Umeahamia huku?πππHii kitu Africa bado Sana tuendelee kusubiri Karne zijazo....we tafuta hela tuKinachoharibu mahusiano, ni mmoja kumgeuza mwenzake kuwa chuma ulete. Kama wataheshimu hisia, mahusiano yatakuwa mazuri kwa watu wazima na vijana.
Yaaaani wivu wa kipuuzi sanaKwanza wana kero vijana na wivu wa kijinga bora tupo wengi tunao wakubali wahenga
Tunatoa mawazo kwa kizazi hiki ili waishi kwa furaha katika mahusianoUmeahamia huku?πππHii kitu Africa bado Sana tuendelee kusubiri Karne zijazo....we tafuta hela tu
Image kuna boya mmoja mpaka kumuona Mama yangu alikuwa ana kataa eti nitaenda kuonana na ex wanguπ¬π¬ bora tulivyo achanaπ¬Yaaaani wivu wa kipuuzi sana
Kizazi hiki kinasema furaha bila pesa Ni uzushi,ndio maana kila mtu anataka patner aliye economically fit,na hii Ni pande zote mbili japo upande mmoja mmeuvumisha sanaTunatoa mawazo kwa kizazi hiki ili waishi kwa furaha katika mahusiano
πππππhuyo hana akili wivu wa kijingaImage kuna boya mmoja mpaka kumuona Mama yangu alikuwa ana kataa eti nitaenda kuonana na ex wanguπ¬π¬ bora tulivyo achanaπ¬
Yaani Mwanaume alikuwa kama mgonjwa wa akili yaani nikisema leo natoka naenda sehemu huo ogomvi wake muamuzi hakunaπππππhuyo hana akili wivu wa kijinga
Anayesikia utamu zaidi huwa ni nani?Kizazi hiki kinasema furaha bila pesa Ni uzushi,ndio maana kila mtu anataka patner aliye economically fit,na hii Ni pande zote mbili japo upande mmoja mmeuvumisha sana
Me ndo maana wako tayari kuhonga gorofaπAnayesikia utamu zaidi huwa ni nani?
Ila kweliMe ndo maana wako tayari kuhonga gorofaπ
Hela itatafutwa muda ganiSalamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Kama pesa haipo, inakuwaje?Kizazi hiki kinasema furaha bila pesa Ni uzushi,ndio maana kila mtu anataka patner aliye economically fit,na hii Ni pande zote mbili japo upande mmoja mmeuvumisha sana
Ana miaka mingapMtu mzima wangu[emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2537136
Ke: miaka 40+Hao watu wazima wanaanzia miaka mingapi?
Hahaha..We hapana.
Wakitaka tuwapende na wao waache kukamia. Wawe kama wababa
Vijana wanakamia game mpk ukimaliza unatafuta feni ujipepee? Hatuwatakiii
Huko peponi huwa mnazani ni kwa wahuni wenzenu ?Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.