Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

Hawatawali na hatuwaogopi, tunapachika mimba na kulea mtoto tu, tunaoa flat na tako wastani
Huko ni kuwaogopa, yaani wewe unapenda tandam halafu unaoa flat kisa kuogopa kuumizwa/kuchapiwa kama sio ujuha huo ni nini??

Yaani unaoa flat ambae humpendi kwa kuogopa mwenye tako, wanaume ni wachache sana kizazi hiki.mama rama store
 
Shida siyo rangi au makalio mdogo wangu. Shida ni sisi ndo tunachanganya mambo kwa kufosi vitu. Kuhusu Wanawake mambo Yako wazi kabisa. Kuna;

1.Mwanamke wakuoa/mahusiano

2.Mwanamke wa starehe/mitoko na kutumia Yani bata

3.Mwanamke wa ngono/ kupelekea moto yani moto tu

4.Mwanamke wa mauzo/kuuzia sura

Sasa ukijichanganya ukachukua # 4 ukataka iwe # 1 utalia sana. Na ukitaka # 2 awe # 1 kufa masikini ni kugusa. Ukitaka # 3 awe # 1 inawezekana ila ni kwa muda tu. Umri unakuja na mengi kwa sisi wanaume. Mwanaume hata uweunapiga mashine vipi ukifika 50 dick lazima iwe legelege, penzi linakuwa ni kimoko hamu imeisha, sasa hapo ndipo utakapoona tatizo la #3 kumfanya kuwa # 1
 
Kwahiyo hutaki tuoe warembo? Akhaaa! Wangu mweupe, mrefu na chura kama yoote nakula nashiba! Mengine kama yapo atajijua na Mungu wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…