea kwa shingo upande kwani hadi sasa hunilahumu!
 
Hakuna formula ya kutongoza kama hi yo basis tungekuwa tunampata kila mwanamke. Hebu jarb kuweka principle zako hz kuwa Lopez kama ztakuwa applicable
 
Haya makanuni tutaenda hata na magazeti ila kama si wa kukubalika utaishia kumaliza tu soli za viatu wakati kina fulani wasiojua hata miswaki inauzwa bei gani wakijing'olea tu descent girls! Muhimu ni kujiamini bwana,na kuwa wa kiume basi!
 
Utapigwa vibut had ukome. Muombe kukutana nae maeneo utakayokua nae huru tafuta sababu ya kumgusa popote mfn mgongon then msikilizie fanya kama utani. Then sikilizia reaction yake vibut utaviskia kwa wengine tu.
 
Kutongoza hakuna formula silaha pesa na maneno mazuri. We ukimtamani dada kwanza msalimie, muombe samahani kwa kumpotezea wakati, jitambulishe na omba utambulisho wake na mueleze jinsi ulivyopendezewa nae na mwishoe muombe contact zake ili mpange siku ya maongezi zaidi. Ukibahatika kupata contact uchune kama mwezi hivi kumsoma labda akukumbushe. Mpange siku ya kukutana sehemu iliotulia, pawe na vinywaji vya aina zote na vyakula vya aina zote na mtege awe wa kwanza kuagiza. Hiyo itakusaidia kumsoma na kujitengenezea mazingira ya kuuteka moyo wake.

Nasema hivyo kwa 7bu hata mimi nimeweza kumsoma dada mmoja ambae niliwahi kuchukua contact zake bwana wee kila siku anaomba vocha hela za matumizi na huwa nampa ijapo sijawahi kukutana nae kwa mazungumzo zaidi wala kimwili kwa kuwa nimeshamsoma hanifai.
 
Dutongoza hakuna formula ishu mkwanja, lugha mzur na kutokuwa bahr ktk ma2miz hapo dem anang'oka kama mlevi alitoka ucngzn na atanata kama superglue kwenye nguo.
 
Back
Top Bottom