National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Wakuda tupo hapa.. tunasubiri siku moja upande Najimunisa, unatoka Dar saa tisa usiku unafika mwanza kesho kutwaaa π π π π kuufata mjegejoπ€£π€£π€£ππππ
Sipandi nyehunge case closed boma liwanza
π―π€hadi unaomba si huna sasa π π
Kakifika kanakuambia hali imebadilik ghafla tam haipatikaniπKuna ka mwanamke kalitumia invoice ya mwewe.. go and return.. nikapige kimyaaa .. kila siku kanauliza sikajibu wala nini.. nauchunaaaa . badae mbona kalipanda basi kenyewe kaja π π π π hawa ifikie mahala tukaze tusiendekeze nyegee.. unaweza lipa mwewe alafu ikawa nikutoa bokoo tu tu
Iife its about choice mkizingua tuna log out na kuanza upya.Sasa unacheza mechi za kimataifa ya ng'ambo tu eeπ
Kuna poiny umeigusia...size/kiwango.Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.
Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.
Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita
Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway
π π π π ndio utajui hujuii bora iungue nauli ya basi ila sio ya mwewe mzeee...Kakifika kanakuambia hali imebadilik ghafla tam haipatikaniπ
Sorry mkuu i dont date boys you know.Wakuda tupo hapa.. tunasubiri siku moja upande Najimunisa, unatoka Dar saa tisa usiku unafika mwanza kesho kutwaaa π π π π kuufata mjegejo
Mwanamke yeyite mweusi anaejidai kuwa hadate Africans namuona kama kenge tuDate your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.
Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.
Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita
Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway
Wanaume tunapitiaga magumu sana.Kakifika kanakuambia hali imebadilik ghafla tam haipatikaniπ
Baadhi wanaomba hata nauli ya buku, buku mbili.Hivi ili iwe nauli ni kianzia sh. ngapi? Kwa hiyo ata ukirequest sehemu ya aftano au aftatu nayo utaomba? Au ulipanda daladala 600 nayo utaomba?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Wacha tuwape joto cold bloodMwanamke yeyite mweusi anaejidai kuwa hadate Africans namuona kama kenge tu
Urembo wake unaishia hapo. Ukikutana nae unajua tu invoice za kutosha, hata tamu haina ladha tena!!Wanaume tunapitiaga magumu sana.
Kuna kipindi unakutana na demu mrembo lakini ni KAUSHA DAMUπ€£π€£π€£
Najua na ninajua haupo kundi la nitumie ya kujitolea unajiwezaa.. kujilipia nauli hata ya mwewe hadi Melbourne..Sorry mkuu i dont date boys you know.
Inategemea na mtu na mtu. Kuna KE hata uwagaramie vipi hawakuthamini kwa kigezo kuwa n wajibu wako.Ile kuthubutu kijigharamia, inaongeza thamani ya mtu kwenye mahusiano; tofauti itakuwa ni gold digger
Wastaarabu hawajitaji, wanatajwa [emoji23]
Dah, hii kali. Sikumbuki katika mahusiano yangu kama niliwai kuomba nauli za hapa na pale. Kumbe nlikua nakosea[emoji3][emoji3]Baadhi wanaomba hata nauli ya buku, buku mbili.
Tatizo miaka inakimbia, mwisho wa siku nature ndio inaamia huyu awe wapiIife its about choice mkizingua tuna log out na kuanza upya.
Acha tu baba mioyo yetu ina siri nyingi hatari.Urembo wake unaishia hapo. Ukikutana nae unajua tu invoice za kutosha, hata tamu haina ladha tena!!
Naonaga kama wana ka udwanzi hivi flani, hasa wanapo amua na ku diss african man..Mwanamke yeyite mweusi anaejidai kuwa hadate Africans namuona kama kenge tu
Uko sahihi so long as you do what's makes you happy no offence.am just saying you know!Tatizo miaka inakimbia, mwisho wa siku nature ndio inaamia huyu awe wapi