Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Kukubali au kukataa inategemea na mwanamke alivyo. sasa we hata li malaya me nikubali tu? wewe hapana! lazima nichomoe.halafu mwanamke ukimchomelea live daaah! huwa wanajisikia vibaya kweli yani hadi aibu. usipojikaza kiume unaweza kushawishika ukumhurumia aisee!
 
Heheheee kwani wew unavyotokea wasichana wanakubali ni matamaa yanawasumbuaga?
Kuna wanaokataa ila nafight

duh so we nia yako hasa ni nini hadi unapowatokea wana jf humu ni kuwapima au unakuwa sirius?
 
jamani mbona kitu chepesi tu kipendacho roho bwana mtu sura kama ubuyu shape haieleweki akienda kama anakuja akhhhhhhh unamchomolea tu dunia i.ebadilika mambo ya ngoja nifikirie hamna na kama unayo umepitwa na ulimwengu
 
Mda mwingine mwanamke anaweza akawa ana mambo ya ajabu ajabu ambayo mwanaume hayapendi kama umbea,ulevi na skendo chafu!kwa hivyo hata kama mwanamke huyo hatakuwa anampenda mwanaume kwa dhati bado anaweza kukataliwa!!
 
Mamy usinigawe.
Ukimtamani mtu huku wew niambie nikamshushie nyavu.
Hamna kuremba

Kuna mmoja nilimzimikia huyo nikamuomba Kaizer na babu Asprin wanifundishe jinsi ya kutuma pm wakakataa, hadi leo hawajanifundisha.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh..We baki hivyo hivyo tu..Mwenzio nina seat yangu tayari inanisubiri heaven..Sema na we nikufanyie booking kama wataka

Kwakweli booking nitafanya mwenyewe, huchelewi kuniuza wewe!
 
Kuna mmoja nilimzimikia huyo nikamuomba Kaizer na babu Asprin wanifundishe jinsi ya kutuma pm wakakataa, hadi leo hawajanifundisha.

Hahahaaaa wabaya hao...
Niambie ni nani nimfungukie hamna muda wa kupoteza..
Ni zamu yetu 2015
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa wabaya hao...
Niambie ni nani nimfungukie hamna muda wa kupoteza..
Ni zamu yetu 2015

Umfungukie alafu akikudondokea wewe! Nifundisheni nimpm mwenyewe.
 
Kwakweli booking nitafanya mwenyewe, huchelewi kuniuza wewe!

Katoto hivi vitu vinaenda kwa kujuana..We heaven kuna mtu yeyote unafahamiana naye??..Usije ukapata siti za nyuma ukashindwa kuwaona hata wakina Rose muhando wakiwa wanaperfom
 
Back
Top Bottom