Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

 
Amechoshwa na mabinti

Mpaka huruma πŸ˜”πŸ˜”
Bahili huyo hataki kutuma vocha ndo maana anahangaika na mashangazi...
Ngoja nimpatie mbinu...akiona mwanamama anahangaika na mizigo kwenye shopping ajifanye mwema amsaidie...Akiona mmama au mdada amepata break down ajifanye mwema amsaidie....yani In short awe na sympathy na wamama wale wanaojitambua na wasio na njaa...
Sisi wanawake huwa tunapenda kuhurumiwa sana na mwisho wa siku atatunukiwa na ndo mwanzo wa mambo
 
Ngoja nimtag hapa dogo langu la ukweli

Oya Mwachiluwi njoo uchukue maufundi ya kunasa mashangazi wanaojilewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…