Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Shida na nyinyi mmezidi kuomba mbususu mapema kwa nini hamjifunzi kwa wazee yaani mpaka ndoa ndio wanaomba tunda.
 
Tatizo sio ninyi kuomba hela, wanaume tunapenda kuwapa nyie ubavu wetu hela, ila tatizo wengi wenu nyie wanawake mnatuomba hela kwa nia ovu ya kutukomoa, na sio kwamba mna shida kweli na hiyo hela..

Mfano nimekutongoza, ukaniona mimi sio mwanaume ambaye ni type yako, automatically unaniweka kwenye category ya kuwa mtu wa kukupa hela bila kunipa papuchi, au hata ukija kunikubalia uwe ushanichuna sana, hapa mwanaume lazma uhisi unatumika.

Na sikuhiz wanawake wengi wenu mna mioyo jiwe, mioyo ya kupenda hamna, mko kimaslahi zaidi, mkimwona mwanaume Anayetaka kuwaoa, mnawaza mtafaidika vipi kipesa, badala ya kuwaza ku-spend rest of your life na huyo mwanaume Nuzulati
 
Ukiona una date na mademu wanaomba nauli, jua una date na malaya bado au machokolaa wa kimapenzi.. Mwanamke anae shindwa hata jihudumia nauli huyo hana maana kabisa
Ila bwana, mapenzi kitu cha hovyo sana. Unadate na mtu yupo Mwanza wakati mji uliopo umejaa wanawake kibao, ugharamike nauli mwanza-dar wakati kitu kikiwa ubungo hapo ni mwendo wa sms moja tu ghetto linanukia unyunyu wa mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…