Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Jamani mbona mwahangaika kwa visivyohitaji nguvu, me hata sikumbuki kutongozwa na niliye nae, just tengeneza mazingira tu mtajikuta tu mahusianoni na huyo uliyempenda unles awe occupied
 
wengine tunawakimbia na hatutongozi...naona tofauti ni kubwa ....
tulia tu kijana hilo sio suala la kufundishwa,..atatokea tu mnayeendana wala hutapata shida ya kutongoza.
 
Inaezekana kweli kijana wa enzi izi asijue kutongoza.Kwa ilo tu unakosa confidence,cku uyo mwanamke akipata mimba utaogopa kutembea nae.
 
Nipe namba zake nikusaidie mkuu!!
habarini wanajamvi,jamani naombeni msaada jinsi ya kumtongoza mwanamke maana nimefika umri ambao ninahitaji mwenza wangu wa kuwa nami ila tatizo ninaogopa sana wacchana na cna hata confidence ya kuwaface na kuwaambia yangu ya moyoni,so naombeni msaada, 2cchekani jamani,nimeweka shida yangu hii kwa kuamini kuwa nitasaidiwa.
 
Achana na punyeto kwanza

Umeona mbali sana kama nyerere!!! asee hii kitu hii...hii kitu hii kitu hi kitu hii!!! mbiza kama wewe ni mdau we hii mambo acha mapema. Hayo ndio madhara yake hayo!!! amka!!
 
Last edited by a moderator:
habarini wanajamvi,jamani naombeni msaada jinsi ya kumtongoza mwanamke maana nimefika umri ambao ninahitaji mwenza wangu wa kuwa nami ila tatizo ninaogopa sana wacchana na cna hata confidence ya kuwaface na kuwaambia yangu ya moyoni,so naombeni msaada,2cchekani jamani,nimeweka shida yangu hii kwa kuamini kuwa nitasaidiwa.

Subiri mpaka siku ya ndoa
 
hii nadhani inawafaa kwa wale walio single.
Mabazazi nayo najua hayatakuwa mbali na huu uzi.
Ila ole wenu.
Siku hizi kuna mwendo wa Bodaboda guns na kulawitiwa hususan ukichukua mke wa mtu.
Sasa we jifanye mfalme Daudi wakati hata Ujumbe wa nyumba 10 hauna.
 
Back
Top Bottom