Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

Hawatawali na hatuwaogopi, tunapachika mimba na kulea mtoto tu, tunaoa flat na tako wastani
Huko ni kuwaogopa, yaani wewe unapenda tandam halafu unaoa flat kisa kuogopa kuumizwa/kuchapiwa kama sio ujuha huo ni nini??

Yaani unaoa flat ambae humpendi kwa kuogopa mwenye tako, wanaume ni wachache sana kizazi hiki.mama rama store
 
Habari za Jumapili wakuu;

Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.

Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti.

mwanzo wa mapenzi huwa mtamu sana, lakini hufika wakati wa kujuana tabia ndipo mapenzi huyumba.

Kipindi hiki ni cha mpito, huhitaji kuvumiliana huku mkiendelea kurekebishana kwa uvumilivu na upendo mkisubiri kipindi cha neema.

Katika utafiti wangu mdogo ni kuwa;

1. Wanawake weupe hawajui kuvumilia kwani huona wana soko kubwa.

2. Wanawake weupe hawapendi kupitia kipindi cha dhiki nakwambia unaachwa mchana kweupe.

3. Wengi wa wanawake weupe uaminifu wao ni mdogo sana wengi huchepuka.

4. Wanawake waupe wanapenda maisha ya juu na mteremko bila kugharamia.

5. Wanawake weupe ndio huongoza kuwa ma singo mama.

6. Kama walivyo weupe ndivyo walivyo wenye makalio makubwa kitabia.

Note: sio wote lakini kwa 90% wanawake weupe na wenye makalio makubwa ni ngumu kutulia katika ndoa.

msemo: katika kila wanaume kumi waliofilisika nyuma yake kuna wanawake 8 walihusika kufilisi.View attachment 2923008View attachment 2923009View attachment 2923011
Shida siyo rangi au makalio mdogo wangu. Shida ni sisi ndo tunachanganya mambo kwa kufosi vitu. Kuhusu Wanawake mambo Yako wazi kabisa. Kuna;

1.Mwanamke wakuoa/mahusiano

2.Mwanamke wa starehe/mitoko na kutumia Yani bata

3.Mwanamke wa ngono/ kupelekea moto yani moto tu

4.Mwanamke wa mauzo/kuuzia sura

Sasa ukijichanganya ukachukua # 4 ukataka iwe # 1 utalia sana. Na ukitaka # 2 awe # 1 kufa masikini ni kugusa. Ukitaka # 3 awe # 1 inawezekana ila ni kwa muda tu. Umri unakuja na mengi kwa sisi wanaume. Mwanaume hata uweunapiga mashine vipi ukifika 50 dick lazima iwe legelege, penzi linakuwa ni kimoko hamu imeisha, sasa hapo ndipo utakapoona tatizo la #3 kumfanya kuwa # 1
 
Habari za Jumapili wakuu;

Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.

Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti.

mwanzo wa mapenzi huwa mtamu sana, lakini hufika wakati wa kujuana tabia ndipo mapenzi huyumba.

Kipindi hiki ni cha mpito, huhitaji kuvumiliana huku mkiendelea kurekebishana kwa uvumilivu na upendo mkisubiri kipindi cha neema.

Katika utafiti wangu mdogo ni kuwa;

1. Wanawake weupe hawajui kuvumilia kwani huona wana soko kubwa.

2. Wanawake weupe hawapendi kupitia kipindi cha dhiki nakwambia unaachwa mchana kweupe.

3. Wengi wa wanawake weupe uaminifu wao ni mdogo sana wengi huchepuka.

4. Wanawake waupe wanapenda maisha ya juu na mteremko bila kugharamia.

5. Wanawake weupe ndio huongoza kuwa ma singo mama.

6. Kama walivyo weupe ndivyo walivyo wenye makalio makubwa kitabia.

Note: sio wote lakini kwa 90% wanawake weupe na wenye makalio makubwa ni ngumu kutulia katika ndoa.

msemo: katika kila wanaume kumi waliofilisika nyuma yake kuna wanawake 8 walihusika kufilisi.View attachment 2923008View attachment 2923009View attachment 2923011
Kwahiyo hutaki tuoe warembo? Akhaaa! Wangu mweupe, mrefu na chura kama yoote nakula nashiba! Mengine kama yapo atajijua na Mungu wake!
 
Back
Top Bottom