Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Ukiona mwanaume anakataa ujue ni self determinations kuwa anajua nn ana fanya yawezekana ana mtu wake na alitumia enough time kujenga strong relationship so hawez kukubal uje umharibie kirahis vile japo wanaume weng hawako hvo
 
Heheheeee because of them i did it myself.
Sasa kama hawashushi nyavu nifanyaje nashusha mwenyew

na kama kweli huonekani kwenye 'radar' za wawindaji, basi hilo jina lako unalibaka. Advisably, switch it to 'ugly b' then namimi unirushie nyavu fastaaa. Hit my pm asap!!! teh teh teh
 
na kama kweli huonekani kwenye 'radar' za wawindaji, basi hilo jina lako unalibaka. Advisably, switch it to 'ugly b' then namimi unirushie nyavu fastaaa. Hit my pm asap!!! teh teh teh

Mimi ni mcute jiandae kwa nyavu huko pm.... nakulia zoez
 
Nikiachwa na my sumbai utapata adhabu ya kunigegeda kila baada ya siku mbili na ni kamba zisizopungua 8.
Haaaa hapo sasa unanitafutia bifu na sumbai ww
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa nna bahati sana ya kupendwa na kutongozwa na warembo..lkn saiv sijui nimepatwa na mkosi gani! Hakuna hata anaejigonga na wkt huo sikuwa na kitu but at least saiv napata milo mitatu bila tabu!!!
 
Back
Top Bottom