Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Kinachoharibu mahusiano, ni mmoja kumgeuza mwenzake kuwa chuma ulete. Kama wataheshimu hisia, mahusiano yatakuwa mazuri kwa watu wazima na vijana.
Umeahamia huku?😂😂😂Hii kitu Africa bado Sana tuendelee kusubiri Karne zijazo....we tafuta hela tu
 
Umeahamia huku?😂😂😂Hii kitu Africa bado Sana tuendelee kusubiri Karne zijazo....we tafuta hela tu
Tunatoa mawazo kwa kizazi hiki ili waishi kwa furaha katika mahusiano
 
Tunatoa mawazo kwa kizazi hiki ili waishi kwa furaha katika mahusiano
Kizazi hiki kinasema furaha bila pesa Ni uzushi,ndio maana kila mtu anataka patner aliye economically fit,na hii Ni pande zote mbili japo upande mmoja mmeuvumisha sana
 
Image kuna boya mmoja mpaka kumuona Mama yangu alikuwa ana kataa eti nitaenda kuonana na ex wangu😬😬 bora tulivyo achana😬
😀😀😀😀😀huyo hana akili wivu wa kijinga
 
😀😀😀😀😀huyo hana akili wivu wa kijinga
Yaani Mwanaume alikuwa kama mgonjwa wa akili yaani nikisema leo natoka naenda sehemu huo ogomvi wake muamuzi hakuna
 
Kizazi hiki kinasema furaha bila pesa Ni uzushi,ndio maana kila mtu anataka patner aliye economically fit,na hii Ni pande zote mbili japo upande mmoja mmeuvumisha sana
Anayesikia utamu zaidi huwa ni nani?
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Hela itatafutwa muda gani
 
Kizazi hiki kinasema furaha bila pesa Ni uzushi,ndio maana kila mtu anataka patner aliye economically fit,na hii Ni pande zote mbili japo upande mmoja mmeuvumisha sana
Kama pesa haipo, inakuwaje?
 
Mtu mzima wangu😎😎😎
5brvbjc.jpg
 
We hapana.

Wakitaka tuwapende na wao waache kukamia. Wawe kama wababa

Vijana wanakamia game mpk ukimaliza unatafuta feni ujipepee? Hatuwatakiii
Hahaha..
Kwani watu wazima wamama wanaopenda vijana wadogo lengo lao nini?
Nilifikiri wanatamani kupigishwa gwaride la kufa mtu ambalo hawapati Kwa wazee wenzao!
 
  • Thanks
Reactions: BT2
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Huko peponi huwa mnazani ni kwa wahuni wenzenu ?
 
Back
Top Bottom