babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Bado mnabebaga hayo magunia ya viazi?
Vimbaumbau hawa hawana tabu
Vimbaumbau hawa hawana tabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemo: katika kila wanaume kumi waliofilisika nyuma yake kuna wanawake 8 walihusika kufilisi.
Halafu awe na ka taco moderate aahBado mnabebaga hayo magunia ya viazi?
Vimbaumbau hawa hawana tabu
Kuna watu hawatofautishiTofautisha mapenzi na mashine za ngono.
Kwa kifupi ukiendekeza wanawake hasa hawa wa kizazi cha sasa lazima wakufilisi haijalishi wa aina gani japo wanatofautiana kwenye mizinga.Habari za Jumapili wakuu;
Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.
Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti.
mwanzo wa mapenzi huwa mtamu sana, lakini hufika wakati wa kujuana tabia ndipo mapenzi huyumba.
Kipindi hiki ni cha mpito, huhitaji kuvumiliana huku mkiendelea kurekebishana kwa uvumilivu na upendo mkisubiri kipindi cha neema.
Katika utafiti wangu mdogo ni kuwa;
1. Wanawake weupe hawajui kuvumilia kwani huona wana soko kubwa.
2. Wanawake weupe hawapendi kupitia kipindi cha dhiki nakwambia unaachwa mchana kweupe.
3. Wengi wa wanawake weupe uaminifu wao ni mdogo sana wengi huchepuka.
4. Wanawake waupe wanapenda maisha ya juu na mteremko bila kugharamia.
5. Wanawake weupe ndio huongoza kuwa ma singo mama.
6. Kama walivyo weupe ndivyo walivyo wenye makalio makubwa kitabia.
Note: sio wote lakini kwa 90% wanawake weupe na wenye makalio makubwa ni ngumu kutulia katika ndoa.
msemo: katika kila wanaume kumi waliofilisika nyuma yake kuna wanawake 8 walihusika kufilisi.View attachment 2923008View attachment 2923009View attachment 2923011
Kuna wakati tunasema ukweli KIMASIHARAJF -Chit-Chats & Jokes
Aaaha kumbe
Aaaha ndio maanaKuna wakati tunasema ukweli KIMASIHARA
Umeoa cheupe bila shaka😂JF -Chit-Chats & Jokes
Aaaha kumbe
Na wenye mwanyaHabari za Jumapili wakuu;
Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.
Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti.
mwanzo wa mapenzi huwa mtamu sana, lakini hufika wakati wa kujuana tabia ndipo mapenzi huyumba.
Kipindi hiki ni cha mpito, huhitaji kuvumiliana huku mkiendelea kurekebishana kwa uvumilivu na upendo mkisubiri kipindi cha neema.
Katika utafiti wangu mdogo ni kuwa;
1. Wanawake weupe hawajui kuvumilia kwani huona wana soko kubwa.
2. Wanawake weupe hawapendi kupitia kipindi cha dhiki nakwambia unaachwa mchana kweupe.
3. Wengi wa wanawake weupe uaminifu wao ni mdogo sana wengi huchepuka.
4. Wanawake waupe wanapenda maisha ya juu na mteremko bila kugharamia.
5. Wanawake weupe ndio huongoza kuwa ma singo mama.
6. Kama walivyo weupe ndivyo walivyo wenye makalio makubwa kitabia.
Note: sio wote lakini kwa 90% wanawake weupe na wenye makalio makubwa ni ngumu kutulia katika ndoa.
msemo: katika kila wanaume kumi waliofilisika nyuma yake kuna wanawake 8 walihusika kufilisi.View attachment 2923008View attachment 2923009View attachment 2923011
Kama sio mweupe na ana taco la wastani au flat chukua harakaNa wenye mwanya
Na ninampendaUmeoa cheupe bila shaka😂
Wanawake wazuri ni wazuri, sema wanawake warembo ndio kikohoziMkuundugu mtoa mada, umezunguka sana, we sema wanawake wazuri baasi.
Usiishiwe tafadhaliNa ninampenda
Hawatawali na hatuwaogopi, tunapachika mimba na kulea mtoto tu, tunaoa flat na tako wastaniUoga kwa wanaume umekithiri, kwa style hii wanawake watatawala sana.