Mapenzi ya binti kwa baba yake yalisaidia kumtoa baba gerezani

Mapenzi ya binti kwa baba yake yalisaidia kumtoa baba gerezani

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1636087790945.png

Ilitokea huko Ufaransa, wakati wa utawala wa Louis XIV, huyu baba alihukumiwa kufia gerezani kwa njaa kosa lake aliiba mkate.

Mtoto wake akiyekua ananyonyesha alikwenda kumtembelea baba yake kila siku. Akifika anampa baba yake maziwa yake anyonye.

Baada ya miezi minne walishangaa kumuona mzee akiwa hai na wala haja konda. Kwa siri walitaka kujua siri ya kuishi kwake bila chakula.

Walipogundua binti yake alimnuonyesha kila siku, walipata mshangao na huruma iliwaingia kiasi cha kumtoa mzee gerezani akawe na familia yake.

Kuna waliochora picha ya tukio hili na imeuzwa mwaka huu Ufaransa kwa milioni £30.
 
mhhhhh......mchoro ndiyo uliibua story au story ndiyo iliibua mchoro?
 
Picha iliyochorwa mwaka huu ndio hii ulioambatanisha?
 
iSOME PICHA HII NA STORY YAKE CHINI

main-qimg-dbe20276917d674cd09d0ced2f50be52-lq


Huyu baba alihukumiwa adhabu kifo kwa kunyimwa chakula mpaka afekwa kosa kuiba mkate wakati wa Utawala wa mfalme Louis X1V. Ni mtu mmoja aliruhusiwa kumwona ambaye alikuwa binti wake wapekee. Huyu binti wake alikuwa na mtot anayenyonya. Basi kil alipokuja kumwona baba yake kila siku alikuwa anampa ziwa lake ananyonya na aliweza kuishi mpaka miezi 4.
Watawala wakashangaa inakuwaje hafi. Wakafanya uchunguzi na kugundua kuwa alikuwa ananyonya maziwa ya binti wake. Binti alifunguliwa kesi lkn Jaji kwa kutambua mapenzi ya mtoto kwa baba yaek, akamfutia kesi na kumtoa gerezani baba yake!

PICHA HII ILIUZWA EURO 30,000,000
 
iSOME PICHA HII NA STORY YAKE CHINI

main-qimg-dbe20276917d674cd09d0ced2f50be52-lq


Huyu baba alihukumiwa adhabu kifo kwa kunyimwa chakula mpaka afekwa kosa kuiba mkate wakati wa Utawala wa mfalme Louis X1V. Ni mtu mmoja aliruhusiwa kumwona ambaye alikuwa binti wake wapekee. Huyu binti wake alikuwa na mtot anayenyonya. Basi kil alipokuja kumwona baba yake kila siku alikuwa anampa ziwa lake ananyonya na aliweza kuishi mpaka miezi 4.
Watawala wakashangaa inakuwaje hafi. Wakafanya uchunguzi na kugundua kuwa alikuwa ananyonya maziwa ya binti wake. Binti alifunguliwa kesi lkn Jaji kwa kutambua mapenzi ya mtoto kwa baba yaek, akamfutia kesi na kumtoa gerezani baba yake!

PICHA HII ILIUZWA EURO 30,000,000
hiyo picha hapo niliwahi iweka status kwenye whatsap dah! nilikoma.
 
Back
Top Bottom