Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

🀣🀣🀣🀣 Shemela,Kwa hiyo warembo wa Dslam ni wagaigai?? Aisee wadada wa Mwanza wavalishwe medals Maana si Kwa ukarimu Huo...
 
So, you're done dating Africans! Dada unaonekana kwa mwandiko wako sio haba, mimi huyu nitume ticket ya pipa...nitakuwa na kichaa wallah tena
Wengine tulishatuma mkuu🀣🀣🀣
Mwingine unakuta yuko mkoa na ni mwajiriwa...nafasi yake ni weekend tu utafanyaje asiporuka na mwewe Ijumaa na Monday morning arejee na mwewe wa kwanza?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…