Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Bomayeee!!!Uko sahihi so long as you do what's makes you happy no offence.am just saying you know!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bomayeee!!!Uko sahihi so long as you do what's makes you happy no offence.am just saying you know!
😀😀 mashine kubwa inatakiwa ikutane na minofu iliyojaa jaa, pia hisia zinakuwa zinaongezeka.Nyie twanaume twembamna tunapendaga mabonge a.k.a semi-trellars
🤣🤣🤣🤣 Shemela,Kwa hiyo warembo wa Dslam ni wagaigai?? Aisee wadada wa Mwanza wavalishwe medals Maana si Kwa ukarimu Huo...😅😅 banaa wee mademu wa mwanza watamu kuliko wa Dar.. ila uzuri mademu wa kule hawaombi, unashagaa kafika kalipia room hotel, katandika mashuka yake chumbaa kinanunikia utuli.. na msosi kaisha nunua pale kijiwe mishikaki.. na kinywaji upendachoo . sio hawa wezi wa dar hata geust ya buku 15 hawezi lipia
Watakuwa wanakula viazi vitamu sana🤣🤣🤣🤣 Shemela,Kwa hiyo warembo wa Dslam ni wagaigai?? Aisee wadada wa Mwanza wavalishwe medals Maana si Kwa ukarimu Huo...
🤣🤣🤣😝Akakope hata mikopo kausha damu ndio aje nimpe rejesho na riba yake 😂
Dayana ulikula nauli yangu ipo siku yatatimia 😑 kuku wewe
Eti Kumbe wenzetu huko Mwanza wanawasuprise mababy zao wanalipia kabisa na room zao😆😆😆....Ila wakora wa DSM Sasa ndio tatizo🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio 😀😀😀na ya kupa njiani
Niko mbioni kuhama dar 😃😃😃Eti Kumbe wenzetu huko Mwanza wanawasuprise mababy zao wanalipia kabisa na room zao😆😆😆....Ila wakora wa DSM Sasa ndio tatizo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 Dar es Salaam.. kuna matapeli🤣🤣🤣🤣 Shemela,Kwa hiyo warembo wa Dslam ni wagaigai?? Aisee wadada wa Mwanza wavalishwe medals Maana si Kwa ukarimu Huo...
Hao ndio wanakufaa Sasa wewe unaelalamika kutuma nauli.,.,😄😄😄Watakuwa wanakula viazi vitamu sana
Unataka ukajiunge na wanamwanza?Niko mbioni kuhama dar 😃😃😃
Matracco yatakuua kijana🤣Alikuwa mpare, ila alikuwa ana minofu na mitego ya kutosha, akiona umesimama anakupush na tackle lake 😀
Tatizo hawana swaga 😀😀Hao ndio wanakufaa Sasa wewe unaelalamika kutuma nauli.,.,😄😄😄
Tushavuta sana Moshi wa petrol kwenye mafoleni akili zetu ziko race.🤣😅😅😅 Dar es Salaam.. kuna matapeli
Hatari sana, ndio maana nyakati hizi, warembo wengi wanakimbilia kuyaongezaMatracco yatakuua kijana🤣
race na pochi za watu.. muwe race na hela zenu 😅😅Tushavuta sana Moshi wa petrol kwenye mafoleni akili zetu ziko race.🤣
Wengine tulishatuma mkuu🤣🤣🤣So, you're done dating Africans! Dada unaonekana kwa mwandiko wako sio haba, mimi huyu nitume ticket ya pipa...nitakuwa na kichaa wallah tena
🤣🤣🤣🤣🤣yaani upewe ofa bure na swagaz Unataka Kama sio ukorofi ni Nini?Tatizo hawana swaga 😀😀
Useless ...taccosHatari sana, ndio maana nyakati hizi, warembo wengi wanakimbilia kuyaongeza
Ndio 😀😀😀Unataka ukajiunge na wanamwanza?